Yani hawa tiger wangepunguza hata idadi ya simba wangebaki wenyeweUmeongea point kamanda...simba hawezi winda peke yake bila kuwa wa4 mpaka wa5,6...na huwezi kuta anawinda alone, ndio maana huwa wanatembea whole family ..wakati chui, tiger, panther and jaguar mara nyingi wana winda wakiwa wawili ama mmoja tu.
Tiger wangelikuwa wanaishi mbuga zetu wangewinda aina zote za wanyama mpaka mamba..
Hahahahahahha hivi Mkuu ni kweli macho yake yana mwanga mkali sana?Izo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.
Kuna jamaa hapo juu amedai full documentary ya hii video ni kuwa Tiger alikata moto japo Simba nae hakuishi muda refu sana.Nimetoka kutazama mpambano wa tiger na simba huko youtube, Simba kajeruhiwa zaidi ila tiger kakata pumzi amebaki amelala tu hawez hata kuinuka.
Simba kaamua kuondoka zake hapo sijui nani sasa kashinda pambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ungeishia hapa, labda wabishi tu ndo watapinga hii hojaKuwa tanapa haimaanishi unawajua siberian tiger, na wewe kuwa tanapa pia hakukufanyi uwe sahihi.
Nimekuuliza swali simba ama chui wa africa akiwa mwenyewe ana uwezo wa kuwinda tembo? Siberian tiger anaweza.
Na pia tiger malezi yao ni magumu sana wanaishi kwenye misitu husaidiwi kuwinda ndio maana wanaitwa Killers, kila tiger ni one man Army akiwa mwenyewe inabidi ajifunze kuwinda la sivyo anakufa. Hizo muscles hajazaliwa nazo bali mazingira ndio yanamforce awe hivyo.
1. Tiger ana uwezo wa kupigana akiwa amesimama na anatumia mikono yote miwili, simba uwezo huu hana anatumia mkono mmoja tu.
2. Simba ana umbo kubwa na uzito mdogo na tiger umbo dogo na uzito mkubwa. Muulize mtaalamu wa afya atakupa jibu moja tu muscle weight more than fat. Imagine wanyama wawili wanafanana maumbo mmoja ana kilo 360 mwengine 250 unafkiri mwenye 250 ana chance?
3. Simba yupo mazingira rahisi anawinda swala wapo kundi wanakula wanashiba wavivu wamelala lala tu, tiger wanahunt kwa shida akiwa na njaa msituni anaua chochote mbele yake iwe ni tembo, bear ama hata Gorilla. Hivyo Tiger ni natural fighter kutokana na mazingira yao magumu waliokulia.
4. Pia kuna ushahidi mbalimbali kuanzia roman empire, India, mpaka zoo mbalimbali tiger akipambanishwa na simba ujue simba anakufa, naweza kukuekea links ukitaka.
Yani hawa tiger wangepunguza hata idadi ya simba wangebaki wenyewe
Bro ulishawah kumuona Serbian tiger au umemsoma tu kwa vitabu?Bora uwaambie vijana wa maghorofani. Simba ana msuuli Mkubwa sana tofauti na tiger. Na msuli na ushupavu ndio umfanya awe king of the Jungle
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo kwamba hapo inategemeana na aina ya mnyama anayewindwa?
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
Mkuu weka linkMi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!
Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!
Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,
Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!
Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!
Salute king of the jungle!
Sent using Jamii Forums mobile app
Its obvious kwa Africa watu wa game watakwambia simba ndo mbabe maana Tiger hapatikani mapori ya huku. Ila pia ukiwahoji zaidi watakwambia porini nyati ndo kisanga na ndo maana kofia zao zina kichwa cha nyatiBora uwaambie vijana wa maghorofani. Wanamfananisha simba na tiger. Na wakati tiger hata mziki wa African Leopard haugusi huyo tiger. Wangewauliza watu wa game reserve na tanapa wawaeleze kuhusu hawa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu tigernae basha kweli sasa mbona kama anamnusa simbakinyeo, alikuwa anataka kumpanda au!!
Yote 9 nimeona tiger ana mapigo ya mayweather anapiga kazaa halafu anakimbia.
Kwa dakika hizi chache mie jaji mkuu wa kujivika ujaji mkuu nampa tiger ushindi wa pointi 99 kwa 3 katika pambano hili!
Naomba mlete pambano jingine tafadhali.
Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe
Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
Tiger ulishamuona uso kwa macho njia nyembamba?Izo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.
Mimi sio wa hukoNdio
Wanangu wa A town inakuaje??