Sikukuu ya Eid huko USA huwaje?

Sikukuu ya Eid huko USA huwaje?

Status
Not open for further replies.

MD25

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
3,074
Reaction score
1,030
Habari za mchana wana bodi

Eid Mubarak.

Ningependa kujulishwa USA nao wana pumzika (Eid mosi na Eid pili) kama tufanyavyo sisi huku wa Tanganyika na Zanzibar?

==================================================

Jibu la Swali Lako

==================================================

USA Eid si public holiday, ila waumini wa uislamu huchukua likizo ya siku mbili au tatu kwa wale walioajiriwa na wale waliojiajiri hufunga biashara zao ili washerehekee sikukuu hiyo.
 
hivi saudia arabia wanasherehekea x-mas

Mkuu Nguvu.
Sio kusheherekea tu. Wanafunga hadi biashara zao na kwenda mapumzikoni.
X-mas inasheherekewa na dunia nzima
 
Marekani ndio nani? Wanapanga wao sikukuu? Wana sabasaba? Tumia akili kuleta uzi jf
 
hivi saudia arabia wanasherehekea x-mas
Why not?

article-1339068-0C7F4DFB000005DC-27_634x621.jpg

Opulent: A guest walks past the $11million Christmas tree in the Emirates Palace hotel atrium in Abu Dhabi

article-1339068-0C7F4D0F000005DC-959_634x423.jpg

 
USA mbali huko!! hapo SAUZI hata hawaitambui.

Sauzi nako mbali mkuu, nenda Nairobi- Kenya tu hapa uone kama wanaitambua. Zama hizi nani wa kusubiri kusherehekea kwa kuangalia mwandamo wa mwezi? Enzi za ujima tushatoka bwana. After all nani wa kuhangaika na this movement of the wailers?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tena Christmas Tree Abu-Dhabi its so expensive compare to any location coz people there are crazy about the Holiday.
 
Hahahaa xmas!!!!!!! Sikukuu ya......google ujue asili ya xmas
 
Habari za mchana wana bodi

Eid Mubarak.

Ningependa kujulishwa USA nao wana pumzika (Eid mosi na Eid pili) kama tufanyavyo sisi huku wa Tanganyika na Zanzibar?

We don't have such things here.
 
Habari za mchana wana bodi

Eid Mubarak.

Ningependa kujulishwa USA nao wana pumzika (Eid mosi na Eid pili) kama tufanyavyo sisi huku wa Tanganyika na Zanzibar?

Wamerekani washehekee Iddy weee, haizewekani. walibelali wale hata bibilia wanauoimini hivi sasa hawaionei aibu tena, itakua Qur' an kitabu kisicho marekibisho.
 
yaani huku mbeya hakuna dalili yoyoye ya sikukuu
 
Hakuna kitu kinaitwa Xmass saudi arabia,pakistan,iran.msitiane ujinga nyie makafir
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom