Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
Kwa hali hii sielewi kodi yangu inakwenda wapi ndugu yangu majuzi alipata ajali tabora baada ya gari kupinduka la kazige kilochotokea baada ya kufika hospitali ya wilaya ya nzega kupata matibabu aliyoyapata wakamshona bila sindano ya ganzi alivyo wauliza watabibu wakamjibu hamna ganzi sasa kama hali ndo hivi kodi yangu inaenda wapi