Sikujua kama ni mke wa mtu

Sikujua kama ni mke wa mtu

Endelea kujinafasi man ila usisahau na mazoezi ya kuikatia mauno dyudyu
 
Wanajamvi,

Toka ndani ya moyo wangu niliapa sitokuja kuzini na mke wa mtu,miezi 6 iliyopita nilikutana na binti moja mtaani hapo nilipohamia nilitokea kumpenda sana ndipo siku moja nikafanikiwa kukaa nae chini kumpa yanayonisibu moyoni.Kama kawaida akaniambia usijali nipe muda nikatafakari, haikupita wiki mrembo akatinga kwangu bila cha kupiga simu wala nini,mara TANESCO nao umeme wakakata.

Basi tangu siku hiyo maisha yakaendelea, kilichonishtua zaidi kwa mrembo huyu kila nikimuomba tutwange selfie japo tujione tunavyolandana hataki, siku moja akanipigia simu akaniambia kuanzia nisimpigie simu usiku eti babake yupo nyumbani hivyo tuwasiliane mchana au usiku yeye ndio ataanza nitafuta.

Siku mbili baadae mida ya saa 4 usiku mrembo akaja kwangu akiwa simpo tu nusu kulala nusu kuamka kufika ndani akadai amemiss dyudyu ikabidi nimpe haki yake wakati anaondoka ikabidi nimuulize umetokaje kwenu ili hali baba yupo akaniambia amelewa sana hajitambui daah nikachukulia poa tu.Baada ya wiki siku moja mrembo akaja kwangu lakini siku hiyo hakuwa na furaha sana baada ya kumdadisi kwa maswali ikabidi anipe ukweli ulioupasua moyo wangu.

Eti yule alieniambia ni baba kumbe ni mume wake ila siku nyingi akai nyumbani kwa mwezi anarudi baada ya siku 24 toka huko mgodini anakofanya kazi na hata akiwa Off yeye ni pombe kwenda mbele na kutanua na marafiki Off ikiisha anasepa hivyo ananiomba nisimuache sababu mimi ndio faraja yake,akaniambia mumewe hana muda nae hivyo uwepo wangu kwake unaongeza thamani ya maisha.

Kwa kweli niliumia sana maana kichwani nilishaanza kuamini nimempata msichana ambae atakuwa mke wangu! Wanajamvi ebu nishaurini nifanyeje nahisi nikumuacha roho itaniuma nikiona mshkaji mwingine anagegeda maana nilichogundua huyu mrembo yupo desperate na ndoa yake, bt nafsi yangu haipo tayari kuendelea kuzini na mke wa mtu nahitaji msichana ambae yupo single ili tuje kuwa mume na mke baadae lakini mwili umegoma kumuacha mrembo huyu maana tuliyoyafanya sitamani kuyamiss ila jamaa (Chapombe) akijua kama mie ndio nagegeda papuchi aliyoitolea mahari itakuwaje?

Ushauri wenu tafadhari najua hii ni hatari niame mtaa sijui?
lazima utashika ukuta tu hakuna namna
 
ebanaa eeeh sisi wanaume nani katuroga utaanzaje kumtongoza binti mtaani bila kumjua vyema,unageuza mtaa bar au dangulo la wanawake..jesus christ
 
Kuna jamaa aliingiziwa chelewa hapo mbele afu ikavunjwa vunjwa ikiwa ndani kisa mke wa mtu....endelea tu kubandua
 
Usiyaamin maneno ya mwanamkee wengi wao sio wakwel! Acha uasherati! Kaa mbali na huyo mke wa mtu fanya toba mrudie Mungu wako! Ukipanda mbegu mbya itaota! Kesho na wewe ukija oa yatakukuta! Na wenzio watamtafunaa
 
Umepima laikini.Mgodini kwa umeme ni balaa sana, kama ni TANESCO kukatika inakatika kweli kweli
 
Wanajamvi,

Toka ndani ya moyo wangu niliapa sitokuja kuzini na mke wa mtu,miezi 6 iliyopita nilikutana na binti moja mtaani hapo nilipohamia nilitokea kumpenda sana ndipo siku moja nikafanikiwa kukaa nae chini kumpa yanayonisibu moyoni.Kama kawaida akaniambia usijali nipe muda nikatafakari, haikupita wiki mrembo akatinga kwangu bila cha kupiga simu wala nini,mara TANESCO nao umeme wakakata.

Basi tangu siku hiyo maisha yakaendelea, kilichonishtua zaidi kwa mrembo huyu kila nikimuomba tutwange selfie japo tujione tunavyolandana hataki, siku moja akanipigia simu akaniambia kuanzia nisimpigie simu usiku eti babake yupo nyumbani hivyo tuwasiliane mchana au usiku yeye ndio ataanza nitafuta.

Siku mbili baadae mida ya saa 4 usiku mrembo akaja kwangu akiwa simpo tu nusu kulala nusu kuamka kufika ndani akadai amemiss dyudyu ikabidi nimpe haki yake wakati anaondoka ikabidi nimuulize umetokaje kwenu ili hali baba yupo akaniambia amelewa sana hajitambui daah nikachukulia poa tu.Baada ya wiki siku moja mrembo akaja kwangu lakini siku hiyo hakuwa na furaha sana baada ya kumdadisi kwa maswali ikabidi anipe ukweli ulioupasua moyo wangu.

Eti yule alieniambia ni baba kumbe ni mume wake ila siku nyingi akai nyumbani kwa mwezi anarudi baada ya siku 24 toka huko mgodini anakofanya kazi na hata akiwa Off yeye ni pombe kwenda mbele na kutanua na marafiki Off ikiisha anasepa hivyo ananiomba nisimuache sababu mimi ndio faraja yake,akaniambia mumewe hana muda nae hivyo uwepo wangu kwake unaongeza thamani ya maisha.

Kwa kweli niliumia sana maana kichwani nilishaanza kuamini nimempata msichana ambae atakuwa mke wangu! Wanajamvi ebu nishaurini nifanyeje nahisi nikumuacha roho itaniuma nikiona mshkaji mwingine anagegeda maana nilichogundua huyu mrembo yupo desperate na ndoa yake, bt nafsi yangu haipo tayari kuendelea kuzini na mke wa mtu nahitaji msichana ambae yupo single ili tuje kuwa mume na mke baadae lakini mwili umegoma kumuacha mrembo huyu maana tuliyoyafanya sitamani kuyamiss ila jamaa (Chapombe) akijua kama mie ndio nagegeda papuchi aliyoitolea mahari itakuwaje?

Ushauri wenu tafadhari najua hii ni hatari niame mtaa sijui?
Tuliyoyafanya sitamani kuyamiss hahah.... endelea tu maana hakuna namna sasa... ila nawe UTALIWA tu
 
sawa hukujua ila kwa sasa unajua... sepa haraka kabla hujaliwa tamu na mumewe! pole
 
Raia huku kitaa siku hizi wakifumania hata hawakuui ila wanatumia kanuni hii "TTTK"

T - Teka
T - Tafuna
T - Tigo
K - Kimya Kimya

haya kazi kwako mkuu mi nshaku ALERT tu
 
Wanajamvi,

Toka ndani ya moyo wangu niliapa sitokuja kuzini na mke wa mtu,miezi 6 iliyopita nilikutana na binti moja mtaani hapo nilipohamia nilitokea kumpenda sana ndipo siku moja nikafanikiwa kukaa nae chini kumpa yanayonisibu moyoni.Kama kawaida akaniambia usijali nipe muda nikatafakari, haikupita wiki mrembo akatinga kwangu bila cha kupiga simu wala nini,mara TANESCO nao umeme wakakata.

Basi tangu siku hiyo maisha yakaendelea, kilichonishtua zaidi kwa mrembo huyu kila nikimuomba tutwange selfie japo tujione tunavyolandana hataki, siku moja akanipigia simu akaniambia kuanzia nisimpigie simu usiku eti babake yupo nyumbani hivyo tuwasiliane mchana au usiku yeye ndio ataanza nitafuta.

Siku mbili baadae mida ya saa 4 usiku mrembo akaja kwangu akiwa simpo tu nusu kulala nusu kuamka kufika ndani akadai amemiss dyudyu ikabidi nimpe haki yake wakati anaondoka ikabidi nimuulize umetokaje kwenu ili hali baba yupo akaniambia amelewa sana hajitambui daah nikachukulia poa tu.Baada ya wiki siku moja mrembo akaja kwangu lakini siku hiyo hakuwa na furaha sana baada ya kumdadisi kwa maswali ikabidi anipe ukweli ulioupasua moyo wangu.

Eti yule alieniambia ni baba kumbe ni mume wake ila siku nyingi akai nyumbani kwa mwezi anarudi baada ya siku 24 toka huko mgodini anakofanya kazi na hata akiwa Off yeye ni pombe kwenda mbele na kutanua na marafiki Off ikiisha anasepa hivyo ananiomba nisimuache sababu mimi ndio faraja yake,akaniambia mumewe hana muda nae hivyo uwepo wangu kwake unaongeza thamani ya maisha.

Kwa kweli niliumia sana maana kichwani nilishaanza kuamini nimempata msichana ambae atakuwa mke wangu! Wanajamvi ebu nishaurini nifanyeje nahisi nikumuacha roho itaniuma nikiona mshkaji mwingine anagegeda maana nilichogundua huyu mrembo yupo desperate na ndoa yake, bt nafsi yangu haipo tayari kuendelea kuzini na mke wa mtu nahitaji msichana ambae yupo single ili tuje kuwa mume na mke baadae lakini mwili umegoma kumuacha mrembo huyu maana tuliyoyafanya sitamani kuyamiss ila jamaa (Chapombe) akijua kama mie ndio nagegeda papuchi aliyoitolea mahari itakuwaje?

Ushauri wenu tafadhari najua hii ni hatari niame mtaa sijui?

Saa kama jamaa anarudi baada ya siku 24, kwann akukataze kumpigia simu usiku, wakata mtu hayupo!

Anza story upya
 
Back
Top Bottom