Paul Makonda awavuruga CHADEMA hata kabla hajashika maiki na kuunguruma

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,311
9,739
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CHADEMA wamepigwa na kitu kizito kwelikweli kichwani mwao kilichopelekea kuvurugika akili zao. Uteuzi wa komandoo Makonda umewapiga sindano ya ganzi na kupooza miili yao na akili, kujawa na hofu na uoga wa hali ya juu sana.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA nzima haina mtu wa kuweza kupambana na Makonda jukwaani na mahali popote pale. Ndio maana unaona namna wanavyohangaika na jina la Makonda hata kabla hajafungua kinywa chake kuunguruma na kuzungumza.

Wanatambua Makonda ni silaha ya maangamizi kwa hoja dhaifu na siasa za matukio walizozizoea CHADEMA kutembea nazo. Sasa kwa Makonda ndio mwisho wao,n dio mwisho wa pumzi yao iliyokuwa imesalia katika mtungi wa hoja zao dhaifu.

CHADEMA wanajuwa komandoo Makonda ni jasiri, shupavu, madhubuti, imara na hodari sana wa siasa hapa nchini. Wanajuwa nguvu kubwa ya kihoja aliyonayo Makonda, wanajua ushawishi alionao na namna alivyo maridadi na hodari katika kupanga mipango mikakati ya ushindi katika vita na mapambano ya kisiasa.

Wanajua jina tu la Makonda ni kampeni na ushindi tosha, ndio maana tangia ameteuliwa muda wote wanamjadili kwa hofu na uoga, wanajuwa Makonda ni mkubwa kuliko kamati kuu yao yote.

Wanasema ukiona adui yako analia lia juu ya silaha unazotumia basi jua ameshaona kiama na mwisho wake, ameshaona kuwa hana uwezo wa kusimama nawe katika uwanja wa mapambano. Sasa CHADEMA wameshajua kuwa wanakwenda kupoteza mapambano yote mbele ya legendari Paul Makonda.

CHADEMA endeleeni kutulia hivyo hivyo na msijifaye mmekuwa washauri wa CCM au kujifanya mnaipenda sana CCM kwa sasa. Sahauni ushindi wa aina yoyote ile katika uchaguzi wowote ule na wa ngazi yoyote ile maana mnamfahamu vyema Makonda kuwa ni mtu wa kazi juu ya kazi, mguu kwa mguu mpaka kieleweke.

Tafuteni ajenda na siyo kurukia vimatukio vya kupita, maana mtaumia sana mbele ya CCM hii ya Rais Samia iliyojaa manguli na wabobezi wa sayansi ya siasa na wenye mipango ya kisayansi kwa kila jambo.

Oneni namna suala la Bandari mlivyoangukia pua baada ya serikali kuja na mkataba ulio pongezwa na kila mtu kutoka kila pande ya nchi yetu na kupokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania.

Sasa wameanza kuhamisha magoli kwa kusema eti mkataba uwekwe hadharani pasipo kutuambia ni wapi Duniani ambako mikataba ya kibiashara na kiuwekezaji huwa inawekwa hadharani kama nguo za mtoto.

Hiyo yote ni baada ya kuishiwa hoja na ajenda hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa CHADEMA hainaga ajenda inazosimamia zaidi ya kudandia vimatukio ambavyo hutupiwa kama mfupa ili kuwavuruga, hasa kwa kutambua ukweli kuwa CHADEMA ni mkusanyiko wa watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na kuelewa mambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CHADEMA wamepigwa na kitu kizito kwelikweli kichwani mwao kilichopelekea kuvurugika akili zao. Uteuzi wa komandoo Makonda umewapiga sindano ya ganzi na kupooza miili yao na akili, kujawa na hofu na uoga wa hali ya juu sana.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA nzima haina mtu wa kuweza kupambana na Makonda jukwaani na mahali popote pale. Ndio maana unaona namna wanavyohangaika na jina la Makonda hata kabla hajafungua kinywa chake kuunguruma na kuzungumza.

Wanatambua Makonda ni silaha ya maangamizi kwa hoja dhaifu na siasa za matukio walizozizoea CHADEMA kutembea nazo. Sasa kwa Makonda ndio mwisho wao,n dio mwisho wa pumzi yao iliyokuwa imesalia katika mtungi wa hoja zao dhaifu.

CHADEMA wanajuwa komandoo Makonda ni jasiri, shupavu, madhubuti, imara na hodari sana wa siasa hapa nchini. Wanajuwa nguvu kubwa ya kihoja aliyonayo Makonda, wanajua ushawishi alionao na namna alivyo maridadi na hodari katika kupanga mipango mikakati ya ushindi katika vita na mapambano ya kisiasa.

Wanajua jina tu la Makonda ni kampeni na ushindi tosha, ndio maana tangia ameteuliwa muda wote wanamjadili kwa hofu na uoga, wanajuwa Makonda ni mkubwa kuliko kamati kuu yao yote.

Wanasema ukiona adui yako analia lia juu ya silaha unazotumia basi jua ameshaona kiama na mwisho wake, ameshaona kuwa hana uwezo wa kusimama nawe katika uwanja wa mapambano. Sasa CHADEMA wameshajua kuwa wanakwenda kupoteza mapambano yote mbele ya legendari Paul Makonda.

