Sikutegemea Rais Samia angeiongoza Tanzania Masikini vizuri kuliko Magufuli

Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.

Wapiga debe mtapiga sana ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri. Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari. Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu.
Sifuri kivipi na dira gani iliyopotea mpaka sasa? Magufuli alikuwa na agenda kuu 4, SGR, Bwawa la Mwalimu Nyerere, ujenzi wa makao makuj Dodoma na Air Tanzania. Ndani ya mwaka mmoja mama anaendeleza ujenzi katika vipande vyote vya Reli, na kazi inaendelea.

SGR katika kipindi cha mwaka mmoja ni kama amefanya double ya hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Bwawa. Air Tanzania zinaendelea kuaibgezeka na kufanya safari kama kawaida. Ndani ya mwaka mmoja amejenga vituo vya afya vingi kuliko Rais yoyote aliyewahi kumtangulia. Ndani ya mwaka mmoja Samia amejenga madarasa mengi kuliko Rais yeyote aliyemtangulia. Ndani ya mwaka mmoja amekamilisha mradi wa Megawati 85 pale Ubungo ambapo magufuli aliutelekeza akituaminisha kuwa gesi yote imeuzwa. Ni Samia Huyu kwa mara ya kwanza ameitoa bajeti ya Kilimo toka bilion 200+ hadi 900+; Ni Samia Huyu aliyefungua ten ajira baada ya msoto wa miaka 7.

Ni wapi unapata ujasiri wa kumpa sifuri kwenye uongozi wake. Punguzeni chuki Samia tries her best despite the difficult moment facing the world.
 
Tanzania hatujawahi kuwa na raisi toka tupate Uhuru na ndio maana ni taifa sio tu masikini bali ni fukara.Tatizo la wanaojiita maraisi wa Tanzania ni kutaka kutawala na sio kuongoza.wanataka kumiliki nchi na kila kitu kilichomo.Mimi hakuna raisi ninayemtambua mpaka pale tukipata raisi atakayerudisha nchi mikononi mwa wananchii.
 
Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.

Wapiga debe mtapiga sana ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri. Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari. Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu.

"Huyu mama", "Mzanzibari" haya maneno ya kejeli ndio kitu pekee walichonacho mashabiki wa mwendazake. Wamejaa ubaguzi wa kikabila,kitaifa na kijinsia
 
Magufuli hakuwa mzuri kwenye urais, alipaswa kuwa chini ya mtu mwingine wa kumfunga breki

Fikiria jamaa alienda kumwaga baharini karibu zile korosho zote za Mtwara na Lindi mwaka 2019 kisa kudhani kila kitu ni ubabe, eti wanajeshi wakusanye korosho na kuzibangua kwa mabomu....
Tunaomba ilo tipa lililotumika kwenda kumwaga hizo korosho mwaisa
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Mafisadi Magufuli alishamalizana nao ndio maana Mama ni Rahisi kuongoza

Magufuli kasafisha njia!...
 
Mtu asietii na kufuata sheria naona unampa sifa za kinafiki tu.

Kama Samia sio "one man army" kwanini alimuondoa Ndugai?

Kwanini anawakumbatia wakina Mdee bungeni na mahakamani?

Na wale DarMpya blog, kwanini TCRA wanawasumbua kwa kuripoti kwao habari ya wale wamasai fake waliokwenda kuigiza kuandamana nje ubalozi wa Kenya?

Unamsifia mtu aliyesema ukinipara nitakuparua?

..Kwenye suala la UKATILI Jpm amemzidi Ssh kwa mbali sana.

..Jpm angetoa kauli ya " ukinipara nitakuparua " lazima ingefuatiwa na tukio la mpinzani au mwanaharakati kuumizwa.

..Hakuna mwanadamu asiye na mazuri yake. Na kuna mambo mazuri Jpm aliyafanya.

..Kinacholeta tabu na mabishano ni kwamba mabaya[ ukatili ] ya Jpm yalivuka mipaka kuweza kuyafunika kwa mazuri yake.
 
Magu hakuwahi kuwa na qualities za Uraisi, Wala hakustahili kuwa Rais hata wa chama Cha Muziki
Qualities za Urais ni zipi?
Ungepewa wewe hio nafasi ungeiweza?

Kwenye keyboard mpo vizuri kutaype,wake zenu tu wanawapeleka puta
 
..Kwenye suala la UKATILI Jpm amemzidi Ssh kwa mbali sana.

..Jpm angetoa kauli ya " ukinipara nitakuparua " lazima ingefuatiwa na tukio la mpinzani au mwanaharakati kuumizwa.

..Hakuna mwanadamu asiye na mazuri yake. Na kuna mambo mazuri Jpm aliyafanya.

..Kinacholeta tabu na mabishano ni kwamba mabaya[ ukatili ] ya Jpm yalivuka mipaka kuweza kuyafunika kwa mazuri yake.
Alishasema hakutaka Apendwe mke wake alishampenda imetosha,huku watu kila siku ni kuanzisha uzi

Yalishapita hayo,wakunyooka walinyooshwa,tufanye mambo mengine sasa 😁😁
 
Qualities za Urais ni zipi?
Ungepewa wewe hio nafasi ungeiweza?

Kwenye keyboard mpo vizuri kutaype,wake zenu tu wanawapeleka puta
Unazungumzia mke Wangu na sio nchi, acha kupaniki, hivi Chato Iko kwenye topten kweli kwenye matokeo ya six?
 
Amezinyamazishaa...

Sijui zimenyamazishwaje....

Si

Lissu

Si Zitto... Si Mbowe si Lema.. Si Lipumba si Mzee wa Ubwabwa.

Si mitandaoni..si wapi. Yani mawhistle blower wote kimya.
Yani hadi Pascal Mayalla kimya..Si Peter Msigwa si nani.

Hawa watu wamefanyajwe!? Yani ni kweli Mama ni Perfectionist, amejibu dukuduku zote na kuituliza kiu.

Em ngoja tusubiri kwanza.
Uchawi upo mkuu...uchawi wa hela....
 
View attachment 2283628
Salaam Wakuu,

Waliposema Nchi ataiongoza Samia Suluhu niliogopa sana kwani niliona Wanamuangushia jumba Bovu. Pia nikasema hawa mafisadi atawamudu kweli?

Sasa ananiumbua.. Kweli Samia ni mwanamke Shupavu.

Sababu Maguli alikuwa one man army kama arnold schwarzenegger. Hakimu yeye, Polisi yeye, dereva yeye, mpiga ngoma yeye, Mchezaji yeye, muendesha mashitaka yeye.

Alifikia hatua ya kuamua ufe au uishi kama vile yeye ni Mungu. Nikajiuliza, hii roho ya hivi huyu mama hana, je, akibadilisha muelekeo itakuaje?

Nimeshangaa kuona nchi ipo kwenye Mstari bila polisi kupiga Mabomu, bila kuwananga Watendaji kwenye majukwaa ya Siasa, Bila watu kutekwa na Wasiojulijana, Shule zinajengwa za msingi hadi zawekwa tiles.

Hakika Wasiojulikana Wamezikwa na Magufuli. Tarehe 30 Tundu Lissu anarudi mambo yawe mwemelemwemele.

Tumuombee Rais wetu Samia Hassan aendelee kuwa na hofu na Mungu. Sasa tunaiona Kesho ya Tanzania tofauti na yule rais akiamka alikuwa anaamka na akili mpya.

Hakukuwa na wakumfunga kengere mzee yule mwendazake
View attachment 2283624View attachment 2283625View attachment 2283626
Mnajiuliza na kujijibu wenyewe kweli nyie viazi kweli
 
Kama huyu mama anaweza kuongoza nchi basi hii nchi haina sifa za kuiongoza, yoyote anaweza kuiongoza.

Wapiga debe mtapiga sana ila ukweli ni kwamba huyu mama ni sifuri. Huhitaji elimu ta form six kuona kua hili taifa limepoteza dira chini ya huyu Mzanzibari. Muda ni mwalimu mzuri, muda utasema tu.
Kwa kipimo chochote cha mwenye akili, Rais Samia is ahundred better kuliko mtangulizi wake.
 
Kama hana pressure ya makundi kwanini akawaondoa kina Lukuvi na Ndugai kwenye serikali yake, na kuwajaza watoto wa marafiki zake, na yule waziri shemeji yake?

Mnamjaza sifa za uongo.
Kwani Ndugai na Lukuvi, ni lazima wawe viongozi wakati wote? Kutokuwepo kwao kumepunguza nini? Jambo la muhimu ni je, Serikali inatekeleza namna gani majukumu yake.

Mbona huongelei Kalemani, Kabudi, Luhaga, Chamuriho, na wengine ambao waliwahi kuhudumu kwenye nafasi za Uwaziri, na baadaye wakaondolewa au kuachwa?

Tumsute Rais Samia kwa Serikali yake kushindwa kutekeleza majukumu yake lakini siyo eti kwa nini fulani yumo au hayumo kwenye Serikali yake. Labda kuwe na ushahidi wa kutosha kuwa kuna watu anapendelea au anawaonea, maana akifanya hivyo atakuwa amekiuka kiapo chake. Vingenevyo, tumwunge mkono katika yale yote mazuri ili Taifa lipige hatua baada ya kudumazwa kwa miaka 5.
 
Hivi mnajua hizi stori za Magufuli tunazoziongelea hapa jukwaani mi nilijua ni sisi tuu au baadhi ya watu mtaani basi...

Mwezi March mwaka huu nilibahatika kwenda nyumbani kwa Waziri Fulani (Jina Linahifadhiwa) , mimi nilikuwa msindikizaji kwenye hafla flani ya kifamilia ya huyo Waziri...

Kitu kilinishangaza Baadae kwenye tafrija na story za hapa na pale huku tumechoka na tunajiandaa kuaga.. ni pale yule Waziri alipochomekea kiujanja kuhusu uongozi wa Magu kwa kusema.... " He was not fit enough for the big office in our country "

Nikiwa njiani tulijiuliza mengi... tukasema kumbe sio sisi tuu tunaomsema pekee... bali hata humo Serikalini watu wanaongea lugha moja...
Kila mwenye uelewa mkubwa anajua kuwa Marehemu, kupewa nafasi kubwa kama ile ilikiwa ni kumwonea, sawa na kumbebesha kilo 50 mtoto wa miaka 15.

Nafasi kubwa kama ile inahitaji sana hekima na uelewa mpana wa mbo mengi kuliko maguvu.
 
Back
Top Bottom