Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

........... Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu ......
Hujafa Hujaumbika!

Unajiona mzima umekamilika viungo vyote kumbuka hasira za Mungu muda wowote anaweza akakufanya ukawa mlemavu!
 
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
watu wameikuta Simba day wao wakaiga mwaka wa pili kufanya wameshaanza kuwasema waanzilishi
 
JamiiForums-739198275.jpg
 
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Sawa mungu wa kibaniani
 
Back
Top Bottom