No I don't!!Haya ni maoni ya kutolewa kwenye team, u wanna be in?
Kwenye ma guest hatuendi bhana................
Habari ya siku nyingi kwanza? Hope watu hawajaniibia........nlivyokuwa sipo
Nimeipenda hii analysisSikuku inayo ongoza ni mwaka mpya.....Sababu huwa haigemei upande wowote wa dini na umri wote husherehekea mpaka ma beck 3.
Sikukuu inayofuata ni X-mass kiukweli wakristo ni wengi zaidi ya waislam vile vile hata hao waislam wachache nao hujumuika.
Inayo fuata ni idd hii nayo watu hungonoka sana.
Valentine day huwa haina mashiko yoyote zaidi ya kufanyika kwa tabaka fulan tu la watu.Imekaa kimalaya zaidi mtoto wa geti kali na house girl hawawezi kuenjoy.
Ni hayo tu mkuu kwa mtizamo wangu.
Idi elfitri. Ile sikukuu baada ya mfungo, watu wanakua na kiu