...sikwambii.....

...sikwambii.....

Ni vizuri basi kutenganisha fact na opinion; it is okay kutetea opinion yako lkn sio kulazimisha.

Kutoa mifano halisi ni nzuri pia, ila ni nzuri (kama lengo lako ni kusaidia na sio kuonesha ni bora kuliko wengine) kwenda zaidi na kuonesha context.

Washauri nasaha, kidogo ninachojua hawapaswi kukuambia nini cha kufanya. Wanatakiwa wakusaidie u-come up with nini cha kufanya.

Mwenyewe nimekuwa very authorative ndio maana nimeona nibadilike!
yeah uko sahihi sana, ngoja nijitahd nione kama ninaweza lol!
nimeona kama umenisema mm atii?? manake nakumbuka kwenye ule uzi wangu wa uvumilivu nilijitetea na uvumilivu wangu ingawa mlinipa za uso........... mweeeeeeeh!

but unajua nn kama mtu unatoa mfano halisi yaani lazima ukumbuke kwamba hauta apply kwa wote ila tu unatakiwa uwarishe wengine juu ya kwann ulichukua hatua uliyochukua hata kama wenzio wataona haina uzito lkn lazima uwaridhishe kwamba kwan ilikuwa hvyo.

hope mara nyingi sana nimekuona ukiwa unafanya hivo.
 
Kweli?
Yaani mimi kukuamini kwamba unajua what is best for you ni roho mbaya?
Si muda wote binadamu anajielewa yeye ni nani na anahitaji nn,si muda wote,na ndo maana tuna marafiki ,ndugu na watu wengine wa karibu kutushauri.....Basics za kuishi na mme au mke vizuri zipo universal lakini si wote wanazifahamu,wewe kama unazifahamu unaweza kumpa mwenzio……narudia acha choyo!!!
 
Si muda wote binadamu anajielewa yeye ni nani na anahitaji nn,si muda wote,na ndo maana tuna marafiki ,ndugu na watu wengine wa karibu kutushauri.....Basics za kuishi na mme au mke vizuri zipo universal lakini si wote wanazifahamu,wewe kama unazifahamu unaweza kumpa mwenzio……narudia acha choyo!!!

Pale ambapo hujui au huelewi cha kufanya, niambie nitakusaidia mpaka ujue cha kufanya. Nitakufanya uziidentify options na mwisho ufanye informed choice. Umeona jinsi gani sio mchoyo miye; only that l am changing the style ya kukwambia!
 
teh hicho kitchen party hizo full upotoshaji? makungwi wenyewe 95% hawana ndoa ...ooohoo chambia wine,oshea viroba loh!

Hahahaaaaaaaaa! Huku kwetu tunajuana uzuri tu! Hata kungwi hawi mtu mradi mtu! Lazima CV yake tuwetumeipitisha!!!!!!!

Na mtu kutokuwa na ndoa si kigezo kuwa yale mambo ya 6*6 hayajui upita walioolewa!!!!!!! La hasha inawezekana anayajua kuliko! Ndo karatasi tu pete ushahidi!!!!!

Mi najihusisha kungiwi anasema nini na sio yeye nani?
 
::
Shida haina adabu,
One day yes,,utatafuta kuambiwa hutaambiwa,
Na ukija ambiwa
Utakuwa umechelewa,
Yapo ya kuambiwa,
Yapo ya kufichwa,
Yapo ya kushauriwa,
Hakuna aliyehitimu katika Maisha.
=
 
Kitu kizuri kwenye "chicken party" zenu ni zawadi tu.
Mengine ni wizi mtupu
 
Naamini kabla hujaenda kupumzika mahali pema peponi,ipo siku utatuambia tu!
 
Naamini kabla hujaenda kupumzika mahali pema peponi,ipo siku utatuambia tu!

Bado sijachoka, kwanini nipumzike jamani. Nitakwambia lkn kwa jinsi ninayotaka kukuambia na sio kwa kukupangia jinsi ya kuishi.
 
Bado sijachoka, kwanini nipumzike jamani. Nitakwambia lkn kwa jinsi ninayotaka kukuambia na sio kwa kukupangia jinsi ya kuishi.
Mkuu kwa kuwa wewe ni binadamu najua lazima ipo siku nafsi yako itaonja mauti!
 
Mkuu kwa kuwa wewe ni binadamu najua lazima ipo siku nafsi yako itaonja mauti!

Sijakataa ila namuomba Mungu isiwe soon maana sijisikii uchovu bado. Au ni kosa kuomba niwepo niwepo kwanza?
 
Sijakataa ila namuomba Mungu isiwe soon maana sijisikii uchovu bado. Au ni kosa kuomba niwepo niwepo kwanza?
Kuomba maisha malefu ni jambo zuri sana!suala la kifo halina uhusiana na uchovu wa mwili wako,kwa sababu usisahau kuna vifo vya ajali!
 
Kuomba maisha malefu ni jambo zuri sana!suala la kifo halina uhusiana na uchovu wa mwili wako,kwa sababu usisahau kuna vifo vya ajali!

Ulisema 'nikapumzike mahali .....,,,' ndio maana nikasema bado sijachoka. Usijali nilikuwa naweka humor kidogo kwenye maneno ya ukweli mchungu.
 
Ulisema 'nikapumzike mahali .....,,,' ndio maana nikasema bado sijachoka. Usijali nilikuwa naweka humor kidogo kwenye maneno ya ukweli mchungu.
Usijali nilikuwa nakutisha kidogo,jnajua fika,hakuna binadamu asiyeogopa kifo!nakutakia siku njema!
 
Pale ambapo hujui au huelewi cha kufanya, niambie nitakusaidia mpaka ujue cha kufanya. Nitakufanya uziidentify options na mwisho ufanye informed choice. Umeona jinsi gani sio mchoyo miye; only that l am changing the style ya kukwambia!
Mhh haya mama,i like your poet.
 
Sorry I meant I like that you are a poet.i also used to write poems at school one of my favorite poem was "the Subsitute".....wish u see it one day.

My 'thanks' is still valid.
I real l don't know if l am a poet; turushie basi humu hiyo "The subsitute".
 
Back
Top Bottom