simba vs kagera live updates

Mkuu EL TORO acha hizo lete matokeo ya kweli,unasema wamesawazisha.Nadhani watakuwa wamekusawazisha wewe,huyo mnyama leo anashinda.
 
Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol
 
kipindi cha pili ndo kishaanza simba 1 kagera 0 ila simba wameanza kwa kasi sana,vipi mbeya mbona kimya Azam na Prisons
 
Back
Top Bottom