Simba ni wasaliti,hoja ya yanga inamashiko-shaffih dauda!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
7,113
930
Katika kuonyesha kwamba amechukizwa na kitendo cha Simba kuwasaliti Yanga kwa kwenda kuchukua mshiko wa AZAM MEDIA,leo ameungana na Yanga kuwasapoti katika msimamo wao wa kugomea 100m ili kuonyeshwa live michezo yao.
Amesikitikia kitendo cha Simba kwa kuwageuka wakati walishakubaliana awali kwamba hawatachukua million100 kama haki ya kurushwa live maana wao Yanga na Simba wana mashabiki wengi zaidi ya timu nyingine.Lakini cha ajabu Rage aliamua kuwageuka Yanga na kwenda kusaini mkataba na Azam MEDIA.

Mytake.Rage atakua kavuta mpunga ili awageuke Yanga,ili wakose nguvu.
Huu ni umbulula wa viongozi wetu wababaishaji na warafi!
 
Katika kuonyesha kwamba amechukizwa na kitendo cha Simba kuwasaliti Yanga kwa kwenda kuchukua mshiko wa AZAM MEDIA,leo ameungana na Yanga kuwasapoti katika msimamo wao wa kugomea 100m ili kuonyeshwa live michezo yao.
Amesikitikia kitendo cha Simba kwa kuwageuka wakati walishakubaliana awali kwamba hawatachukua million100 kama haki ya kurushwa live maana wao Yanga na Simba wana mashabiki wengi zaidi ya timu nyingine.Lakini cha ajabu Rage aliamua kuwageuka Yanga na kwenda kusaini mkataba na Azam MEDIA.

Mytake.Rage atakua kavuta mpunga ili awageuke Yanga,ili wakose nguvu.
Huu ni umbulula wa viongozi wetu wababaishaji na warafi!
:disapointed:
 
huo ni ujinga wao yanga tu, unataka kuniambia mgao katika barclays premier league wa mapato toka skysports na itv unafuata idadi ya mashabiki? pili ujinga wa namna hiyo unatengeneza ligi dhaifu yenye timu mbili tu dominant, ndicho kilichopo spain kwamba barca na madrid wanaata hela nyingi kuliko timu zingine, matokeo yake kila mwaka wao wanakuwa top 2, mana wenzao ni dhaifu kiuchumi, tujifunze watanzania sio tunakurupuka tu kama huyo dauda ili kupata cheap popularity
 
Acheni propaganda sizikokuwa na tija,japo wana mashabiki wengi,miaka zaidi ya 70,wamechangia nini cha maana?hata uwanja imekuwa tabu!Hongera san aden rage achana nao,na hawana ubavu wa kugomea ni suala la muda tu.
 
Acheni propaganda sizikokuwa na tija,japo wana mashabiki wengi,miaka zaidi ya 70,wamechangia nini cha maana?hata uwanja imekuwa tabu!Hongera san aden rage achana nao,na hawana ubavu wa kugomea ni suala la muda tu.

ndio maana club hazipigi hatua mmehendekeza nja Nyie hiyo 100 million itawafikisha wapi usajili tu tayari 300 million zimepotea mazuzu Kweli
 
rage ni gamba mganga njaa kwa nini asiilize wasomi kwanza kabla hajasaini mikataba ya jinsi Hui?sasa naona anguko lake dhahiri
 
hii ndio hundi aliokwenda kuwaonyesha siku ya mkutano mkuu wao pale police mesi osterybay hakuwa na jinsi mjanja al shabab yuleeeeee akawa anakinyanyuwa ki hundi kile huku anakata mauno bila kujali yupo kwenye swaum ama Kweli fedha fedheha
 
Katika kuonyesha kwamba amechukizwa na kitendo cha Simba kuwasaliti Yanga kwa kwenda kuchukua mshiko wa AZAM MEDIA,leo ameungana na Yanga kuwasapoti katika msimamo wao wa kugomea 100m ili kuonyeshwa live michezo yao.
Amesikitikia kitendo cha Simba kwa kuwageuka wakati walishakubaliana awali kwamba hawatachukua million100 kama haki ya kurushwa live maana wao Yanga na Simba wana mashabiki wengi zaidi ya timu nyingine.Lakini cha ajabu Rage aliamua kuwageuka Yanga na kwenda kusaini mkataba na Azam MEDIA.

Mytake.Rage atakua kavuta mpunga ili awageuke Yanga,ili wakose nguvu.
Huu ni umbulula wa viongozi wetu wababaishaji na warafi!

Nakubaliana nawe kabisa huenda msomali kavuta mpunga ndiyo maana kageuka.

