Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Huyu kipa wa Pamba dakika ya 10 tu ya mchezo eti alikuwa anapoteza muda.

Hapa wanaongozwa goli 2 anaacha kuanzisha mashambulizi haraka ili wapate bao la kusawazisha lakini yeye anachagua kupoteza muda.

Hii yote ni kumtengenezea rrfa mazingira magumu ya kuamua dakika za nyongeza ziwe chache ili asiende sawa na ule upepo wa Simba anabebwa.
 
Refa anachezesha mpira kwa hisia.
Unatoaje kadi kwa dakika zilizoisha?

Mahaba ya refa 🤣🤣🤣🤣
 
Huyu kipa wa Pamba dakika ya 10 tu ya mchezo eti alikuwa anapoteza muda.

Hapa wanaongozwa goli 2 anaacha kuanzisha mashambulizi haraka ili wapate bao la kusawazisha lakini yeye anachagua kupoteza muda.

Hii yote ni kumtengenezea rrfa mazingira magumu ya kuamua dakika za nyongeza ziwe chache ili asiende sawa na ule upepo wa Simba anabebwa.
Refa kwani hakujua Dakika 4 alizoongeza zilishaisha?
Yellow kadi katoa ya nini?
Wanajisahau sana hawa jamaa.
Hawawazi kusonga mbele huko.
 
Kuna mtu kasema kauli ina fikirisha aisee.
Kutokana na imani Kwamba Yanga wanahonga timu ili zikamie simba apoteze point, jamaa kasema hivi..

"NYIE MKICHEZA NA TIMU SISI TUNACHEZA NA REFA"

Ubaya ubwela babake
 
Huyu kipa wa Pamba dakika ya 10 tu ya mchezo eti alikuwa anapoteza muda.

Hapa wanaongozwa goli 2 anaacha kuanzisha mashambulizi haraka ili wapate bao la kusawazisha lakini yeye anachagua kupoteza muda.

Hii yote ni kumtengenezea rrfa mazingira magumu ya kuamua dakika za nyongeza ziwe chache ili asiende sawa na ule upepo wa Simba anabebwa.
Mkuu aliyepoteza muda amevaa logo ya GSM. Ndo kusema mnasalitiana au?
 
Wewe ndio unasema hivyo

Wanaosema hatuchezi ndio wanaojua umaana wetu.
sasa acheze nini wakati ulikimbia

acheze nn kila mechi unapewa penati

kila mechi ukizidiwa mpinzani anapewa nyekundu
 
20250502_205844.jpg
 
Back
Top Bottom