CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
kagera wanapata penati hapa!
Kagera wamesawazisha 1-1
Hawa watu wengine nadhani wametumwa... hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kupost kitu ambacho si cha kweli humu?Bora wewe mpita njia upite tu, usimsikilize huyu jamaa.
kagera wanapata penati hapa!
nawasikiliza ma pundit wa kibongo starTV
Huu uongo unaharibu sifa ya JF kama chombo cha habari
unaangalia au kusikiliza..
Nimeipenda hii, imekaa vizuri. Ni kama vile juma Nkamia anatangaza.Boban vipi pale nini bwana Boban????
mkuu, JF ni sehemu ya kupeana habari si kama unavyofanya, unaharibu maana nzima ya uwepo wako humu. BADILIKA.Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol