Simba vs Tiger

Kale katiger kanarukaruka kama paka wa mgahawani uje umweke meza moja na simba? Watu hawapo serious, bora mkuu umeeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhahahahha
 


Wanangu wa A town inakuaje??
 
Kale katiger kanarukaruka kama paka wa mgahawani uje umweke meza moja na simba? Watu hawapo serious, bora mkuu umeeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hahahhaha! Ninashaka kama umamjua tiger. Huwezi kusema katiger, tiger ni mkubwa kuliko simba. Simaanishi kuzima hoja yako kwamba unaona simba ni bingwa lakini huwezi kumuita katiger wakat yeye ni mkubwa kwa size
 
Mkuu umehama kutoka kwa Tiger kwenda kwa Chui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga unamjua alligator wewe?? Urefu wa Mdomo wa alligator tu unalingana na mwili mzima wa mamba

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
We hivi hizi statistics mnazitoa wapi?

Hapo ukweli upo kinyume chake mpaka sasa zilishafanyika battle za cage fights 1902 kati ya tiger na simba

TIGER kashinda mara 1732 huku simba akishinda mara 170

Kwaiyo ile ya 95% ilikua ni TIGER sio SIMBA
 
wote hao hawakuti mziki wa tembo.....anaweza kuongea kila mtu akamsikiliza na hata mabenki yanampa ubalozi
 
Acha ujinga unamjua alligator wewe?? Urefu wa Mdomo wa alligator tu unalingana na mwili mzima wa mamba

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Acha mikwara ya simba anayeunguruma wakati nyuma kaufyata

Avatar ina nini hiyo?
 
Yaani hapa umechukua sifa za jaguar ukatuchanganyia za leopard ukampa tiger japo kwa upande wa nani mkuu wa battlefield uko sahihi. Tiger ndo mnyama mkubwa kuliko wot kwenye jamii ya paka na porini ukubwa unaamua nani mfalme. Kiukweli tiger akitangaza bifu na simba porini, simba lazima ajikabidhi kituo cha polisi cha karibu kulinda uhai na heshima yake
 
Kuwa tanapa haimaanishi unawajua siberian tiger, na wewe kuwa tanapa pia hakukufanyi uwe sahihi.

Nimekuuliza swali simba ama chui wa africa akiwa mwenyewe ana uwezo wa kuwinda tembo? Siberian tiger anaweza.

Na pia tiger malezi yao ni magumu sana wanaishi kwenye misitu husaidiwi kuwinda ndio maana wanaitwa Killers, kila tiger ni one man Army akiwa mwenyewe inabidi ajifunze kuwinda la sivyo anakufa. Hizo muscles hajazaliwa nazo bali mazingira ndio yanamforce awe hivyo.

1. Tiger ana uwezo wa kupigana akiwa amesimama na anatumia mikono yote miwili, simba uwezo huu hana anatumia mkono mmoja tu.

2. Simba ana umbo kubwa na uzito mdogo na tiger umbo dogo na uzito mkubwa. Muulize mtaalamu wa afya atakupa jibu moja tu muscle weight more than fat. Imagine wanyama wawili wanafanana maumbo mmoja ana kilo 360 mwengine 250 unafkiri mwenye 250 ana chance?

3. Simba yupo mazingira rahisi anawinda swala wapo kundi wanakula wanashiba wavivu wamelala lala tu, tiger wanahunt kwa shida akiwa na njaa msituni anaua chochote mbele yake iwe ni tembo, bear ama hata Gorilla. Hivyo Tiger ni natural fighter kutokana na mazingira yao magumu waliokulia.

4. Pia kuna ushahidi mbalimbali kuanzia roman empire, India, mpaka zoo mbalimbali tiger akipambanishwa na simba ujue simba anakufa, naweza kukuekea links ukitaka.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…