Nguvu kubwa ya kumtoa Feisal kwa fitina pale Yanga na usajili mkubwa wa wachezaji wa nje basi tunategemea Azam kuchukuwa kombe la ligi kuu(NBC) , Kombe la Shirikisho la Azam .
Simba kwa usajili wa wachezaji wa nje walioufanya kwa vibe na mbwembwe na jinsi MNAVYOJIAPIZA KUWA HAKUNA KAMA SIMBA MSIMU HUU basi tunategemea timu ichukuwe makombe yote ya ndani na ifike mbali zaidi kwenye michuano ya CAF.
NIMEONA MWAKA HUU YANGA HAINA VIBE WALA MAJIGAMBO, HIVYO HUENDA ITAKUWA NI TIMU YA KU STRUGGLE MSIMU HUU NA KWENYE LIGI IKIWA YA 3 AU 4 HATUTASHANGAA.
SIMBA NA AZAM NI WA KUCHEKWA WASIPOCHUKUWA VIKOMBE VYA NDANI NA WASIPOVUKA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA
Simba kwa usajili wa wachezaji wa nje walioufanya kwa vibe na mbwembwe na jinsi MNAVYOJIAPIZA KUWA HAKUNA KAMA SIMBA MSIMU HUU basi tunategemea timu ichukuwe makombe yote ya ndani na ifike mbali zaidi kwenye michuano ya CAF.
NIMEONA MWAKA HUU YANGA HAINA VIBE WALA MAJIGAMBO, HIVYO HUENDA ITAKUWA NI TIMU YA KU STRUGGLE MSIMU HUU NA KWENYE LIGI IKIWA YA 3 AU 4 HATUTASHANGAA.
SIMBA NA AZAM NI WA KUCHEKWA WASIPOCHUKUWA VIKOMBE VYA NDANI NA WASIPOVUKA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA