Onduru Ogy
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,136
- 1,175
Mkuu tuwe na heshima japo kidogo kwa mama zetu.
Mwanaume wa kweli hawezi tukana alipotokea na panapompa utamu.
Adabu haiuzwi dukani.
Ahsanta kwa kunielewa.
Nimekuelewa mkuu, hiyo kidogo nafikiri ninayo
Ila sijafikiria kwamba heshima na adabu kwa mama iko kwenye K yake.
Ila mwanamke ni mwanamke kwa sababu ana uke . Kuwa mama haimfanyi kutokuwa mwanamke.