Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Wydad Umepigaje Hapo?
Kipindi Cha Pili
Sub ya kuingia Chama,Phiri,Miqqusone na Mzamiru ilikuwa na maana hii
1.Kuongeza Kasi kwenye eneo la mwisho labuwanja(zone C)
2.Kuongeza ubunifu (Chama)
3.Kupunguza hatari ya Kanoute ambaye alikuwa na Kadi ya njano
Sub hizi ilikuwa ni kamari kwasababu zilienda kupunguza pressing ya Simba kwenye mbele ya line ya kwanza Wydad kwa hiyo ule muundo wa 4+2 ukawa umekufa kwasababu Benchika alikuwa anataka ku attacks space zilizokuwa zinaachwa na Wydad wakati wamesogea juu kushambulia.
Simba hata wangecheza siku tatu wasingeweza kufunga goli mechi ya Jwaneng Galaxy,Asec Mimosa na Wydad huoni goli linatokea wapi.
Jean Baleke kadiri siku zinavyozidi kwenda Kuna kina kinapungua kwake.
NB
Unaruhusiwa kucheka kama timu yako ina alama zaidi mbili kwenye kundi.
Full-time
Wydad 1-0 Simba
@omarrkombo
Kipindi Cha Pili
Sub ya kuingia Chama,Phiri,Miqqusone na Mzamiru ilikuwa na maana hii
1.Kuongeza Kasi kwenye eneo la mwisho labuwanja(zone C)
2.Kuongeza ubunifu (Chama)
3.Kupunguza hatari ya Kanoute ambaye alikuwa na Kadi ya njano
Sub hizi ilikuwa ni kamari kwasababu zilienda kupunguza pressing ya Simba kwenye mbele ya line ya kwanza Wydad kwa hiyo ule muundo wa 4+2 ukawa umekufa kwasababu Benchika alikuwa anataka ku attacks space zilizokuwa zinaachwa na Wydad wakati wamesogea juu kushambulia.
Simba hata wangecheza siku tatu wasingeweza kufunga goli mechi ya Jwaneng Galaxy,Asec Mimosa na Wydad huoni goli linatokea wapi.
Jean Baleke kadiri siku zinavyozidi kwenda Kuna kina kinapungua kwake.
NB
Unaruhusiwa kucheka kama timu yako ina alama zaidi mbili kwenye kundi.
Full-time
Wydad 1-0 Simba
@omarrkombo