Sikujua kama ni mke wa mtu

Sikujua kama ni mke wa mtu

Yamekuwa ya kuliwa tigo tena!!!?

Hahahahahahahaaaaa mkuu umenichekesha sana! Kwani wewe ulidhani mwenye mke akikubamba kwako wewe atakula nini zaidi ya Tigo? Take care!
 
Yan unathubutu kusema eti nazani kuliwa tigo ni rahisi hivyo Ngoja nikwambie siku ukikaa kwenye 18 yake utakutana na baunsa kama wa5 hivi wanasuburi kula kabangi yako hapo ndio utajua movie ipo episode ya ngap
 
Yaani wengi wenu mnanipa vitisho badala ya kunipa techniques za kummkimbia huyu binti any way shukrani kwa wale mlionipa mwanga wa nini cha kufanya,nyie wa kuliwa tigo nawaambieni mie mzizi mkavu sichimbwi dawa hao mabaunsa ni kama mapulizo dawa yao sindano....
 
Hahahah jf bhana,Raia wanahamu uliwe kabang ili wafurahi wanajisahau kuwa hata ukifanywa hayo hutarudi na mrejesho.
 
Mshawishi aachane na Chapombe uchukue mzigo tokomea nae mbali
 
Back
Top Bottom