alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 271
Kingine na utapeli umekuwa kwa kasi wanawake tumekuwa waoga sana.
Eiyer, kwa nini unisimamishe? Unanijua? Sisimami.Inawezekana ukawa unasema kweli
Lakini kuna mijamaa mingine ni noma
Ki msingi wanaume ndio tumeisababisha hii dhana kwa akina dada japokuwa nao kuishi kimazoea ni makosa
Unakuta mdada anasimamiswa na lijamaa limevaa kata kei halafu lina mirasta inanuka na minguo haijapigwa pasi ukiongeza na viatu amevaa ova saizi ukijumlisha na ile miondoko ya kibange bange,mdada atasimama kweli?
Eti King'asti , charminglady , Karucee , Khantwe , Evelyn Salt , ladyfurahia DEMBA , miss neddy Dinazarde , Kaunga , gfsonwin , AshaDii , KOKUTONA , Nyamayao kyanaKyoMuhaya na wengine hebu njooni mniambie kama mkisimamishwa na jamaa kama huyu mtasimama!
Habari zenu Wanajamii Forum,hivi huu mtindo wa kinadada haka ka mtindo ka kuleta nyodo mkisimamishwa barabarani inakuwa vipi?
Mfano mzuri kuna jamaa yangu alimsimamisha binti njiani kwa madhumuni ya kumuazima pen coz aliiona kaishika lakini yule mdada alimjibu kwa nyodo na kuendelea na safari yake lakini jamani kiukweli alikuwa anahiitaji ile peni aandikie namba ngeni ya simu iliyoingia kwa simu yake si kwa lengo la kumtongoza.
Jamani kina dada sio kila mtu anayekusimamisha barabarani anataka kukutongoza mbona kina kaka wakisimamishwa wa na kina dada wanasimama?acheni hizo bwana.