Simba fanyeni usajili wa wachezaji watakaowavusha zaidi ya hapo, vinginevyo wimbo utabaki kuwa ule ule miaka yote

Mtanzanias

JF-Expert Member
Jul 30, 2021
1,747
3,723
Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba na wachambuzi wakiipongeza simba kuwa pamoja na kutolewa na whydad lakini wamejitahidi.

Ikumbukwe kwenye hatua ya robo fainali akunaga cha kujtahidi kinachoangaliwa ni kuvuka kwenda hatua inayofata ya nusu fainali aijalishi umevukaje, na mafanikio yako yatapimwa hapo na sio vinginevyo.

Haiwezekani kila msimu unaoingia robo fainali safari yako inakomea hapo hapo iyo inamaanisha uwezo wa timu yako mwisho wake ni huo!

Wachezaji ulionao wana uwezo wa kukusogeza mpaka robo fainali tu basi na biashara inaishia hapo, Wengi walitegemea whydad ingeshinda magoli mengi jana lakini mpira auko ivyo, mpira una njia zake, ni ngumu sana kuifungua timu ambayo inakaa nyuma ya mpira karibia wachezaji 9 wote wakijilinda na uku ukimwacha baleke akiwa kama mtumishi hewa uwanjani, kwa maana iyo walitafuta goli lao moja la kulipa deni kisha wakatumia uwanja wao wa nyumbani kuvuka hatua inayofata kupitia mikwaju ya penalti.

Simba walitolewa kwenye mechi ya kwanza baada ya kushindwa kutumia uwanja wao vizuri kilichokuwa kinafata ndio icho kukamilisha ratiba, simba angeondolewa mashindanoni kwa njia yoyote ile ilikuwa ni suala la muda tu, Hii ni mara ya tatu simba anaishia robo fainali na maneno yakiwa ni yale yale ''Tumetolewa lakini tumejitahidi'' Sidhani kama kuna tuzo ya kujitahidi kwenye hii michuano, Unapotupwa nje ya michuano iyo inakuwa imeisha na wewe unabaki kujifariji na neno ''Tumejitahidi'' ambalo aliwezi kukusaidia lolote.

Wydad kafuzu nusu fainali na malengo yao yametimia aijalishi wamevuka kwa staili ipi, Uwezi kuwa unawategemea kiba john boko na erasto nyoni ndio wakupeleke nusu fainali ni uongo uliotukuka.

Sasa rudini nyumbani mjipange kufanya usajili vinginevyo yanga anakuja kwa kasi ya kimbunga kuwaonyesha ya kuwa kuna jambo lake analitaka na anataka kuvunja rekodi zote ambazo ndio kilikuwa kichaka cha mashabiki wa simba kutamba mitaani!
 
Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba na wachambuzi wakiipongeza simba kuwa pamoja na kutolewa na whydad lakini wamejitahidi,
Ikumbukwe kwenye hatua ya robo fainali akunaga cha kujtahidi kinachoangaliwa ni kuvuka kwenda hatua inayofata ya nusu fainali aijalishi umevukaje, na mafanikio yako yatapimwa hapo na sio vinginevyo, Aiwezekani kila msimu unaoingia robo fainali safari yako inakomea hapo hapo iyo inamaanisha uwezo wa timu yako mwisho wake ni huo!
Wachezaji ulionao wana uwezo wa kukusogeza mpaka robo fainali tu basi na biashara inaishia hapo, Wengi walitegemea whydad ingeshinda magoli mengi jana lakini mpira auko ivyo, mpira una njia zake, ni ngumu sana kuifungua timu ambayo inakaa nyuma ya mpira karibia wachezaji 9 wote wakijilinda na uku ukimwacha baleke akiwa kama mtumishi hewa uwanjani, kwq maana iyo walitafuta goli lao moja la kulipa deni kisha wakatumia uwanja wao wa nyumbani kuvuka hatua inayofata kupitia mikwaju ya penalti,
Simba walitolewa kwenye mechi ya kwanza baada ya kushindwa kutumia uwanja wao vizuri kilichokuwa kinafata ndio icho kukamilisha ratiba, simba angeondolewa mashindanoni kwa njia yoyote ile ilikuwa ni suala la muda tu, Hii ni mara ya tatu simba anaishia robo fainali na maneno yakiwa ni yale yale ''Tumetolewa lakini tumejitahidi'' Sidhani kama kuna tuzo ya kujitahidi kwenye hii michuano, Unapotupwa nje ya michuano iyo inakuwa imeisha na wewe unabaki kujifariji na neno ''Tumejitahidi'' ambalo aliwezi kukusaidia lolote,
Wydad kafuzu nusu fainali na malengo yao yametimia aijalishi wamevuka kwa staili ipi, Uwezi kuwa unawategemea kiba john boko na erasto nyoni ndio wakupeleke nusu fainali ni uongo uliotukuka,
Sasa rudini nyumbani mjipange kufanya usajili vinginevyo yanga anakuja kwa kasi ya kimbunga kuwaonyesha ya kuwa kuna jambo lake analitaka na anataka kuvunja rekodi zote ambazo ndio kilikuwa kichaka cha mashabiki wa simba kutamba mitaani!
Onyango atupishe
 
