Namuogopa sana huyo mtu aisee............ngoja tumuone na yeye..
Haruna Moshi 'Boban' anakaribia kuingia......Mchezaji mwenye kipaji Tanzania kwa sasa....
Namuogopa na kumheshimu sana huyu mtu...
Boban kaja kuchukua Red Card ila naomba tu apige bao.
Next time watatumia mpira mwekundu.Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
kumbe leo wameonyesha?
hakika ni penati bora; kipa yeyote lazima afungwe.Kaseja amekwenda MARIKITI
Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
yaani huyu linesman sijui tu
Simba Simba Simba, namna gani jamani?
anatumikia simba.