idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
2015 harudi bungeni tutamsimamisha Jivava
te!te!te! Ila huyo jivava wake za watu watamkoma.
2015 harudi bungeni tutamsimamisha Jivava
te!te!te! Ila huyo jivava wake za watu watamkoma.
te!te!te! Ila huyo jivava wake za watu watamkoma.
Silinde tumemaliza nae chuo mwaka mmoja namjua vizur na mpaka kwake tbt nipajua,,, ndio mshkaj anamalizia nyumba yake ndo inamkeep busy kuwa dar mara nyingi na hata mdogo wake anaitwa T.... ameshamwambia sana bro utapoteza jimbo,,, tatizo ana biashara zinamtesa, plus wife ana watoto mapacha nao wanamchanganya si unajua watoto wakiumwa umwa na hata demu wake nae ajakomaa kiakili as walimaliza wote b com 2010 so kila jambo hadi silinde awepo alisolve na hii imesababisha ashindwe kufatilia mambo ya jimbo..
Ila msijali wadau wadau tunampush kamanda wetu wa m4c arudi jimbon kuleta maendeleo tusije tukapoteza jimbo kwa magamba uchaguz ujao
Mambo mengine kuanzia usoni yanaonekana tu ni uongo. Silinde amewajibu hovyo!?
Alisema yeye ni sauti ya simba na baada ya mwezi sita atasikika dunia kote lakini mpaka sasa jamaa anapwaya sana kama vp jaribuni kumshauri maana ubunge 2015 atasikia kwenye mtandao.
Sauti ya simba mana yake nini mkuu?
Nenda kamuulize.!
Siasa za SIlinde ni kama hataki jimbo
Silinde tumemaliza nae chuo mwaka mmoja namjua vizur na mpaka kwake tbt nipajua,,, ndio mshkaj anamalizia nyumba yake ndo inamkeep busy kuwa dar mara nyingi na hata mdogo wake anaitwa T.... ameshamwambia sana bro utapoteza jimbo,,, tatizo ana biashara zinamtesa, plus wife ana watoto mapacha nao wanamchanganya si unajua watoto wakiumwa umwa na hata demu wake nae ajakomaa kiakili as walimaliza wote b com 2010 so kila jambo hadi silinde awepo alisolve na hii imesababisha ashindwe kufatilia mambo ya jimbo..
Ila msijali wadau wadau tunampush kamanda wetu wa m4c arudi jimbon kuleta maendeleo tusije tukapoteza jimbo kwa magamba uchaguz ujao
Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.
Kazi ya mbunge ni ipi nyie wanafiki hapo juu
Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.
We jikoshe tu ila Silinde 2015 kesha poteza jimbo tayariWala tusiumize vichwa vyetu katika uzi huu kwani huyu jamaa katumwa dhahiri ila kaja kwa style ya kujikosha huku anatupia mawe! Eti mimi mwanachadema! Umetumwa ba Nape wewe! Shilinde unaweza kumlinganisha na gamba gani hata Tz? Shilinde mmoja na magamba 100 kumbuka! Angali hata picha yake inafanana na masaburi kabisa! Utamjuaje!
Mpeni tiketi Zitto agombee urais 2015Unafiki wa vijana na tamaa ya majimbo na vyeo vya vijana wenzao.Du kweli hawa vijana uchwara wenye safu nyembamba wanatisha..........Silinde piga mzigo baba na achana na walevi wachache kama SIAME wa CCM alikushindwa wewe sauti ya simba, je hawa vijana misukule ndio watakuweza?