Jamani hata hiyo English Premier League ambayo ina washabiki wengi hapa Tanzania mgawanyo wa mapato unategemea nafasi kwenye ligi yao. Isiwe suala la kwamba Yanga na Simba wapate zaidi bali atayechukua nafasi ya kwanza baada ya msimu kuisha ndiyo apate mgawo mkubwa zaidi.

Faida zake ni mbili. Kwanza, kila timu itajitahidi ifanye vizuri ili kupata mgawo mkubwa zaidi. Pili, itaepusha kupanga matokea maana timu ikijua kuwa hata ikiwa ya mwisho, fungu lao liko palepale.

Timu zinaweza kupewa kiasi kidogo wakati ligi inaanza lakini mwisho wa msimu ndiyo heasabu kamili ifanyike. Hebu tuangalie mfano wa EPL msimu wa 2011/12 kwenye jedwali (Data summary) katika link hii:

Premier League broadcasting revenue: how is it distributed? | News | theguardian.com
 
huo ni ujinga wao yanga tu, unataka kuniambia mgao katika barclays premier league wa mapato toka skysports na itv unafuata idadi ya mashabiki? pili ujinga wa namna hiyo unatengeneza ligi dhaifu yenye timu mbili tu dominant, ndicho kilichopo spain kwamba barca na madrid wanaata hela nyingi kuliko timu zingine, matokeo yake kila mwaka wao wanakuwa top 2, mana wenzao ni dhaifu kiuchumi, tujifunze watanzania sio tunakurupuka tu kama huyo dauda ili kupata cheap popularity

Mgao wa EPL unafuata nafasi katika ligi. Wa Kwanza anapata zaidi na wa mwisho ndiyo mgawo mdogo zaidi.
 
Katika kuonyesha kwamba amechukizwa na kitendo cha Simba kuwasaliti Yanga kwa kwenda kuchukua mshiko wa AZAM MEDIA,leo ameungana na Yanga kuwasapoti katika msimamo wao wa kugomea 100m ili kuonyeshwa live michezo yao.
Amesikitikia kitendo cha Simba kwa kuwageuka wakati walishakubaliana awali kwamba hawatachukua million100 kama haki ya kurushwa live maana wao Yanga na Simba wana mashabiki wengi zaidi ya timu nyingine.Lakini cha ajabu Rage aliamua kuwageuka Yanga na kwenda kusaini mkataba na Azam MEDIA.

Mytake.Rage atakua kavuta mpunga ili awageuke Yanga,ili wakose nguvu.
Huu ni umbulula wa viongozi wetu wababaishaji na warafi!

Yanga na Simba zina washabiki ndiyo lakini ni clubs masikini tu kama zingine! Pia hata hao wanaoitwa mashabiki wao wengi bado ni maskini wa mawazo! Kinachowasumbua Yanga ni WIVU kwa timu ya AZAM
 
Naungana na Yanga.
Kinachotakiwa ni bingwa ndio achukue kikubwa!
Hiyo 100m iwe ni kama nauli tuu kama jinsi wafanyavyo vodacom.
Kisha mwisho wa msimu kuwe na mpunga wa bingwa ata kama ni 200m.
 
Yanga na Simba zina washabiki ndiyo lakini ni clubs masikini tu kama zingine! Pia hata hao wanaoitwa mashabiki wao wengi bado ni maskini wa mawazo! Kinachowasumbua Yanga ni WIVU kwa timu ya AZAM
Tatizo letu ni ushabiki wa usimba na uyanga.
 
Acheni propaganda sizikokuwa na tija,japo wana mashabiki wengi,miaka zaidi ya 70,wamechangia nini cha maana?hata uwanja imekuwa tabu!Hongera san aden rage achana nao,na hawana ubavu wa kugomea ni suala la muda tu.

Sasa ndio utaona kama Yanga haina uwezo wa kugomea. Rage kafanya kwa maslahi yake binafsi. Amekuwa kinyonga leo anasema hiki kesho kile. Hii yote ni baada ya kupoozwa yeye binafsi. Ngoja warudi akina Kassim Dewji na ujinga wote huu wa rage utaisha.

Si afadhali Yanga ina uwanja angalau mbovu. Nyie msubiri miaka 50 kama Rage alivyosema baada ya kuikana ahadi yake ya mwanzo. Mwenzenu yupo agenda ya saba nyie mnashikilia kufuatilia Yanga kafanya nini
 
huo ni ujinga wao yanga tu, unataka kuniambia mgao katika barclays premier league wa mapato toka skysports na itv unafuata idadi ya mashabiki? pili ujinga wa namna hiyo unatengeneza ligi dhaifu yenye timu mbili tu dominant, ndicho kilichopo spain kwamba barca na madrid wanaata hela nyingi kuliko timu zingine, matokeo yake kila mwaka wao wanakuwa top 2, mana wenzao ni dhaifu kiuchumi, tujifunze watanzania sio tunakurupuka tu kama huyo dauda ili kupata cheap popularity

Acha kuendekeza njaa wewe tumia akili yako vizuri, nakupa mfano mdogo tu hapo chini:

Wadanganyika bana! lini tutajikomboa? yaani unashabikia wizi wa mchana kweupe jua kali kabisa.
Ndugu yangu nakupa mfano rahisi tu ambao Azam Media watawanyonya watanzania na vilabu husika.
Kitu kikubwa ambacho Azam Media wanataka kufanya ni kuuza king'amuzi kupitia hiyo channel ya mpira.
kwa hesabu ya haraka tu ni kuwa:
1. Kama watauza ving'amuzi 400,000 na kuweza kupata TZS 10,000 kila kimoja kama faida.
2. Watapata jumla ya TZS. 4,000,000,000.
3. Azam wanatoa TZS. 100,000,000 kwa kila Timu ambazo ziko 14 kwenye Ligi.
4. Jumla ya TZS. 1,400,000,000 Zitatumika kwenye Timu.
5. Ina maana Azam Media watapata Faida ya TZS. 2,600,000,000.
Sasa wewe Mdanganyika angalia hapo tu kwenye King'amuzi tu pekee yake jinsi tutakavyopigwa mashabiki wa soka.
Na hapo bado Monthly fee ya King'amuzi.

Nionavyo mimi Yanga madai yao ni ya Msingi na Azam wa lengo zuri lakini linatakiwa liwe wazi, mambo ya kutoa hela kijumla jumla yalishapitwa na wakati, Azam media na Timu zote zikae chini waweke makubaliano ya % kwenye mapato ya Urushaji wa mechi hizo badala ya kuja na Sh. 100,000,000 eti unawalingishia timu masikini kuwa ni hela kubwa.

Naipongeza Yanga kwa kulijua hilo, hayo ndo mawazo yangu. Amkeni tumeenda shule za nini?
 
huo ni ujinga wao yanga tu, unataka kuniambia mgao katika barclays premier league wa mapato toka skysports na itv unafuata idadi ya mashabiki? pili ujinga wa namna hiyo unatengeneza ligi dhaifu yenye timu mbili tu dominant, ndicho kilichopo spain kwamba barca na madrid wanaata hela nyingi kuliko timu zingine, matokeo yake kila mwaka wao wanakuwa top 2, mana wenzao ni dhaifu kiuchumi, tujifunze watanzania sio tunakurupuka tu kama huyo dauda ili kupata cheap popularity

Acha ujinga wewe
 
Kwani hiyo Azam Media ndio ya kwanza kuingia kwenye utaratibu wa kurusha moja kwa moja ligi duniani? Bila ya kupendelea upande wowote, mtu ajiulize ni wapi kwengine duniani ambapo timu zote zinapata mgao sawa? Lakini haishangazi, ni Bongo tu ndio Kampuni ya Kurusha matangazo hayo hupewa kazi hiyo kabla hata Kampuni yenyewe kuanzishwa. Kwa maana hiyo, hii Azam media ndio ya kwanza duniani, wacha na utaratibu wake uwe wa kwanza duniani!
 
TFF wamesema viongozi wa Yanga walikuwa wanashiriki tokea mwanzo, tatizo ni kumtegemea kila kitu mdosi kwani yeye ndio kahoji kibiashara kama inalipa. Kiazi Shaffi Dauda ni wa kumpuuza na tena taifa litaingia hasara kama huyu jamaa atapata nafasi yoyote ya uongozi wa soka hapo TFF.
 
Sasa mlitegemea Shaffih Dauda aseme nini wakati ndo utaratibu wao pale Clouds, wanawatumia wasanii wachanga kujaza watu kwenye matamasha yao halafu wanawalipa kidogo kwa sababu ni wachanga, wanataka wizi huo huo utumike kubana vilabu vidogo, bila hivyo vilabu vidogo sio ligi tena na hao Simba na Yanga wanajiona wakubwa kwa sababu hao wadogo wapo lakini siku hao wadogo wakipotea nao ukubwa wao hawatauona.
 
Acheni propaganda sizikokuwa na tija,japo wana mashabiki wengi,miaka zaidi ya 70,wamechangia nini cha maana?hata uwanja imekuwa tabu!Hongera san aden rage achana nao,na hawana ubavu wa kugomea ni suala la muda tu.

Rage kiboko ya simbakoko. Mmeufyata Vila kupenda eeh. Mmebinafsisha mpaka akili zenu, poleni sana
 
Back
Top Bottom