MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Hakuna kulala, darasa kama kawaida huku porini.
Du hao jamaa wa wapi tena!
Teh teh, hivi kumbe bado watu wako kwenye Evolution mpaka sasa jamani, hiyo pic ni ya kweli maji moto au ndo mambo ya technologia?
kuna mama mmoja ana kandambili za kufa mtu hapo pichani