azam anaua huko mnawezak uja kuwa shangilia tu..simba wanapigwa la 4
mkuu kama simba watawatoa libolo basi watakutana na fc chipumbu ya msumbiji hivyo kazi bado wanayo.
Alafu libolo halijalala limetandika 4 mfululizo bila kulalaAaah jaman, haka kasimba kamegeuka kadada poa, kanapigwa bao la nne na Libolo kenyewe kametulia tu! Sio bure kuna kitu
Alafu libolo halijalala limetandika 4 mfululizo bila kulala
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Alafu libolo halijalala limetandika 4 mfululizo bila kulala
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Dah mtani una maneno makali kweli....mjinga ni wewe na timu yako mnao fundisha wachezaji usen wewe timu kubwa kama hiyo unaweza kuwalaza kitanda kimoja twite,fuso na chuji huku yule kocha mwenye vikuku akilala na Sendeu halafu unakuja uni binulia mdomo hapa.
Wakisema napo mimba haijatungwa wakamwone daktari.
wachezaji keeper mganda ,wengine mafta sunzu, kaeta, kinje kapombe ,kihemba, nyoso,
Ushindi lazima SISI NDIO VIDUME WA TZ WAKONGWE!