joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
Tupo uwanja wa taifa live tunangalia mechi nimekaa jukwaa la simba mpaka sasa simba 1 kagera 0,ila kagera kidogo wamebadilika wanashambulia vizuri,tutaendelea kufamishana ila naskia star tv wako live
Acheni kupotosha watu, kama huna cha kuandika kwa nini usisome walichoandika wenzako, so far matokeo ni Simba 1-0 Kagera Sugar.Kagera wamesawazisha 1-1
mkuu kumbe huna maana kabisaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!Kagera wamesawazisha 1-1
Mbona kwenye radio wanasema bila bila?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mechi leo zinachezwa nyingi, wewe unasikiliza mechi ipi?Mbona kwenye radio wanasema bila bila?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kagera wamesawazisha 1-1
Safi sanaKagera wamesawazisha 1-1
Tupo uwanja wa taifa live tunangalia mechi nimekaa jukwaa la simba mpaka sasa simba 1 kagera 0,ila kagera kidogo wamebadilika wanashambulia vizuri,tutaendelea kufamishana ila naskia star tv wako live
Simba wanaongoza kwa goli moja lililofungwa na Felix Mumba Sunzu.Tupeni matokeo ya kueleweka wakuu
Bora wewe mpita njia upite tu, usimsikilize huyu jamaa.Safi sana
Kagera wamesawazisha 1-1
mkuu ahsante napata kitu liveeee