Lidumu Azimio!
Ili iweje wakati lilikuwa tamko tu na wala haikuwa sheria tena ni la wana CCM tu na wala sio sisi wote. Ni uvivu wa kufikiri kudhani litatufaa. Halikusaidia chochote na halitaweza kusaidia binadamu yeyote duniani. It was really unresearched declaration.
Ujamaa was the concept that formed the basis of Julius Nyerere's social and economic development policies in Tanzania after Tanganyika gained independence from Britain in 1961 and its union with Zanzibar to form Tanzania in 1964. In 1967, President Nyerere published his development blueprint, which was titled the Arusha Declaration, in which Nyerere pointed out the need for an African model of development and that formed the basis of African socialism. Ujamaa comes from the Swahili word for extended family or familyhood and is distinguished by several key characteristics, namely that a person becomes a person through the people or community.
Nyerere used the Preventive Detention Act to brutally lock up people at will and victims numbered in thousands.
The government transferred people to new collective farms by giving them promises that later turned out to be false. Others were forced, for instance, by burning their villages. Armed police and military were used in population transfers. The economy collapsed and most of the population was close to starving to death. The nation survived only on foreign food.
Ujamaa was dismantled when Nyerere gave up power to Ali Hassan Mwinyi in 1985
WIKIPEDIA.....
Ujamaa was the concept that formed the basis of Julius Nyerere's social and economic development policies in Tanzania after Tanganyika gained independence from Britain in 1961 and its union with Zanzibar to form Tanzania in 1964. In 1967, President Nyerere published his development blueprint, which was titled the Arusha Declaration, in which Nyerere pointed out the need for an African model of development and that formed the basis of African socialism. Ujamaa comes from the Swahili word for extended family or familyhood and is distinguished by several key characteristics, namely that a person becomes a person through the people or community.
Nyerere used the Preventive Detention Act to brutally lock up people at will and victims numbered in thousands. The government transferred people to new collective farms by giving them promises that later turned out to be false. Others were forced, for instance, by burning their villages. Armed police and military were used in population transfers.[1] The economy collapsed and most of the population was close to starving to death. The nation survived only on foreign food.
Ujamaa was dismantled when Nyerere gave up power to Ali Hassan Mwinyi in 1985
Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, amesema Azimio la Arusha halijafutwa kama watu wengi wanavyodhani. Mwinyi alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa Benki ya Biashara ya Ukombozi, inayomilikiwa na Kanisa Katoliki.
***
Ujumbe kwa Mwinyi:
Ningependa kukumkumbusha Mheshimiwa Mwinyi kile alichosema Mwal. Nyerere baada ya Azimia la Zanzibar, kwamba "Wale wenye akili tukatambua Azimio la Arusha limeshafutwa".
Basi Mheshimiwa Mwinyi, kumbuka unapotoa kauli sizizo na msingi kama hiyo hapo juu wapo watu na akili zao wanaokusikiliza, kama alivyosema Mwalimu Nyerere. Kama huna cha kuongea afadhali ukae kimya na kufurahia pension yako. Kuna mengi uliburuzwa kufanya na wenye pesa, ambayo ni bora kwetu tukayasahau na kuganga yaliyopo, kwa sababu kama kuna kiongozi aliyetengeneza msingi wa ufisadi Tanzania basi ni wewe Mwinyi. Uliharibu misingi ya Azimio la Arusha kufikia hatua watu kuona elimu haina maana tena, bali kuwa mfanya biashara fisadi na wa tenda hewa. Uliua heshima yote ya kuwa mfanyakazi wa serikali na mashirika yake na kufanya wafanyabisahara, hasa wahindi, waonekane watu bora sana nchini. Ukaua heshima ya Ikulu, ya ofisi za Wizara, ya mamlaka za vyombo vya serikali, ukakuza mamlaka na utu wa pesa, tofauti kabisa na misingi ya Azimio la Arusha.
Ukatudanganyia "economy liberalization" wakati hasa policy yako ilikuwa "ufisadi liberalization".
Leo hii unathubutu kusema hukuua Azimio la Arusha!!! Hiki ni kichefuchefu kibaya zaidi ya cha mimba changa.
Mwinyi huna la kutuambia Watanzania, na tunakustahi sana, huenda usivyostahili.
Mnaolilia azimio la Arusha mnalijua nje ndani au mnaimba kama kasuku mkiwa? msingi mkuu ulikuwa ni kujitegemea, rejeeni miaka 5 kabla ya Mwinyi kuingia (1980-1985)Taifa lilikuwa kwenye mstari wa ujamaa??kama mpaka dawa ya meno, viberiti, sabuni n.k havikupatikana hata kwa mwenye pesa azimio lilikuwa na maana ipi? kama Nyerere aliweza kuingilia Bunge kupinga kuundwa serikali ya Tanganyika kweli alishindwa kuingilia CC ya CCM, eti hakujua hata agenda ya cc-ccm pamoja na uwepo wa akina Butiku na Kaduma kwenye mkutano huo.
