Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
gemu imeisha hawa wadudu hawana ubavu wa kuzirudisha goli mbili kwa mnyama ..labda tutoe timu libaki goli wazi
kipindi cha pili ndo kishaanza simba 1 kagera 0 ila simba wameanza kwa kasi sana,vipi mbeya mbona kimya Azam na Prisons
hili bao la ngasa la utata kidogo ..
Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol
hili bao la ngasa la utata kidogo ..
wanaoangalia kwenye Tv wameona halina utata.
.....vipi bwana; huu ndo uchambuzi wako! pole sana kwakweli.Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol
.....vipi bwana; huu ndo uchambuzi wako! pole sana kwakweli.