CHADEMA endeleeni kutulia hivyo hivyo na msijifaye mmekuwa washauri wa CCM au kujifanya mnaipenda sana CCM kwa sasa. Sahauni ushindi wa aina yoyote ile katika uchaguzi wowote ule na wa ngazi yoyote ile maana mnamfahamu vyema Makonda kuwa ni mtu wa kazi juu ya kazi, mguu kwa mguu mpaka kieleweke.

Tafuteni ajenda na siyo kurukia vimatukio vya kupita, maana mtaumia sana mbele ya CCM hii ya Rais Samia iliyojaa manguli na wabobezi wa sayansi ya siasa na wenye mipango ya kisayansi kwa kila jambo.

Oneni namna suala la Bandari mlivyoangukia pua baada ya serikali kuja na mkataba ulio pongezwa na kila mtu kutoka kila pande ya nchi yetu na kupokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania.

Sasa wameanza kuhamisha magoli kwa kusema eti mkataba uwekwe hadharani pasipo kutuambia ni wapi Duniani ambako mikataba ya kibiashara na kiuwekezaji huwa inawekwa hadharani kama nguo za mtoto.

Hiyo yote ni baada ya kuishiwa hoja na ajenda hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa CHADEMA hainaga ajenda inazosimamia zaidi ya kudandia vimatukio ambavyo hutupiwa kama mfupa ili kuwavuruga, hasa kwa kutambua ukweli kuwa CHADEMA ni mkusanyiko wa watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na kuelewa mambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
CHADEMA NDIYO MWISHO WAO HAWANA HOJA ZA KUJIBU LA BANDARI LIMEISHA KISTAARABU SASA SIJUI WATAWADANGANYA NINI TEA WANANCHI
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CHADEMA wamepigwa na kitu kizito kwelikweli kichwani mwao kilichopelekea kuvurugika akili zao. Uteuzi wa komandoo Makonda umewapiga sindano ya ganzi na kupooza miili yao na akili, kujawa na hofu na uoga wa hali ya juu sana.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA nzima haina mtu wa kuweza kupambana na Makonda jukwaani na mahali popote pale. Ndio maana unaona namna wanavyohangaika na jina la Makonda hata kabla hajafungua kinywa chake kuunguruma na kuzungumza.

Wanatambua Makonda ni silaha ya maangamizi kwa hoja dhaifu na siasa za matukio walizozizoea CHADEMA kutembea nazo. Sasa kwa Makonda ndio mwisho wao,n dio mwisho wa pumzi yao iliyokuwa imesalia katika mtungi wa hoja zao dhaifu.

CHADEMA wanajuwa komandoo Makonda ni jasiri, shupavu, madhubuti, imara na hodari sana wa siasa hapa nchini. Wanajuwa nguvu kubwa ya kihoja aliyonayo Makonda, wanajua ushawishi alionao na namna alivyo maridadi na hodari katika kupanga mipango mikakati ya ushindi katika vita na mapambano ya kisiasa.

Wanajua jina tu la Makonda ni kampeni na ushindi tosha, ndio maana tangia ameteuliwa muda wote wanamjadili kwa hofu na uoga, wanajuwa Makonda ni mkubwa kuliko kamati kuu yao yote.

Wanasema ukiona adui yako analia lia juu ya silaha unazotumia basi jua ameshaona kiama na mwisho wake, ameshaona kuwa hana uwezo wa kusimama nawe katika uwanja wa mapambano. Sasa CHADEMA wameshajua kuwa wanakwenda kupoteza mapambano yote mbele ya legendari Paul Makonda.

CHADEMA endeleeni kutulia hivyo hivyo na msijifaye mmekuwa washauri wa CCM au kujifanya mnaipenda sana CCM kwa sasa. Sahauni ushindi wa aina yoyote ile katika uchaguzi wowote ule na wa ngazi yoyote ile maana mnamfahamu vyema Makonda kuwa ni mtu wa kazi juu ya kazi, mguu kwa mguu mpaka kieleweke.

Tafuteni ajenda na siyo kurukia vimatukio vya kupita, maana mtaumia sana mbele ya CCM hii ya Rais Samia iliyojaa manguli na wabobezi wa sayansi ya siasa na wenye mipango ya kisayansi kwa kila jambo.

Oneni namna suala la Bandari mlivyoangukia pua baada ya serikali kuja na mkataba ulio pongezwa na kila mtu kutoka kila pande ya nchi yetu na kupokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania.

Sasa wameanza kuhamisha magoli kwa kusema eti mkataba uwekwe hadharani pasipo kutuambia ni wapi Duniani ambako mikataba ya kibiashara na kiuwekezaji huwa inawekwa hadharani kama nguo za mtoto.

Hiyo yote ni baada ya kuishiwa hoja na ajenda hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa CHADEMA hainaga ajenda inazosimamia zaidi ya kudandia vimatukio ambavyo hutupiwa kama mfupa ili kuwavuruga, hasa kwa kutambua ukweli kuwa CHADEMA ni mkusanyiko wa watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na kuelewa mambo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hiyo namba imeishia 27? Huyu kwa mbaaali anaweza kukuzooom...! Mother kakukaushia...! Angalau komaa kwa huyu. Hii ndio Tz yetu Hakuna namna. Tutafanyenyeje sasa?. Hata yeye mwenyewe alilamba viatu vya riz1
 
Back
Top Bottom