Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Duuu swali lako bwana!!!!!Anacheza namba ngapi kwenye kikosi cha Simba?
Hata wewe ukitaka kuja kutupiga njoo uweke billion 20 zingine sisi tunataka makombe na team ifanye vizuri basiHuyu mudi kama kawapiga thimba hivi,ila ngoja nione.#Chanjoimenipatumaini
Bado nawaza kama mudi anadai kaweka 49%, akajipinda tena akampa kimbebezi babra 5% ya maji, alafu ka wifi ka babra kakaweka 10%. Ninyi wana chama na wapenzi wa thimba, Nguvu ya kumwambi mudi out, mtaitoa wapi? pale kanjibai, akianza kwenda mwendo wa glazer?Hata wewe ukitaka kuja kutupiga njoo uweke billion 20 zingine sisi tunataka makombe na team ifanye vizuri basi
Hivi Peter Banda atakuja kucheza position ipi au tunaachana na Morisson ?Who is next in the Hse 2021 - 2022 !! Peter Bandaaaaaaaaaa !!!!
Hutaki tangulia Burundi.
Garasa hilo....sijui sisi mbumbu aliyetuloga naniWho is next in the Hse 2021 - 2022 !! Peter Bandaaaaaaaaaa !!!!
Hutaki tangulia Burundi.
mkuu hakika aliyetuita sisi mbumbumbu fc hakukoseaHivi ishu ya Sisi kuibiwa Peter Banda ni kweli? Hawa Yanga mbona wananitetemesha tumbo hivi?
Hivi ishu ya Sisi kuibiwa Peter Banda ni kweli? Hawa Yanga mbona wananitetemesha tumbo hivi?
Tena wakutoshaaaWana simba tupo wengi sana humu nyie ngojeni tu!!