Sikutegemea Rais Samia angeiongoza Tanzania Masikini vizuri kuliko Magufuli

Hivi mnajua hizi stori za Magufuli tunazoziongelea hapa jukwaani mi nilijua ni sisi tuu au baadhi ya watu mtaani basi...

Mwezi March mwaka huu nilibahatika kwenda nyumbani kwa Waziri Fulani (Jina Linahifadhiwa) , mimi nilikuwa msindikizaji kwenye hafla flani ya kifamilia ya huyo Waziri...

Kitu kilinishangaza Baadae kwenye tafrija na story za hapa na pale huku tumechoka na tunajiandaa kuaga.. ni pale yule Waziri alipochomekea kiujanja kuhusu uongozi wa Magu kwa kusema.... " He was not fit enough for the big office in our country "

Nikiwa njiani tulijiuliza mengi... tukasema kumbe sio sisi tuu tunaomsema pekee... bali hata humo Serikalini watu wanaongea lugha moja...
Ndio ukweli huo siyo waziri tu hata maDC
 
Hata Mimi Nina amani Sana strictly speaking from the heart...kwanza nimekuwa na maendeleo makubwa Sana tofauti na mwendazake...mwenyezi mungu amjaalie atawale mpaka 2030 ameen
Tangia awatukane wana Kagera. Mto mgono nyie, ukimwi nyie. Matetemeko nyie alaf anarudi eti kutuosha eti "Mimi ni mzila nkende" akaambiwa ushatukana adhabu kutoka kwa Mungu utaipata tu . Si kwa kula hela za maafa ya wanakagera.
 
Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.

Wapiga debe mtapiga sana ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri. Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari. Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu.
Kama aliweza JPM hata mjmi naweza.
 
Mama kaituliza nchi,sasa hali ni shwari na tulivu, tulikua na hofu hata kuchart kwenye mitandao kuogopa wasiojulikana...Mungu aendelee kumpa afya njema mama yetu.
 
Tangia awatukane wana Kagera. Mto mgono nyie, ukimwi nyie. Matetemeko nyie alaf anarudi eti kutuosha eti "Mimi ni mzila nkende" akaambiwa ushatukana adhabu kutoka kwa Mungu utaipata tu . Si kwa kula hela za maafa ya wanakagera.
alikuwa akiweza kufurahia kutumia pesa umma kununua wapinzani na baadae kurudia uchaguzi( atleast 2bn kwa jimbo) lakini hapo hapo akala pesa za maafa
 
Mama kaituliza nchi,sasa hali ni shwari na tulivu, tulikua na hofu hata kuchart kwenye mitandao kuogopa wasiojulikana...Mungu aendelee kumpa afya njema mama yetu.
Kwa kweli sasa watu wananenepa.

Waziri Bashe alisema juzi alimwambia atamtumbua na kumtia jela.🤣🤣
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626

Wewe ndio sampuli ya mtu mwenye akili za kawaida.
 
Hivi mnajua hizi stori za Magufuli tunazoziongelea hapa jukwaani mi nilijua ni sisi tuu au baadhi ya watu mtaani basi...

Mwezi March mwaka huu nilibahatika kwenda nyumbani kwa Waziri Fulani (Jina Linahifadhiwa) , mimi nilikuwa msindikizaji kwenye hafla flani ya kifamilia ya huyo Waziri...

Kitu kilinishangaza Baadae kwenye tafrija na story za hapa na pale huku tumechoka na tunajiandaa kuaga.. ni pale yule Waziri alipochomekea kiujanja kuhusu uongozi wa Magu kwa kusema.... " He was not fit enough for the big office in our country "

Nikiwa njiani tulijiuliza mengi... tukasema kumbe sio sisi tuu tunaomsema pekee... bali hata humo Serikalini watu wanaongea lugha moja...
Wewe na nani mnaosema?

Hii nchi imejaa watu wapumbavu wengi kama wewe.

Yaani wewe unataka upate maoni ya mtu mwingine kukwambia kama hiki kitu kiko sawa ama hakiko sawa, wewe huoni?


Kwamba huyo waziri angesema jamaa alikua poa ungekuja kusema alikua poa, akisema alikua mbaya basi na wewe unashupaza shingo alikua mbaya, kwa nini usimamie msimamo wa mtu mwingine, kwani wewe huna akili?
 
..Kwenye suala la UKATILI Jpm amemzidi Ssh kwa mbali sana.

..Jpm angetoa kauli ya " ukinipara nitakuparua " lazima ingefuatiwa na tukio la mpinzani au mwanaharakati kuumizwa.

..Hakuna mwanadamu asiye na mazuri yake. Na kuna mambo mazuri Jpm aliyafanya.

..Kinacholeta tabu na mabishano ni kwamba mabaya[ ukatili ] ya Jpm yalivuka mipaka kuweza kuyafunika kwa mazuri yake.
Sitaki kuishi kwa kukariri, mabaya ya JPM hata kama yalikuwa makubwa kiasi gani hayawezi kunifanya nisione mabaya ya sasa.

Haya mahaba yenu ndio yanasababisha mumdumaze akili aendekee kuvunja sheria atakavyo, halafu mkishtuka usingizini mnaanza kumlalamikia tena!
 
Mtu asietii na kufuata sheria naona unampa sifa za kinafiki tu.

Kama Samia sio "one man army" kwanini alimuondoa Ndugai?

Kwanini anawakumbatia wakina Mdee bungeni na mahakamani?

Na wale DarMpya blog, kwanini TCRA wanawasumbua kwa kuripoti kwao habari ya wale wamasai fake waliokwenda kuigiza kuandamana nje ubalozi wa Kenya?

Unamsifia mtu aliyesema ukinipara nitakuparua?
Kwani mimi nilileta tetemeko
 
Sitaki kuishi kwa kukariri, mabaya ya JPM hata kama yalikuwa makubwa kiasi gani hayawezi kunifanya nisione mabaya ya sasa.

Haya mahaba yenu ndio yanasababisha mumdumaze akili aendekee kuvunja sheria atakavyo, halafu mkishtuka usingizini mnaanza kumlalamikia tena!

..i encourage you kuusimamia na kuuhoji utawala wa Ssh. Hiyo ni haki na wajibu wako kama raia mwema na mzalendo.

..siyo kwamba tumekariri mabaya ya Jpm. The fact is, he was that bad. Na tunakumbusha mabaya yake ili yasijekujirudia.
 
Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.

Wapiga debe mtapiga sana kwa sababu mna midomo mikubwa ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri.

Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari.

Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu ila ukweli ni kwamba hii nchi rais hakuna.
Mabosi wauza mafuta wanafuraha zaidi wakiitazama kilimanjaro.
 
Nikisoma baadhi ya comment ya watanzania kuna andiko ambalo linakuja kichwani mwangu Marko 6-4
4 Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika mji wake mwenyewe, na miongoni mwa jamaa na ndugu zake, na nyumbani kwake

Huyu huyu magufuli alipinga kuweka watu lockodown kuwa corona ni ugonjwa kama magonjwa mengi licha ya watu kutishwa lakini mwamba alisimama peke yake kutetea INCH yake na kuna baadhi ya wapumbavu walimpinga wengine wakamuita kichaa lakini leo tuko wapi?
Magufuli alifanya Tanzania iwe INCH yenye nguvu kubwa barani Afrika
Watu wengi walitamani kuwa wa Tanzania
Magufuli ambaye alifanya Tanzania ipande kiuchumi
Magufuli alikuwa kiongozi mwenye ushawishi mkuu duniani sio Afrika magufuli alikuwa kiongozi kipenzi cha wa africa
Magufuli alikuwa na uwezo wa kutoka Tanzania na kwenda katika inch zingine na kupokelewa kiufalme
Lakini watanzania ninyi ndo mnazarau wakongo sisi tuna tamani tungelipata kama yule mpaka sasa hivi upumbavu wa Rwanda ungelibaki kuwa story magugu was one of the powerful leader in Africa and many peoples know this
 
Sidhani kama ku
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
n rais atafanya vibaya zaidi ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom