Wana Yanga SC kabla hamjaanza kususia maandazi ya Azam jibuni hoja nzito za mwerevu Zaka za Kazi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,697
109,125
ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE

Mwaka 2004, beki wa kushoto wa Simba, Ramazan Ramazan, raia wa Burundi, aliomba klabu yake imuache huru kwa sababu amepata timu Ubelgiji.

Simba kiroho safi kabisa wakampa barua yake ya kumuacha (release letter) na kumtakia kila la heri.

Viongozi wakatamba kwenye vyombo vya habari kwamba klabu yao ni bora na inafuatiliwa na vilabu vya Ulaya ndiyo maana wachezaji wao wanaonekana na kuhitajika huko.

Baada ya kupokea barua yake, Ramazan Ramazan akasaini Yanga. Hakwenda Ubelgiji wala Belgium....akaenda Jangwani. Kama siyo kurubuniwa ilikuwa nini?

Hebu tuyaache ya 2004, huko ni mbali sana, yawezekana huyu muongeaji hapa alikuwa hajaanza kujua mpira.

Mwaka 2017, Gadiel Michael aliomba klabu yake ya Azam imvunjie mkataba ili aende kutafuta changamoto mpya anakokutaka.

Klabu ikakataa kwa sababu mkataba haunjwi kwa maneno tu...afuate taratibu.

Akaandika kwenye Facebook kwamba Azam wanambania kwenda Yanga ambako ameshasaini pre contract.

Pata picha mchezaji wa timu fulani, na ana mkataba, lakini anapata jeuri ya kutoka hadharani na kusema ameshasaini makubaliano ya awali na klabu nyingine bila klabu yake kujua.

Kama siyo kurubuniwa ni nini?

Mwaka 2020, Sure Boy aliufuata uongozi wa Azam FC kuomba avunje mkataba wake aende kutafuta changamoto mpya.

Klabu ikaamua kumuweka sokoni. Yanga wakaja na ofa yao ndogo...klabu ikaikataa. Siku iliyofuata, yule mtu aliyetumwa na Yanga kuleta ofa, akaleta barua ya Sure eti anaomba kuvunjiwa mkataba.

Kama siyo kurubuniwa, ni nini?

Msimu uliopita, D Ambundo aliiaga klabu yake ya Dodoma Jiji kwamba amepata timu England hivyo wamuache.

Kiroho safi wakamuacha na kumtakia kila la heri...siku iliyofuata, akasaini Yanga.

Kama siyo kurubuniwa ni nini?

Hivi vilabu vyote ambavyo wachezaji wao walirubuniwa, navyo viliumia sana kwa sababu hawa wachezaji walikuwa muhimu kwao.

Ikitokea na Yanga wachezaji wanarubuniwa, wavumilie. maumivu ni yale yale.

Gadiel Michael ni mchezaji ambaye Azam iliwekeza kwake akiwa mtoto mdogo. Mnajua uchungu wake?

Mnalalamika kwa mchezaji ambaye hata hamkuwekeza? Mmemkuta ameshakuwa senior player...vipi mngemkuza nyinyi?

Chanzo: Shaffih Dauda

GENTAMYCINE naomba huyu Zaka za Kazi apewe Ulinzi na ajengewe Sanamu yake kwa Madini haya na Hoja zake hizi Kuntu.

Na kuna Uwezekano mkubwa huyu Zaka za Kazi akawa na Aklli kuliko wana Yanga SC wote walioko ndani na nje ya Tanzania.

Pongezi / Kongole nyingi mno Kwake.
 
Yanga ni timu ya kiswahili na ina mambo ya Kiswahili yaani majungu, fitna, roho mbaya,wivu etc.

Simba ni timu ya kishua na ina mambo ya Kishua kama Usomi, uweledi, exposure, Ustaarabu etc.

Ukilijua hili hiyo timu ya njano haiwezi kukusumbua akili.
 
Mbumbumbu fc kitu mnachotakiwa muelewe Feisal Salum hajaomba Yanga avunjiwe mkataba Ili akatafute timu Nyingine.
Yeye ameamua Kuvunja mkataba kulingana na mapungufu aliyo yaona katika mkataba wake na Yanga na Sasa amesema Yuko huru.
Kwakua mchezaji yupo huru kinacho takiwa ni nyinyi mbumbumbu fc au timu nyingine yoyote kumsajili kwakua ni mchezaji huru.
Kuendelea kuilalamikikia Yanga ni ujuha wakati Yanga hai mmiliki uyo mchezaji.
 
ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE

Mwaka 2004, beki wa kushoto wa Simba, Ramazan Ramazan, raia wa Burundi, aliomba klabu yake imuache huru kwa sababu amepata timu Ubelgiji.

Simba kiroho safi kabisa wakampa barua yake ya kumuacha (release letter) na kumtakia kila la heri.

Viongozi wakatamba kwenye vyombo vya habari kwamba klabu yao ni bora na inafuatiliwa na vilabu vya Ulaya ndiyo maana wachezaji wao wanaonekana na kuhitajika huko.

Baada ya kupokea barua yake, Ramazan Ramazan akasaini Yanga. Hakwenda Ubelgiji wala Belgium....akaenda Jangwani. Kama siyo kurubuniwa ilikuwa nini?

Hebu tuyaache ya 2004, huko ni mbali sana, yawezekana huyu muongeaji hapa alikuwa hajaanza kujua mpira.

Mwaka 2017, Gadiel Michael aliomba klabu yake ya Azam imvunjie mkataba ili aende kutafuta changamoto mpya anakokutaka.

Klabu ikakataa kwa sababu mkataba haunjwi kwa maneno tu...afuate taratibu.

Akaandika kwenye Facebook kwamba Azam wanambania kwenda Yanga ambako ameshasaini pre contract.

Pata picha mchezaji wa timu fulani, na ana mkataba, lakini anapata jeuri ya kutoka hadharani na kusema ameshasaini makubaliano ya awali na klabu nyingine bila klabu yake kujua.

Kama siyo kurubuniwa ni nini?

Mwaka 2020, Sure Boy aliufuata uongozi wa Azam FC kuomba avunje mkataba wake aende kutafuta changamoto mpya.

Klabu ikaamua kumuweka sokoni. Yanga wakaja na ofa yao ndogo...klabu ikaikataa. Siku iliyofuata, yule mtu aliyetumwa na Yanga kuleta ofa, akaleta barua ya Sure eti anaomba kuvunjiwa mkataba.

Kama siyo kurubuniwa, ni nini?

Msimu uliopita, D Ambundo aliiaga klabu yake ya Dodoma Jiji kwamba amepata timu England hivyo wamuache.

Kiroho safi wakamuacha na kumtakia kila la heri...siku iliyofuata, akasaini Yanga.

Kama siyo kurubuniwa ni nini?

Hivi vilabu vyote ambavyo wachezaji wao walirubuniwa, navyo viliumia sana kwa sababu hawa wachezaji walikuwa muhimu kwao.

Ikitokea na Yanga wachezaji wanarubuniwa, wavumilie. maumivu ni yale yale.

Gadiel Michael ni mchezaji ambaye Azam iliwekeza kwake akiwa mtoto mdogo. Mnajua uchungu wake?

Mnalalamika kwa mchezaji ambaye hata hamkuwekeza? Mmemkuta ameshakuwa senior player...vipi mngemkuza nyinyi?

Chanzo: Shaffih Dauda

GENTAMYCINE naomba huyu Zaka za Kazi apewe Ulinzi na ajengewe Sanamu yake kwa Madini haya na Hoja zake hizi Kuntu.

Na kuna Uwezekano mkubwa huyu Zaka za Kazi akawa na Aklli kuliko wana Yanga SC wote walioko ndani na nje ya Tanzania.

Pongezi / Kongole nyingi mno Kwake.
tamko rasmi la wanayanga hutolewa kwenye mkutano mkuu tu na sio mahali popote pale,hivyo hayo matamko yote ni riwaya tu
 
Kuna haja basi ya timu kua na mikataba na wachezaji wake kama akitaka kwenda timu yyte aende bila kuonana na uongozi?

Mbina tz tunapenda uovyo ovyo?
 
Mbumbumbu fc kitu mnachotakiwa muelewe Feisal Salum hajaomba Yanga avunjiwe mkataba Ili akatafute timu Nyingine.
Yeye ameamua Kuvunja mkataba kulingana na mapungufu aliyo yaona katika mkataba wake na Yanga na Sasa amesema Yuko huru.
Kwakua mchezaji yupo huru kinacho takiwa ni nyinyi mbumbumbu fc au timu nyingine yoyote kumsajili kwakua ni mchezaji huru.
Kuendelea kuilalamikikia Yanga ni ujuha wakati Yanga hai mmiliki uyo mchezaji.
Mbona unatoka nnje ya mada? Tupe maoni yako kulingana na bandiko la Zaka Zakazi,je aliyoyasema yalishawahi kufanywa na Yanga pia ya kuwarubuni wachezaji au la?
 
Na kuna Uwezekano mkubwa huyu Zaka za Kazi akawa na Aklli kuliko wana Yanga SC wote walioko ndani na nje ya Tanzania.
 
Zakazakazi naye akili hana. Ametoa hilo andiko kuutetea ugali wake kwa sababu ilishajulikana Feisal angesajiliwa na Azam kwa hiyo alikua anajaribu kuzilainisha akili za ma mbumbumbu kuwa kurudia kosa sio kosa kwakua mtendewa alishawahi fanya makosa. Mbumbumbu zisivyo na akili na zenyewe zikajaa humohumo.

Mwisho wa siku imejulikana nani ni nani na hakuna upuuzi wowote Yanga inaweza fantiwa na kiande yoyote. BTW haya maneno ya Zaka hayana proof kama ni kweli kama yalivyo ainishwa na Popoma
 
Back
Top Bottom