mwilawi
Senior Member
- Oct 13, 2013
- 135
- 89
Kwenye mechi ya leo kombe la azam simba vs Dar City wachezaji wa Simba wameonekana kuchangamka sana kuliko siku ya mechi ya Kagera.
Swali:Je kuna tatizo kati ya kocha mkuu na wachezaji au kocha mkuu na kocha msaidi Matola na ilipelekea kuwa na molari kidogo siku ya mechi na kagera ambapo kocha mkuu Pablo alikiwepo.
Kwa sababu leo siku ya mechi na Dar City ambapo hakuwepo kocha mkuu wachezaj walikuwa Wamechangamka sana.
Swali:Je kuna tatizo kati ya kocha mkuu na wachezaji au kocha mkuu na kocha msaidi Matola na ilipelekea kuwa na molari kidogo siku ya mechi na kagera ambapo kocha mkuu Pablo alikiwepo.
Kwa sababu leo siku ya mechi na Dar City ambapo hakuwepo kocha mkuu wachezaj walikuwa Wamechangamka sana.