...sikwambii.....

...sikwambii.....

tuwe sirias kwenye mada
ni ngumu kweli kumwamini mtu 100% anayokuambia jinsi ya kuishi na mkeo/mume
unakuta mtu anaitisha semina ya laki moja ,mtu mwenyewe ndoa ilimshinda
misingi bora ya ndoa nadhani ni wanandoa wenyewe
 
Sikwambii utamu wa shemeji yako kwani utataka hadi umuonje
Sikwambii bajeti yangu ya shopping kani ukiiomba utatolewa nje
Sikwambii saizi ya dushelele la shemijio kwani wako hamkuti hata punje
Sikwambii siri ya mafanikio yangu 6*6 kani utataka hadi kiuno uvunje
Sikwambii umsamehe mumeo muache hio hivo wallet yake iwe nje nje

Sikwambii kuwa wewe mzuri sana utaanza kumdharau mumeo
Sikwambii shemeji mzuri utaanza kujishaua na mumeo
Sikwambii mmefanikiwa mtajibweteka na mumeo
Sikwambii umeanza kuzeeka hutojiamini na mumeo
Sikwambii mali zako zinaliwa utakurupuka kumuacha mumeo
 
Kaunga umenisuuza roho kwa hii post yako. Nimeipenda sana. Ulifikiri nini ukaona upost kitu unique kama hiki, halafu ni unisex pia.

Sikwambii jinsi ya kuwa mama wa kiafrika, kwani tayari wewe ni mama tena Mwafrika
Sikwambii jinsi ya kulea mwanao, kwani kila mtoto ni unique
Sikwambii jinsi ya kutunza nyumba yako, kwani sijui kilichopo nyumbani mwako
Sikwambii jinsi ya kuishi maisha yako kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii jinsi ya kuishi na mumeo, kwani huyo si mume wangu
Sikwambii jinsi ya kumwandalia chakula, kwani sijui mapendeleo yake
Sikwambii jinsi ya kuwa naye faragha, kwani ni ya wawili a faraghani
Sikwambii jinsi ya kuishi maisha yako, kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii ukashop wapi, kwani sijui mahitaji yako
Sikwambii uanze na kipi, kwani sijui uwezo wala matamanio yako
Sikwambii wahitaji nini, kwani mimi si mmiliki wa maisha yako
Sikwambii uishi vipi, kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii; sio kwasababu sitaki, bali kwakuwa SIJUI
Sikwambii; sio kwasababu mchoyo, bali kwakuwa sitaki KUKUPOTOSHA
Sikwambii; sio kwasababu sijali, bali kwakuwa si MNAFIKI
Sikwambii kwakuwa naamini UNAJUA kwani Mungu KAKIAMINI na kukukabidhi maisha yako.

.....Love you all and wishing you prosperity 2013 all tge way to 3013.....
 
dah! hii kali kwelikweli

Sikwambii utamu wa shemeji yako kwani utataka hadi umuonje
Sikwambii bajeti yangu ya shopping kani ukiiomba utatolewa nje
Sikwambii saizi ya dushelele la shemijio kwani wako hamkuti hata punje
Sikwambii siri ya mafanikio yangu 6*6 kani utataka hadi kiuno uvunje
Sikwambii umsamehe mumeo muache hio hivo wallet yake iwe nje nje

Sikwambii kuwa wewe mzuri sana utaanza kumdharau mumeo
Sikwambii shemeji mzuri utaanza kujishaua na mumeo
Sikwambii mmefanikiwa mtajibweteka na mumeo
Sikwambii umeanza kuzeeka hutojiamini na mumeo
Sikwambii mali zako zinaliwa utakurupuka kumuacha mumeo
 
tuwe sirias kwenye mada
ni ngumu kweli kumwamini mtu 100% anayokuambia jinsi ya kuishi na mkeo/mume
unakuta mtu anaitisha semina ya laki moja ,mtu mwenyewe ndoa ilimshinda
misingi bora ya ndoa nadhani ni wanandoa wenyewe

Elimu inasaidia sanaakwani ni vigumu kugundua na kukubali kuwa kuna vitu unakosea! Kuna vitu tu out of pride unakomaa ni haki kumbe sio! Mie semina sikosi!!!!!!!

Jst imagine usingeenda shule na kujifunza ungejua vitu vingapi? Si rahisi kujua mapyaaa yoote na ya zamani kijiweni!!!!!!!!

Education is sexy and sex education makes you sexier!!!!!!!!
 
Hapo kwenye hiyo line ya mwisho..hapo hapo! Mi zangu haziliwi, najiamini kuwa ni mwanamke anayeweza kumtosheleza mume kwa kila kitu. Labda tu kama ana tamaa ya vitu hivyo au tabia binafsi jambo ambalo kwa miaka mingi tuliyoishi sijawahi kuliona.

Sikwambii utamu wa shemeji yako kwani utataka hadi umuonje
Sikwambii bajeti yangu ya shopping kani ukiiomba utatolewa nje
Sikwambii saizi ya dushelele la shemijio kwani wako hamkuti hata punje
Sikwambii siri ya mafanikio yangu 6*6 kani utataka hadi kiuno uvunje
Sikwambii umsamehe mumeo muache hio hivo wallet yake iwe nje nje

Sikwambii kuwa wewe mzuri sana utaanza kumdharau mumeo
Sikwambii shemeji mzuri utaanza kujishaua na mumeo
Sikwambii mmefanikiwa mtajibweteka na mumeo
Sikwambii umeanza kuzeeka hutojiamini na mumeo
Sikwambii mali zako zinaliwa utakurupuka kumuacha mumeo
 
Hahaha, sio uchoyo amu; nimesema sitaki kukupotosha, kwani nikikwambia nitakupa uzoefu wangu uliojaa mistakes na madudu kibao!

The same to you dear.
sasa bi dada ukituambia c tutachuja mabaya tutakuachia, acha kutubania
 
tuwe sirias kwenye mada
ni ngumu kweli kumwamini mtu 100% anayokuambia jinsi ya kuishi na mkeo/mume
unakuta mtu anaitisha semina ya laki moja ,mtu mwenyewe ndoa ilimshinda
misingi bora ya ndoa nadhani ni wanandoa wenyewe

Exactly my point; yaani kila ndoa ni unique. Na ndio maana naweza nikashindwana na wanaume Sita nikaja nikafanya vizuri na mmoja.
Au mwanaume ambaye twamuita mkorofi anawezapata mwanamke ambaye wanaweza kuishi naye.
Again kwa watoto, wamezaliwa watatu same parents same malezi lkn unakuta mmoja kichomi.

Hivyo ikiwork kwako usitake for granted kuwa itawork kwa wengine. Let them find the remedy ambayo inasuit their situation!
 
tuwe sirias kwenye mada
ni ngumu kweli kumwamini mtu 100% anayokuambia jinsi ya kuishi na mkeo/mume
unakuta mtu anaitisha semina ya laki moja ,mtu mwenyewe ndoa ilimshinda
misingi bora ya ndoa nadhani ni wanandoa wenyewe

nawe una experience shost eenh
 
asante malenga wadada,Kaunga , smile na Lara, hope competition kwa Mhaya Ruta hiyo
 
Kaunga umenisuuza roho kwa hii post yako. Nimeipenda sana. Ulifikiri nini ukaona upost kitu unique kama hiki, halafu ni unisex pia.

Thanks Thando na karibu saana jamvini.

Sikwambii nilifikiri nini, kwani sipendi kukuongopea. LOL
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye hiyo line ya mwisho..hapo hapo! Mi zangu haziliwi, najiamini kuwa ni mwanamke anayeweza kumtosheleza mume kwa kila kitu. Labda tu kama ana tamaa ya vitu hivyo au tabia binafsi jambo ambalo kwa miaka mingi tuliyoishi sijawahi kuliona.

JIPE MOYO UTAYASHINDAAAA!!!!!! JIPEEEEEEE MOYOOOOOOOO!!!!!!! Hahahaaaaaaaa! Mumeo akiwa kitombi huko nje mtaa mzima utajua kasoro wewe mhusika tu!!!! Simply because NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE????????

Usijali mwaya IF YOU BELIEVE ANYTHING CAN HAPPEN!!!!!!!! Na HOPE IS THE LAST THING YOU LOOSE!!!!
 
Hahaha, usiniambie lkn ninong'ojeze! LOL
Nikingia kwa PC nitajwambia lipi nalijua na lipi l am going to find out!

Sikwambii utamu wa shemeji yako kwani utataka hadi umuonje
Sikwambii bajeti yangu ya shopping kani ukiiomba utatolewa nje
Sikwambii saizi ya dushelele la shemijio kwani wako hamkuti hata punje
Sikwambii siri ya mafanikio yangu 6*6 kani utataka hadi kiuno uvunje
Sikwambii umsamehe mumeo muache hio hivo wallet yake iwe nje nje

Sikwambii kuwa wewe mzuri sana utaanza kumdharau mumeo
Sikwambii shemeji mzuri utaanza kujishaua na mumeo
Sikwambii mmefanikiwa mtajibweteka na mumeo
Sikwambii umeanza kuzeeka hutojiamini na mumeo
Sikwambii mali zako zinaliwa utakurupuka kumuacha mumeo
 
sasa bi dada ukituambia c tutachuja mabaya tutakuachia, acha kutubania

Ukifind out with an open mind, it is more likely utapata majibu sahihi zaidi!
 
Exactly my point; yaani kila ndoa ni unique. Na ndio maana naweza nikashindwana na wanaume Sita nikaja nikafanya vizuri na mmoja.
Au mwanaume ambaye twamuita mkorofi anawezapata mwanamke ambaye wanaweza kuishi naye.
Again kwa watoto, wamezaliwa watatu same parents same malezi lkn unakuta mmoja kichomi.

Hivyo ikiwork kwako usitake for granted kuwa itawork kwa wengine. Let them find the remedy ambayo inasuit their situation!
ujue kuna theory nyingi sana mtaani.wanawake zaidi naona tunaongoza kwa kupotoshana mara ohoo ukitaka kumdatisha mumeo akija mbebe mgongoni muogeshe na karafuu mswakishe na tui la nazi...sasa wanaume wengine huwezi wafanyia hivo so unakuta mwanamke ambae anashindwa kufanya hivo anajiona inferior kwenye ndoa kwamba ndoa yake haijakaa vizuri kwa vile tu mumewe haswakii tui la nazi..
 
Sikwambii jinsi ya kuwa mama wa kiafrika, kwani tayari wewe ni mama tena Mwafrika
Sikwambii jinsi ya kulea mwanao, kwani kila mtoto ni unique
Sikwambii jinsi ya kutunza nyumba yako, kwani sijui kilichopo nyumbani mwako
Sikwambii jinsi ya kuishi maisha yako kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii jinsi ya kuishi na mumeo, kwani huyo si mume wangu
Sikwambii jinsi ya kumwandalia chakula, kwani sijui mapendeleo yake
Sikwambii jinsi ya kuwa naye faragha, kwani ni ya wawili a faraghani
Sikwambii jinsi ya kuishi maisha yako, kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii ukashop wapi, kwani sijui mahitaji yako
Sikwambii uanze na kipi, kwani sijui uwezo wala matamanio yako
Sikwambii wahitaji nini, kwani mimi si mmiliki wa maisha yako
Sikwambii uishi vipi, kwani Mungu KAKUAMINI na kukukabidhi maisha yako.

Sikwambii; sio kwasababu sitaki, bali kwakuwa SIJUI
Sikwambii; sio kwasababu mchoyo, bali kwakuwa sitaki KUKUPOTOSHA
Sikwambii; sio kwasababu sijali, bali kwakuwa si MNAFIKI
Sikwambii kwakuwa naamini UNAJUA kwani Mungu KAKIAMINI na kukukabidhi maisha yako.

.....Love you all and wishing you prosperity 2013 all tge way to 3013.....



Kumbe na wewe ni malenga? Thanks my, ila mengine kuhusu uloandika Smile kakujibu hapo juu. Utasema hujui kumbe wajua zaidi ya mke wake.
 
Hahaha, sio uchoyo amu; nimesema sitaki kukupotosha, kwani nikikwambia nitakupa uzoefu wangu uliojaa mistakes na madudu kibao!

The same to you dear.

Hapo nimekumbuka salaam za mwaka mpya za lara 1 kwenye ule uzi wake paragraph ya mwisho (Ignore society) wa 2013 acha ushamba ushamba wako!!take control, nadhani ndio maana mdau amu umemwacha atafakari mwenyewe kwa kuhofia utampa mwongozo potofu na yeye asifanye mambo kwa maslahi ya jamii

Shairi bomba
 
Elimu ni muhimu, unaipataje ni muhimu pia! Elimu ya kuambiwa ni tofauti na ya kufanya mwenyewe. Tangu kale na kale elimu ilikuwepo na hata wanyama wanayo pia.

Sex education pamoja na kutolewa kila siku haijaproduce desired results so far (IMO) na mara nyingi inaweza leta shida tu ktk ndoa.
Mf: mmeenda kwenye seminor na mada ikawa moto moto. Unafika nyumbani, mambo tofauti; matokeo yake unaanza kumcompare mumeo na mtoa mada (wishing he was like him). Unless hiyo elimu inakupa mbinu za kujitambua, kujikubali na kujiexplore itakibomoa zaidi ya kukujenga!
......Love urself n everybody else will.......

Elimu inasaidia sanaakwani ni vigumu kugundua na kukubali kuwa kuna vitu unakosea! Kuna vitu tu out of pride unakomaa ni haki kumbe sio! Mie semina sikosi!!!!!!!

Jst imagine usingeenda shule na kujifunza ungejua vitu vingapi? Si rahisi kujua mapyaaa yoote na ya zamani kijiweni!!!!!!!!

Education is sexy and sex education makes you sexier!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom