Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Niliposoma heading nikajua Chadema wamemfukuza Shibuda kumbe maigizo tu...Chadema hawana ubavu wa kumfukuza Shibuda hata siku moja Shibuda ni Kamanda sio diwani wa Arusha utamfukuza kwa barua.
Kama ambavyo CCM imeshindwa kulivua gamba la mapacha waliobaki?