Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,776
- 20,019
Farao kayafa nk....
🤣🤣🤣🤣Mungu ni mwemaNimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.
Ndio ukweli huo siyo waziri tu hata maDCHivi mnajua hizi stori za Magufuli tunazoziongelea hapa jukwaani mi nilijua ni sisi tuu au baadhi ya watu mtaani basi...
Mwezi March mwaka huu nilibahatika kwenda nyumbani kwa Waziri Fulani (Jina Linahifadhiwa) , mimi nilikuwa msindikizaji kwenye hafla flani ya kifamilia ya huyo Waziri...
Kitu kilinishangaza Baadae kwenye tafrija na story za hapa na pale huku tumechoka na tunajiandaa kuaga.. ni pale yule Waziri alipochomekea kiujanja kuhusu uongozi wa Magu kwa kusema.... " He was not fit enough for the big office in our country "
Nikiwa njiani tulijiuliza mengi... tukasema kumbe sio sisi tuu tunaomsema pekee... bali hata humo Serikalini watu wanaongea lugha moja...
Tangia awatukane wana Kagera. Mto mgono nyie, ukimwi nyie. Matetemeko nyie alaf anarudi eti kutuosha eti "Mimi ni mzila nkende" akaambiwa ushatukana adhabu kutoka kwa Mungu utaipata tu . Si kwa kula hela za maafa ya wanakagera.Hata Mimi Nina amani Sana strictly speaking from the heart...kwanza nimekuwa na maendeleo makubwa Sana tofauti na mwendazake...mwenyezi mungu amjaalie atawale mpaka 2030 ameen
Kama aliweza JPM hata mjmi naweza.Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.
Wapiga debe mtapiga sana ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri. Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari. Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu.
alikuwa akiweza kufurahia kutumia pesa umma kununua wapinzani na baadae kurudia uchaguzi( atleast 2bn kwa jimbo) lakini hapo hapo akala pesa za maafaTangia awatukane wana Kagera. Mto mgono nyie, ukimwi nyie. Matetemeko nyie alaf anarudi eti kutuosha eti "Mimi ni mzila nkende" akaambiwa ushatukana adhabu kutoka kwa Mungu utaipata tu . Si kwa kula hela za maafa ya wanakagera.
Kwa kweli sasa watu wananenepa.Mama kaituliza nchi,sasa hali ni shwari na tulivu, tulikua na hofu hata kuchart kwenye mitandao kuogopa wasiojulikana...Mungu aendelee kumpa afya njema mama yetu.
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.
Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.
Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?
Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.
Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.
Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.
Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Wewe na nani mnaosema?Hivi mnajua hizi stori za Magufuli tunazoziongelea hapa jukwaani mi nilijua ni sisi tuu au baadhi ya watu mtaani basi...
Mwezi March mwaka huu nilibahatika kwenda nyumbani kwa Waziri Fulani (Jina Linahifadhiwa) , mimi nilikuwa msindikizaji kwenye hafla flani ya kifamilia ya huyo Waziri...
Kitu kilinishangaza Baadae kwenye tafrija na story za hapa na pale huku tumechoka na tunajiandaa kuaga.. ni pale yule Waziri alipochomekea kiujanja kuhusu uongozi wa Magu kwa kusema.... " He was not fit enough for the big office in our country "
Nikiwa njiani tulijiuliza mengi... tukasema kumbe sio sisi tuu tunaomsema pekee... bali hata humo Serikalini watu wanaongea lugha moja...
Sitaki kuishi kwa kukariri, mabaya ya JPM hata kama yalikuwa makubwa kiasi gani hayawezi kunifanya nisione mabaya ya sasa...Kwenye suala la UKATILI Jpm amemzidi Ssh kwa mbali sana.
..Jpm angetoa kauli ya " ukinipara nitakuparua " lazima ingefuatiwa na tukio la mpinzani au mwanaharakati kuumizwa.
..Hakuna mwanadamu asiye na mazuri yake. Na kuna mambo mazuri Jpm aliyafanya.
..Kinacholeta tabu na mabishano ni kwamba mabaya[ ukatili ] ya Jpm yalivuka mipaka kuweza kuyafunika kwa mazuri yake.
ukute una miaka zaidi ya 45.Magu hakuwahi kuwa na qualities za Uraisi, Wala hakustahili kuwa Rais hata wa chama Cha Muziki
Kwani mimi nilileta tetemekoMtu asietii na kufuata sheria naona unampa sifa za kinafiki tu.
Kama Samia sio "one man army" kwanini alimuondoa Ndugai?
Kwanini anawakumbatia wakina Mdee bungeni na mahakamani?
Na wale DarMpya blog, kwanini TCRA wanawasumbua kwa kuripoti kwao habari ya wale wamasai fake waliokwenda kuigiza kuandamana nje ubalozi wa Kenya?
Unamsifia mtu aliyesema ukinipara nitakuparua?
Sitaki kuishi kwa kukariri, mabaya ya JPM hata kama yalikuwa makubwa kiasi gani hayawezi kunifanya nisione mabaya ya sasa.
Haya mahaba yenu ndio yanasababisha mumdumaze akili aendekee kuvunja sheria atakavyo, halafu mkishtuka usingizini mnaanza kumlalamikia tena!
Mabosi wauza mafuta wanafuraha zaidi wakiitazama kilimanjaro.Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.
Wapiga debe mtapiga sana kwa sababu mna midomo mikubwa ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri.
Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari.
Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu ila ukweli ni kwamba hii nchi rais hakuna.
HakikaWewe ndio sampuli ya mtu mwenye akili za kawaida.
n rais atafanya vibaya zaidi ya Magufuli.View attachment 2283628
Salaam Wakuu,
Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?
Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.
Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.
Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?
Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.
Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.
Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.
Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626