Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,505
Leo watu wakisherehekea siku ya wanawake, napigiwa simu na mama yangu analia mama yake amefariki muda si mrefu, ntamkumbuka Kwa mambo mengi, vituko na wajukuu wake.
Alikuwa akisumbuliwa na uvimbe ndani ya kibofu cha mkojo, tulimpeleka hospitali lakini akakataa kufanyiwa upasuaji, pia presha ilipanda Kwa hiyo ikashindikana na kakataa kabisa akasema arudishwe nyumbani, ameugua kama mwaka hivi na ndipo leo kaaga dunia.
Nahisi sitaisahau hii siku ya leo na tarehe yake nitakumiss bibi yangu Mwanaloshinge upumzike Kwa amani nasi tupo njiani twaja siku yoyote.
RIP BIBI
Alikuwa akisumbuliwa na uvimbe ndani ya kibofu cha mkojo, tulimpeleka hospitali lakini akakataa kufanyiwa upasuaji, pia presha ilipanda Kwa hiyo ikashindikana na kakataa kabisa akasema arudishwe nyumbani, ameugua kama mwaka hivi na ndipo leo kaaga dunia.
Nahisi sitaisahau hii siku ya leo na tarehe yake nitakumiss bibi yangu Mwanaloshinge upumzike Kwa amani nasi tupo njiani twaja siku yoyote.
RIP BIBI