Sikutegemea Rais Samia angeiongoza Tanzania Masikini vizuri kuliko Magufuli

View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Rais Samia Suluhu ametutoa mbali sana aisee kuna watu waliona kama nchi ni ya kwao peke yao lakini sasa chini ya Rais Samia Suluhu Tanzania imekua na uhuru wa vyombo vya habari uhuru wa kujieleza pia miradi inakamilika kwa uwazi kabisa sio kwa kujificha kweli Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sana
 
Watanzania sijui tutajikomboa lini kutoka kwenye janga la ujinga!.

Hivi kwaakili yako ilivyofupi kama siyo Rais JPM kumteua Samia kuwa mgombea mwenza, leo hii Samia angekuwa Rais?

Kabla ya kumsifu Samia hebu appreciate kwanza uthubutu wa JPM kumteua Samia kuwa mgombea mwenza!

In real sense Samia amekuwa Rais kwa kuwa kupitia mlango wa nyuma, I mean bila kuhustle.

Halafu anatutambia sisi eti ni rais wa kweli nchi yenyewe imeshamshinda kila kukicha bei za bidhaa zinapata, tozo ndo usiseme, maji, umeme wa mgao kila siku.

Miradi yote inasuasua tu.
Hakuna mradi uliosimama chini ya Rais Samia Suluhu miradi yote inaendelea
 
Rais Samia Suluhu ametutoa mbali sana aisee kuna watu waliona kama nchi ni ya kwao peke yao lakini sasa chini ya Rais Samia Suluhu Tanzania imekua na uhuru wa vyombo vya habari uhuru wa kujieleza pia miradi inakamilika kwa uwazi kabisa sio kwa kujificha kweli Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sana
Hivi ili mtu uwe na tabia ya kusifiasifia sana nakusujudu unatakiwa kuwa nazo?
 
Sifuri kivipi na dira gani iliyopotea mpaka sasa? Magufuli alikuwa na agenda kuu 4, SGR, Bwawa la Mwalimu Nyerere, ujenzi wa makao makuj Dodoma na Air Tanzania. Ndani ya mwaka mmoja mama anaendeleza ujenzi katika vipande vyote vya Reli, na kazi inaendelea.

SGR katika kipindi cha mwaka mmoja ni kama amefanya double ya hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Bwawa. Air Tanzania zinaendelea kuaibgezeka na kufanya safari kama kawaida. Ndani ya mwaka mmoja amejenga vituo vya afya vingi kuliko Rais yoyote aliyewahi kumtangulia. Ndani ya mwaka mmoja Samia amejenga madarasa mengi kuliko Rais yeyote aliyemtangulia. Ndani ya mwaka mmoja amekamilisha mradi wa Megawati 85 pale Ubungo ambapo magufuli aliutelekeza akituaminisha kuwa gesi yote imeuzwa. Ni Samia Huyu kwa mara ya kwanza ameitoa bajeti ya Kilimo toka bilion 200+ hadi 900+; Ni Samia Huyu aliyefungua ten ajira baada ya msoto wa miaka 7.

Ni wapi unapata ujasiri wa kumpa sifuri kwenye uongozi wake. Punguzeni chuki Samia tries her best despite the difficult moment facing the world.
Sababu za chuki ni mbili tu, uzanzibari wake na jinsia yake.
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Mjinga wewe
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Kakuongoza wewe vizuri sio watanzania wala nchi ya Tanzania. Tanzania sio masikini ila ikiongozwa na watu wasio na ucgungu nayo ndio inaonekana ni maskini maana kila kukicha kukopa
 
Back
Top Bottom