Kuna mahala umeongea ukweli, Kuna mahala umeongea utumbo.

1.Kuhusu kufanya usajili wa maana uko sahihi:Haya mambo ya kusajili akina Mo Watara, Nelson Okwa,n.k wa kuja kuishia benchi Simba iachane na mambo hayo. Mambo ya kuleta wachezaji wa kimataifa wa majaribio ni mambo ya hovyo mno. Viongozi wa Simba waliona wamefanikiwa kuingia robo fainali misimu kadhaa huko nyuma, na sasa kwakuwa walitaka kwenda hatua nyingine mbele ilikuwa lazima walete wachezaji 'visu' kweli kweli. Usajili ujao Simba ifanye kitu, mambo ya kuendelea kubaki na akina Onyango na wastaafu wenzake hewa yaishie jana, period!

2.Hili la kusema Simba isijipongeze na wala isipongezwe kwa hatua waliyofikia ni hoja isiyo na uungwana ndani yake. Yaani timu pekee kwenye soka la East and Central Africa (ukanda wote wa Cecafa) ndo imefanikiwa kufika quarter final ya CAFCL siyo jambo la kupongezwa? 🤔 Hujui kwamba hata kwa kuishia hatua hiyo tu imezidi kusaidia kuikomaza Simba kimataifa? Timu iliyokuwa inapiga 'hamsa hamsa' ugenini leo inatolewa kwa margin ndogo vile siyo udhihirisho kuwa imeongezeka ubora? Yaani timu kwa mara ya tati inalifanya taifa letu lipeleke timu 4 kimataifa bado ni jambo dogo? Acheni domo domo.
 
Kuna mahala umeongea ukweli, Kuna mahala umeongea utumbo.

1.Kuhusu kufanya usajili wa maana uko sahihi:Haya mambo ya kusajili akina Mo Watara, Nelson Okwa,n.k wa kuja kuishia benchi Simba iachane nao. Mambo ya kuleta wachezaji wa kimataifa wa majaribio ni mambo ya hovyo mno. Simba ifanye kitu, mambo ya kuendelea kubaki na akina Onyango na wastaafu wenzake hewa yaishie jana, period!

2.Hili la kusema Simba isijipongeze na wala isipongezwe kwa hatua waliyofikia ni hoja isiyo na uungwana ndani yake. Yaani timu pekee kwenye soka la East and Central Africa (ukanda wote wa Cecafa) ndo imefanikiwa kufika quarter final ya CAFCL siyo jambo la kupongezwa? 🤔 Hujui kwamba hata kwa kuishia hatua hiyo tu imezidi kusaidia kuikomaza Simba kimataifa? Timu iliyokuwa inapiga 'hamsa hamsa' ugenini leo inatolewa kwa margin ndogo vile siyo udhihirisho kuwa imeongezeka ubora? Yaani timu kwa mara ya tati inalifanya taifa letu lipeleke timu 4 kimataifa bado ni jambo dogo? Acheni domo domo.
Simba inakomazwa kimataifa mara ngapi? Ni mara ya ngapi hii simba inaishia hapo ilipoishia? Ebu tafuta kwanza takwimu ndio urudi hapa, hii ni mara ya tatu simba anaingia robo fainali, Shirikisho kaingia mara moja na klabu bingwa kaingia mara 2, jumla mara 3, unataka ukomavu upi unaouongelea labda? Kama ni kukomaa walishakomaa kwaiyo akuna jipya hapo uwezo umeishia hapo na unaposema ukodi kosta kwenda kuwapokea walioshindwa ni sawa na kuwadumaza kiakili wachezaji waendelee kujiona walichofanya ni sahihi kabisa kila msimu kuishia hatua iyo
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI.
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO.
Dah! Hawa wachezaji wote wakati mnawasajili, mliwapamba kweli kweli!
 
Kuna mahala umeongea ukweli, Kuna mahala umeongea utumbo.

1.Kuhusu kufanya usajili wa maana uko sahihi:Haya mambo ya kusajili akina Mo Watara, Nelson Okwa,n.k wa kuja kuishia benchi Simba iachane na mambo hayo. Mambo ya kuleta wachezaji wa kimataifa wa majaribio ni mambo ya hovyo mno. Viongozi wa Simba waliona wamefanikiwa kuingia robo fainali misimu kadhaa huko nyuma, na sasa kwakuwa walitaka kwenda hatua nyingine mbele ilikuwa lazima walete wachezaji 'visu' kweli kweli. Usajili ujao Simba ifanye kitu, mambo ya kuendelea kubaki na akina Onyango na wastaafu wenzake hewa yaishie jana, period!

2.Hili la kusema Simba isijipongeze na wala isipongezwe kwa hatua waliyofikia ni hoja isiyo na uungwana ndani yake. Yaani timu pekee kwenye soka la East and Central Africa (ukanda wote wa Cecafa) ndo imefanikiwa kufika quarter final ya CAFCL siyo jambo la kupongezwa? 🤔 Hujui kwamba hata kwa kuishia hatua hiyo tu imezidi kusaidia kuikomaza Simba kimataifa? Timu iliyokuwa inapiga 'hamsa hamsa' ugenini leo inatolewa kwa margin ndogo vile siyo udhihirisho kuwa imeongezeka ubora? Yaani timu kwa mara ya tati inalifanya taifa letu lipeleke timu 4 kimataifa bado ni jambo dogo? Acheni domo domo.
Uko sawasawa..
 
Kuna jamaa zangu mtaani huwa nawaambia hii Simba ya msimu huu inawezekana ndio Simba dhaifu kuliko zote zilizowahi kufika hatua ya robo fainali jamaa wananibishia nusura wanipige kabisa. Yes narudia tena hii Simba ni dhaifu kuliko zote ambacho kinatokea msimu huu ni aina ya wapinzani anaokutana na hamasa aliyonayo kwa msimu huu lakini kwa ubora wa kikosi hamna kitu kabisa.
 
Simba Hadi hapa imelamba Bilioni 1 na Milioni mia nane.

SUPER CUP BILIONI 4.
FANYE NI USAJILI.

Yanga
UTOPOLO AKA MITOMBOLYA ikifuzu hapa Milioni mia nane.

Tofauti ya club BINGWA na shirikisho
Mmmeloweshwa ***** na kelele zenu. Mtaishia hapo×2 daima
 
Simba Hadi hapa imelamba Bilioni 1 na Milioni mia nane.

SUPER CUP BILIONI 4.
FANYE NI USAJILI.

Yanga
UTOPOLO AKA MITOMBOLYA ikifuzu hapa Milioni mia nane.

Tofauti ya club BINGWA na shirikisho
Mmelowaa. Marehemu shifa yake kidomo kidomo
 
Kwani Rage anasemaje..?

Btw Siku tutakayoacha kusajili wachezaji wa kuungaunga kupitia madalali na ubahili ndio siku Tutakayocheza Fainali ya CAFCL.!
Full stop.
 
Nimeona baadhi ya mashabiki wa simba na wachambuzi wakiipongeza simba kuwa pamoja na kutolewa na whydad lakini wamejitahidi,
Ikumbukwe kwenye hatua ya robo fainali akunaga cha kujtahidi kinachoangaliwa ni kuvuka kwenda hatua inayofata ya nusu fainali aijalishi umevukaje, na mafanikio yako yatapimwa hapo na sio vinginevyo, Aiwezekani kila msimu unaoingia robo fainali safari yako inakomea hapo hapo iyo inamaanisha uwezo wa timu yako mwisho wake ni huo!
Wachezaji ulionao wana uwezo wa kukusogeza mpaka robo fainali tu basi na biashara inaishia hapo, Wengi walitegemea whydad ingeshinda magoli mengi jana lakini mpira auko ivyo, mpira una njia zake, ni ngumu sana kuifungua timu ambayo inakaa nyuma ya mpira karibia wachezaji 9 wote wakijilinda na uku ukimwacha baleke akiwa kama mtumishi hewa uwanjani, kwq maana iyo walitafuta goli lao moja la kulipa deni kisha wakatumia uwanja wao wa nyumbani kuvuka hatua inayofata kupitia mikwaju ya penalti,
Simba walitolewa kwenye mechi ya kwanza baada ya kushindwa kutumia uwanja wao vizuri kilichokuwa kinafata ndio icho kukamilisha ratiba, simba angeondolewa mashindanoni kwa njia yoyote ile ilikuwa ni suala la muda tu, Hii ni mara ya tatu simba anaishia robo fainali na maneno yakiwa ni yale yale ''Tumetolewa lakini tumejitahidi'' Sidhani kama kuna tuzo ya kujitahidi kwenye hii michuano, Unapotupwa nje ya michuano iyo inakuwa imeisha na wewe unabaki kujifariji na neno ''Tumejitahidi'' ambalo aliwezi kukusaidia lolote,
Wydad kafuzu nusu fainali na malengo yao yametimia aijalishi wamevuka kwa staili ipi, Uwezi kuwa unawategemea kiba john boko na erasto nyoni ndio wakupeleke nusu fainali ni uongo uliotukuka,
Sasa rudini nyumbani mjipange kufanya usajili vinginevyo yanga anakuja kwa kasi ya kimbunga kuwaonyesha ya kuwa kuna jambo lake analitaka na anataka kuvunja rekodi zote ambazo ndio kilikuwa kichaka cha mashabiki wa simba kutamba mitaani!
Kwa uchambuzi huu hakika nchi bado ina wajinga wengi wanaojitutumua kujua.
Unasema wachezaji ni wa kuishia robo fainali ila hao wachezaji wametoka kwa penalties hivi unataka kuniambia timu ikifungwa kwa penalties basi haikuwa na uwezo? Kama wametoka sare na Wydad in 180 minutes kwa nini usiseme wachezaji wanalingana viwango?

Unataka kuniambia Vinincius Junior ni bora kuliko Lionel Messi kisa Messi na PSG yake hawakuchukua taji la UEFA huku Vinincius akitwaa taji?

Kwa post yako hii umekiri wazi Simba ni bora zaidi hapa nyumbani maana kama ina wachezaji wa kuifikisha Robo fainali CAFCL means Yanga haina wachezaji wenye ubora wa wale wa Simba.

Argentina akiwa na Messi na kikosi cha wachezaji walioshine duniani kote hakuchukua taji lolote wamekuja kuchukua taji wakiwa na wachezaji wa kawaida tu.Unataka kuniambia Tiago Montiel ni bora kuliko Xavier Mascherano kisa Montiel kabeba WORLD CUP mascherano hana?
Unataka kuniambia CR7 hana ubora kisa hana World cup trophy?

Leta hoja zenye nguvu mezani , kwa mpira wa jana yeyote alikuwa anakwenda nusu fainali na kwa kuwa lazima aende mmoja ndo kaenda Wydad

Quality ya wachezaji pekee haiwezi kukuguarantee continental success kama ni hivyo PSG angekuwa na UEFA mbele ya Chelsea iliyochukua kwa wachezaji avarage kabisa.
Leicester City asingetwaa taji la EPL kama quality ya wachezaji ndiyo ultimatum maana hakuwa na wachezaji bora kuliko waliokuwepo MAN U ,CHELSEA , LIVERPOOL NA HATA MANCHESTER CITY.

MARA YA KWANZA TULITOLEWA KWA AGGREGATE YA 4-1 ,MARA YA PILI TUKATOLEWA KWA AGGREGATE YA 4-3 MARA YA TATU TUNATOLEWA KWA AGGREGATE YA PENALTIES 4-3 AFU UNASEMA HAKUNA CHA MAANA, BADILI MTAZAMO

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom