Simanjiro: James Millya vs Ole Sendeka

Simanjiro: James Millya vs Ole Sendeka

Hawa Chodomo wana midomomo kweli kweli yani mnafikiri mnavyo fanya nyinyi ndivyo tunavyofanya, Mimi silipwi na mtu yeyote wala sitegemei kulipwa Kama Oleleshwa, Mimi ni kazi yangu mzuri lakini ukweli ni kwamba Millya ameshakufa kisiasa kabisa, Hilo liko wazi hata yeye anajua Chadema Simanjiro ni sifuri......

Hivi tawi la Lumumba Arusha limeanza kazi lini?
 
Sijaona kabisa ni kwa vipi Ole Sendeka atammaliza Milya.This is too low!!
 
ukweli nimekupa hilo unalo la kulalia utatoka sana povu leo,. Yani wamasai ni manamba wetu watarajiwa make hamnaga akili hata kidogo

Unajua type za fallacy kijana?kuna moja inaitwa Hasty Generalization.Stop that
 
Mh Mbunge wa Simanjiro Chiristopher Ole Sendeka ameaamua kumpoteza kabisa hasimu wake wa kisiasa James Millya kwenye ramani ya siasa.Hatua hiyo imefikiwa na kiongozi huyo baada kijana huyu asiye na nidhamu kujigamba Mara nyingi kuwa ndiyo Mbunge wa Simanjiro ajaye.Kijana huyu alienda mbali zaidi kwa kuwahonga baadhi ya wazee wenye njaa Kali wakajiita wao ni wazee wa Simanjiro na kumsimika kuwa kiongozi wa Simanjiro yani Mbunge, vile vile tumeamua kusambaratisha kabisa kibaraka wake wa karibu anayemtumia Kama mwenye njaa Kali vile hapa namzungumzia kijana mmoja mdogo sana anaitwa Frank Oleleshwa ambaye amekuwa akitumika kumchafua Mbunge wetu.

Na huyu Oleleshwa mwambieni maana najua yuko huku Tukimuona Simanjiro tutamuhasi.

R.I.P MILLYA
R.I.P OLELESHWA
R.I.P CHADEMA SIMANJIRO

KWA KUMUONEA KIJANA HUYU ANAYEISHI MJINI KWA UFADHILI WA MILLYA AJE CCM TUMLIPIE DENI LAKE LA MWEKA.

Naona mmeamua kumKolimba mallya na Oleleshwa. Hivi bado fikra zenu ni za kimabwepande tu kiasi cha kushindwa kisiasa mnafiklia kuwahasi watu. Hapa si kwamba mtammaliza kisiasa bali mnapanga kumuua na kuondoka na roho yake. Ila kumbuka hata ikifanyika hivyo haitabadilisha ari ya waTanzania kupigania haki zao. Wameonewa vyakutosha, wamedhulumiwa vya kutosha, wamenyanyaswa isivyomithilika ukimya wao umekuwa ni mtaji wenu ninyi mafisadi. Hakika MUNGU yu upande wetu tulianza naye na tutamaliza naye. Ukiua unaifanya damu ya huyo uliyemuua idai ukombozi kichwani mwa watu.
 
Mzee Olesendeka ndio mkombozi wa Simanjiro.
Mkuu unalo leo! Kimsingi Kwa tunaoijua Simanjiro, niyapi hayo maendeleo yametokana na kuwepo kwa Mkombozi Huyo? Ila naomba utujibu katika maeneo yafuatayo tu;
1. Maendeleo ya Mifugo
2. Maendeleo ya Kilimo
3. Maendeleo ya Elimu na Afya
4. Raslimali; Madini, ardhi na Mbuga za wanyama.
Tunakusubiri!!!
 
Mh Mbunge wa Simanjiro Chiristopher Ole Sendeka ameaamua kumpoteza kabisa hasimu wake wa kisiasa James Millya kwenye ramani ya siasa.Hatua hiyo imefikiwa na kiongozi huyo baada kijana huyu asiye na nidhamu kujigamba Mara nyingi kuwa ndiyo Mbunge wa Simanjiro ajaye.Kijana huyu alienda mbali zaidi kwa kuwahonga baadhi ya wazee wenye njaa Kali wakajiita wao ni wazee wa Simanjiro na kumsimika kuwa kiongozi wa Simanjiro yani Mbunge, vile vile tumeamua kusambaratisha kabisa kibaraka wake wa karibu anayemtumia Kama mwenye njaa Kali vile hapa namzungumzia kijana mmoja mdogo sana anaitwa Frank Oleleshwa ambaye amekuwa akitumika kumchafua Mbunge wetu.

Amekuwa akiwapotosha vijana na wazee wengi wa Simanjiro ili wajiunge na CHADEMA, kwanza Oleleshwa aliwahi kukaimu kuwa mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro kwa mda tulimgundua kuwa ni kada wa CHADEMA, tulivyo msanukia na kumvua madaraka akahamia CHADEMA na akaondoka Simanjiro akahamia Arusha. Kijana huyu alisoma kwenye chuo kimoja cha wanyama Pori kilichoko Moshi na kuna taarifa kuwa ameshindwa kuajiriwa kwa sababu anadaiwa chuoni hapo hivyo ajakabidhiwa shahada yake, hivyo kijana huyu (Oleleshwa) anajipendekeza kwa James Millya kuona Kama Millya atamlipia Deni lake.

Kwanza kabisa huyu kamanda wa CHADEMA si mwanasiasa hivyo Hana uwezo wa kushindana na sisi, tunatangaza vita dhidi ya Millya, tunatangaza vita dhidi ya Oleleshwa, tunatangaza vita Dhidi ya CHADEMA Wilaya ya Simanjiro, sisi hatunywi viroba wala hatuvuti bangi, hawa CHADEMA wajaribu kukanyaga Simanjiro waone.

Na huyu Oleleshwa mwambieni maana najua yuko huku Tukimuona Simanjiro tutamuhasi.

R.I.P MILLYA
R.I.P OLELESHWA
R.I.P CHADEMA SIMANJIRO

KWA KUMUONEA KIJANA HUYU ANAYEISHI MJINI KWA UFADHILI WA MILLYA AJE CCM TUMLIPIE DENI LAKE LA MWEKA.

Nikikujibu utanisababishia ban....................... hongera kwa pumba zako zilizojaa majungu na fitina isiyo na madhara kwa Milya na chadema
 
Mh Mbunge wa Simanjiro Chiristopher Ole Sendeka ameaamua kumpoteza kabisa hasimu wake wa kisiasa James Millya kwenye ramani ya siasa.Hatua hiyo imefikiwa na kiongozi huyo baada kijana huyu asiye na nidhamu kujigamba Mara nyingi kuwa ndiyo Mbunge wa Simanjiro ajaye.Kijana huyu alienda mbali zaidi kwa kuwahonga baadhi ya wazee wenye njaa Kali wakajiita wao ni wazee wa Simanjiro na kumsimika kuwa kiongozi wa Simanjiro yani Mbunge, vile vile tumeamua kusambaratisha kabisa kibaraka wake wa karibu anayemtumia Kama mwenye njaa Kali vile hapa namzungumzia kijana mmoja mdogo sana anaitwa Frank Oleleshwa ambaye amekuwa akitumika kumchafua Mbunge wetu.

Amekuwa akiwapotosha vijana na wazee wengi wa Simanjiro ili wajiunge na CHADEMA, kwanza Oleleshwa aliwahi kukaimu kuwa mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro kwa mda tulimgundua kuwa ni kada wa CHADEMA, tulivyo msanukia na kumvua madaraka akahamia CHADEMA na akaondoka Simanjiro akahamia Arusha. Kijana huyu alisoma kwenye chuo kimoja cha wanyama Pori kilichoko Moshi na kuna taarifa kuwa ameshindwa kuajiriwa kwa sababu anadaiwa chuoni hapo hivyo ajakabidhiwa shahada yake, hivyo kijana huyu (Oleleshwa) anajipendekeza kwa James Millya kuona Kama Millya atamlipia Deni lake.

Kwanza kabisa huyu kamanda wa CHADEMA si mwanasiasa hivyo Hana uwezo wa kushindana na sisi, tunatangaza vita dhidi ya Millya, tunatangaza vita dhidi ya Oleleshwa, tunatangaza vita Dhidi ya CHADEMA Wilaya ya Simanjiro, sisi hatunywi viroba wala hatuvuti bangi, hawa CHADEMA wajaribu kukanyaga Simanjiro waone.

Na huyu Oleleshwa mwambieni maana najua yuko huku Tukimuona Simanjiro tutamuhasi.

R.I.P MILLYA
R.I.P OLELESHWA
R.I.P CHADEMA SIMANJIRO

KWA KUMUONEA KIJANA HUYU ANAYEISHI MJINI KWA UFADHILI WA MILLYA AJE CCM TUMLIPIE DENI LAKE LA MWEKA.

kwanza jina id yako olemandalo! Huna hata haya ! Nape amewafunza mipasho kweli bendi yenu inaitwaje?
Sasa Wewe Sendeka mmekalia kuti kavu ,msubiri huo moto!
Vimailbox vyote vya nape havina bahati!
 
Yakupasa kujenga hoja, na si kukimbia mbia ovyo kijana. Maswala ya kutolipa ada hapa jukwaani nafikiri si mahali pake. Nenda kajipange uje kivingine
 
Mkuu si uweke hata sentesi moja SENDEKA AMEFANYA NINI KUMWUA HUYO MILLYA! Otherwise pole kwa UMBEYA.
 
Hivi CCM mna chuo cha kufundishana ujinga? Kwani Sendeka ana hati miliki ya ubunge wa Simanjiro? Kaza buti Mallya.
 
think twice unapopost vi2! hili jhamvi lina watu wanaojielewa do U think unaweza kuwaconvice easily like that? we umetumwa kama jini tena vila malipo yoyote so! ndo hivo ushakuwa used km condom........think twice jinsi wanasimanjiro wanvyonyanyasika na serikali yako ya kifisadi~! hivi unamtisha nani.....do you declare kwamba simanjiro ni yenu, ww, olesendeka, babu yako na wengineo think twicw kijana cio unakurupuka huwezi kutudhoofisha makamada kirahic ivo! think twice, narudia think twice then ujijue wewe ni nan kama cio used condom!
 
Wewe ni nani hata utishie maisha ya watu?samahi ndugu hivi umeongea kwa mujibu wa katiba ya JMT au ya CCM? Mod kwa nini watu kama hawa msiwapige ban?

mods wanatakiwa kupiga ban watu wenye akili timamu ambao tunajua wakiandika upumbavu tunajua walidhamilia, lakini ban kwa watu sampuli ya huyu ni kwaonea tu, ila ingekuwa ni vyema kama tungekuwa tuna interact nao kwa macho tngekuwa tunawatia bakora
 
Anajaribu kutuambia nn?Maana kichwa cha habari kinasema MB Sendeka kamshika pabaya Millya lkn UKISOMA HABARI YOTE ni yeye mtoa habari ndiyo anazungumza!

Kuna sehemu yyt kamnukuu Sendeka kama hayo ndiyo maneno yake?
 
Mh Mbunge wa Simanjiro Chiristopher Ole Sendeka ameaamua kumpoteza kabisa hasimu wake wa kisiasa James Millya kwenye ramani ya siasa.Hatua hiyo imefikiwa na kiongozi huyo baada kijana huyu asiye na nidhamu kujigamba Mara nyingi kuwa ndiyo Mbunge wa Simanjiro ajaye.Kijana huyu alienda mbali zaidi kwa kuwahonga baadhi ya wazee wenye njaa Kali wakajiita wao ni wazee wa Simanjiro na kumsimika kuwa kiongozi wa Simanjiro yani Mbunge, vile vile tumeamua kusambaratisha kabisa kibaraka wake wa karibu anayemtumia Kama mwenye njaa Kali vile hapa namzungumzia kijana mmoja mdogo sana anaitwa Frank Oleleshwa ambaye amekuwa akitumika kumchafua Mbunge wetu.

