Mbuta Likaso
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 5,359
- 10,445
Uzi wa kichoko kutoka kwa Choko.
Ni suala tu la muda kabla ya hizi story zenu kuwekwa kwenye mashelfu ya kumbukumbu.Hii Simba ndiyo imefanya Tanzania tuwe na timu mbili mbili kwenye mashindano ya CAF.
Inawezekana una mtindio wa ubongo na hujaelewa tunachozungumzia ,, hapa mada ni kuwafunga waarabu kwao wakiwa full house sijazungumzia wakiwa dar es salaam 😂😂😂😂😂 NB : epuka kujifanya umeelewa kumbe umelewa na upo nje ya madaUmeanza kushabikia mpira juzi,Simba ameshazifunga sana timu za kiarabu kuliko timu yoyote nchini,si ajabu kumfunga nwarabu ila sio kitu cha kubeza,waarabu wanafitna sana ndani nanje ya uwanja,na wamewekeza sana,huyo mambululu aba thanani ya bilioni 4 sijui,
😂😂😂Tuwasubiri Tffnyie sio kukatwa point 6 tu hata kukatwa kichwa sawa tu