OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,646
- 9,227
Endapo simba atatinga robo fainali TANZANIA ndio itakua nchi pekee yenye timu mbili kwenye michuano ya CAFCL, Hii itatengeneza atention ktk michuano watataka kujua kunanini huko NBC PL? itatoa tafsiri kwamba ligi ya bongo ni ngumu na ni bora zaidi, lakini ukweli tunaujua sisi na viwanja vyetu vya CCM liti na gen isamulyo. south africa timu moja, Ghana no team, IVORY COAST timu moja, MOROCCO no team, ALGERIA no team, EGYPT 1 team, Tunisia 1 team , TANZANIA 2 team hapo mbona itakua poa sana yaani tuta raise maswali ya why? Kwenye vichwa vya waafrika wote wapenda soka. Hata akina PACOME na AZIZ KI hawatataka kuondoka BONGO.