Azimio lilikufa siku nyingi pale tulipoanza ku POLITISIZE ECONOMY while others ECONOMIZE THEIR POLITICS, vyama vya ushirika wakapewa makada badala ya wataalam wa ushirika,even in1985 Nyerere anaondoka Taifa lilikuwa ICU, kilichofanyika 1992 ni mazishi lakini azimio lilikufa longtime, kama tuli sign SAP ya IMF tulikuwa kweli na azimio?AZIMIO LA ARUSHA NA UCHUMI WA KIJAMAA HAVITENGAMANI waliua uchumi wa kijamaa ndo chinjachinja wa azimio msiwakabe waloshiriki mazishi. Walio uwa mashirika ya umma si walifanya hayo chini ya Nyerere, Mwinyi & Mkapa sasa iweje kengele avikwe mmoja, waliohujumu ujamaa mpaka taifa likose huduma za msingi kama suruali,sabuni ni MZEE RUKSA KWELI???
Eti hata mzee Butiku analilia AZIMIO LA ARUSHA wakati kila hatua ya kuliua (AKIWA MKUU WA UTUMISHI WA UMMA PALE IKULU) mpaka mazishi yake alihudhuria ZNZ, bt 2day anatoa kilio cha 'KWIKWI' kuliomboleza AZIMIO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mnaolilia azimio la Arusha mnalijua nje ndani au mnaimba kama kasuku mkiwa? msingi mkuu ulikuwa ni kujitegemea, rejeeni miaka 5 kabla ya Mwinyi kuingia (1980-1985)Taifa lilikuwa kwenye mstari wa ujamaa??kama mpaka dawa ya meno, viberiti, sabuni n.k havikupatikana hata kwa mwenye pesa azimio lilikuwa na maana ipi? kama Nyerere aliweza kuingilia Bunge kupinga kuundwa serikali ya Tanganyika kweli alishindwa kuingilia CC ya CCM, eti hakujua hata agenda ya cc-ccm pamoja na uwepo wa akina Butiku na Kaduma kwenye mkutano huo.
Azimio lilikufa siku nyingi pale tulipoanza ku POLITISIZE ECONOMY while others ECONOMIZE THEIR POLITICS, vyama vya ushirika wakapewa makada badala ya wataalam wa ushirika,even in1985 Nyerere anaondoka Taifa lilikuwa ICU, kilichofanyika 1992 ni mazishi lakini azimio lilikufa longtime, kama tuli sign SAP ya IMF tulikuwa kweli na azimio?AZIMIO LA ARUSHA NA UCHUMI WA KIJAMAA HAVITENGAMANI waliua uchumi wa kijamaa ndo chinjachinja wa azimio msiwakabe waloshiriki mazishi. Walio uwa mashirika ya umma si walifanya hayo chini ya Nyerere, Mwinyi & Mkapa sasa iweje kengele avikwe mmoja, waliohujumu ujamaa mpaka taifa likose huduma za msingi kama suruali,sabuni ni MZEE RUKSA KWELI???
Eti hata mzee Butiku analilia AZIMIO LA ARUSHA wakati kila hatua ya kuliua (AKIWA MKUU WA UTUMISHI WA UMMA PALE IKULU) mpaka mazishi yake alihudhuria ZNZ, bt 2day anatoa kilio cha 'KWIKWI' kuliomboleza AZIMIO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mnaolilia azimio la Arusha mnalijua nje ndani au mnaimba kama kasuku mkiwa? msingi mkuu ulikuwa ni kujitegemea, rejeeni miaka 5 kabla ya Mwinyi kuingia (1980-1985)Taifa lilikuwa kwenye mstari wa ujamaa??kama mpaka dawa ya meno, viberiti, sabuni n.k havikupatikana hata kwa mwenye pesa azimio lilikuwa na maana ipi? kama Nyerere aliweza kuingilia Bunge kupinga kuundwa serikali ya Tanganyika kweli alishindwa kuingilia CC ya CCM, eti hakujua hata agenda ya cc-ccm pamoja na uwepo wa akina Butiku na Kaduma kwenye mkutano huo.
Azimio lilikufa siku nyingi pale tulipoanza ku POLITISIZE ECONOMY while others ECONOMIZE THEIR POLITICS, vyama vya ushirika wakapewa makada badala ya wataalam wa ushirika,even in1985 Nyerere anaondoka Taifa lilikuwa ICU, kilichofanyika 1992 ni mazishi lakini azimio lilikufa longtime, kama tuli sign SAP ya IMF tulikuwa kweli na azimio?AZIMIO LA ARUSHA NA UCHUMI WA KIJAMAA HAVITENGAMANI waliua uchumi wa kijamaa ndo chinjachinja wa azimio msiwakabe waloshiriki mazishi. Walio uwa mashirika ya umma si walifanya hayo chini ya Nyerere, Mwinyi & Mkapa sasa iweje kengele avikwe mmoja, waliohujumu ujamaa mpaka taifa likose huduma za msingi kama suruali,sabuni ni MZEE RUKSA KWELI???
Eti hata mzee Butiku analilia AZIMIO LA ARUSHA wakati kila hatua ya kuliua (AKIWA MKUU WA UTUMISHI WA UMMA PALE IKULU) mpaka mazishi yake alihudhuria ZNZ, bt 2day anatoa kilio cha 'KWIKWI' kuliomboleza AZIMIO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!