Amekuwa akiwapotosha vijana na wazee wengi wa Simanjiro ili wajiunge na CHADEMA, kwanza Oleleshwa aliwahi kukaimu kuwa mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Simanjiro kwa mda tulimgundua kuwa ni kada wa CHADEMA, tulivyo msanukia na kumvua madaraka akahamia CHADEMA na akaondoka Simanjiro akahamia Arusha. Kijana huyu alisoma kwenye chuo kimoja cha wanyama Pori kilichoko Moshi na kuna taarifa kuwa ameshindwa kuajiriwa kwa sababu anadaiwa chuoni hapo hivyo ajakabidhiwa shahada yake, hivyo kijana huyu (Oleleshwa) anajipendekeza kwa James Millya kuona Kama Millya atamlipia Deni lake.

Kwanza kabisa huyu kamanda wa CHADEMA si mwanasiasa hivyo Hana uwezo wa kushindana na sisi, tunatangaza vita dhidi ya Millya, tunatangaza vita dhidi ya Oleleshwa, tunatangaza vita Dhidi ya CHADEMA Wilaya ya Simanjiro, sisi hatunywi viroba wala hatuvuti bangi, hawa CHADEMA wajaribu kukanyaga Simanjiro waone.

Na huyu Oleleshwa mwambieni maana najua yuko huku Tukimuona Simanjiro tutamuhasi.

R.I.P MILLYA
R.I.P OLELESHWA
R.I.P CHADEMA SIMANJIRO

KWA KUMUONEA KIJANA HUYU ANAYEISHI MJINI KWA UFADHILI WA MILLYA AJE CCM TUMLIPIE DENI LAKE LA MWEKA.
Inafiuka wakati ***** kama huu upuuzwe...hata na comments tusiweke kabisa
 
Wakati mwingine muwe waangalifu mnapokuja JF! Huyo Olesendeka ni mchafu kupitiliza.Acheni kutumika jamani.

Ikibidi ipo siku tutayaweka hapa tuondoe unafiki.Kama mnadhani ni mtu safi endeleeni kuchafua watu muone nini tutafanya.

nani msafi TZ?
 
HELLO,NADHANI WEWE HUJUI MAANA YA JF>>HUWEZI KUMWOMBEA MWENZAKO KIFO ,KWA KUWA MEWENYE MAMLAKA YA KUTOA ROHO NA KUUMBA NI MUNGU MWENYEZI TU.MWISHO SIPATI SHAKA PIA NAWE NI GRADUET WA SHULE ZA KATA.HONGERA.BUT KWA SISI WENYE AKILI ZETU TUNAJUA soon simanjiro inarudi cdm..haijalishi mmekula ngapi ya ole-sendeka.kazinayo kupromise ni kuwa wewe ni kijana jitambue ulikotoka na unakooenda..peoples poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeers!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwanza na wasiwasi na upeo wako wa kufikiri hili la kwanza lakini la pili nauhakika ujamaliza Darasa la Saba, nyinyi ndo mtaji mkubwa wa Chadema kwa UFADHILI mkubwa wa Viroba na hata sasa wewe hapo ulipo umekunywa vya kutosha Leo si mlikuwa kilimbero so kuna viroba vya kutosha, kijana Millya hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi, achilia mbali ubunge watu wa Simanjiro wanaakili hawawezi kuongozwa na Pongo Kama Millya, wa Ida ya siasa mjini, kwanza amesha fundishwa uhuni hatuwezi kumwamini tena na kwanza kwa taarifa yako anaomba kurudi CCM tumemkatalia sema Oleleshwa tutampokea huyu jamaa anatatizo moja anataka Millya amlipie Deni analodaiwa MWEKA sema akirudi home kitu kidogo sana.

Asante sana PhD holder , ila nimegundua kuwa huna lolote bali una njama ya kunitafutia ban tu , ili muendelee kuweka upuuzi wenu humu bila kuhojiwa ! Hakuna haja ya kulinganisha hoja na elimu , utapotea , hawa wote wanaotuibia wana elimu nzuri tu mbona haijawasaidia kitu ? Laiti kama ungemjua unayejibishana naye nina uhakika ungejificha kwa aibu ! Njaa isikufanye kipofu kiasi cha kumuona Sendeka kama yesu hivyo hatakiwi kupingwa , pole sana ndugu , narudia tena nitahakikisha kwamba Olle Sendeka harudi bungeni 2015 , sasa ni juu yako ujinyonge au ubaki hai .
 
Back
Top Bottom