Siku ya Uhuru wa Habari: Absalom Kibanda azungumza Ukweli Mchungu! Apata a Standing Ovation!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda, amezungumza kwa ukali na kwa uchungu jinsi utawala wa JK ilivyo kandamizi kwa uhuru wa habari kuliko utawala mwingine wowote Tanzania!.

Huku akielezea kwa uchungu kuhusu kifo cha Mwanahabari Daidi Mwangisi, na kuelezea madhila yaliyomkuta yeye ya kungolewa kucha, meno na jicho!, kumbe serikali ya Tanzania iliulizwa rasmi na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu matokeo haya, Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe, alitoa taarifa ya uongo kuwa madhila yaliyomkuta Kibanda, ni mambo binafsi!.

Kibanda ametoa hoja za msingi sana, nafanya utaratibu kuipata video yake niwawekee, msikilize wenyewe!.

Baada ya kumaliza ukumbi mzima ulisimama na kumpigia makofi ya Standing Ovation!.

Pasco


OFFICIAL OPENING

Moderator: Prof. Penina Mlama (UDSM) / Edda Sanga (SJMC)​


MC's of the event: Jane Mihanji/ Usia Nkhoma-Ledama​




TIME


ACTIVITY



POINT PERSON

08:00 09:00
Registration & Entertainment
Secretariat
09:00 09:10
Welcome Remarks & Introduction of WPFD
Simon Berege - Chairperson MISA-TAN
09:15
[FONT=&#48148]09:20 – 09:25[/FONT]
09:25 09:30
09:30 09:35
09:35
Messages from the Organizers
UNESCO
MCT
T
MF
MOAT
UTPC
TEF[
TAMWA
KAS
TCRA
Zulmira Rodriguez -Head of Office & Resident Director
Kajubi Mukajanga - MCT Executive Secretary
Ernest Sungura -TMF Director
Dr. Reginald Mengi MOAT Chairperson
Kenneth Simbaya -UTPC President
Absalom Kibanda -TEF Chairperson
Valerie Msoka -Executive Director Stefan Reith -KAS Resident Representative[
Prof. John Nkoma TCRA Director General
09:55
Messages from the Sponsors
Alliance One, Abood , Altaf, GEPF, PSPF, TANAPA
10:25
Greetings from Ambassadors/ International organizations present
MC (to call names following alphabetical order)
10:45
RC to give Message from Govt. and to invite special guest
Hon. Dr. Rajab Rutengwe
Morogoro Regional Commissioner
10:50
Message from Special guest and to invite Chief Guest to address audience
Ambassador Filiberto Cerian Sebregondi
EU Head of Delegation
11:30
Speech, official Opening by Chief Guest and Launching of:
So This Is Democracy (MISATAN)
[State of the Media Report (MCT)
Alvero Rodriguez
UN System Resident Coordinator
11:30
Group Photo at the Hotel Garden
ALL
11:40
Health Break
ALL
12:00
Presentation Analysis of the recently tabled Bills and the way forward
Dr. Ayub Rioba-Lecturer (SJMC)
12:30
Presentation Social Media
Innocent Mungy TCRA-Head of Cooperate Communication
12:45
TMFReflections on the media landscape in Tanzania
Ernest Sungura- TMF Director
13:30
[FONT=&#48148]Lunch Break[/FONT]
ALL
14:30
Plenary & Resolutions of the Day
ALL
15:30
Official Closing
Government Representative
19:30
Cocktail Party (at Kingsway or Nasheera)
ALL
 
Hivi sasa anazungumza Innocent Mungy kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TCRA.

Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Africa kuhamia katika mfumo wa Digitali kwa asilimia 100!. Tanzania ina sim card milioni 32, vituo vya redio 107, na vituo vya Televisheni 28!.
 
Wanabodi,

Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda, amezungumza kwa ukali na kwa uchungu jinsi utawala wa JK ilivyo kandamizi kwa uhuru wa habari kuliko utawala mwingine wowote Tanzania!.

Huku akielezea kwa uchungu kuhusu kifo cha Mwanahabari Daidi Mwangisi, na kuelezea madhila yaliyomkuta yeye ya kungolewa kucha, meno na jicho!, kumbe serikali ya Tanzania iliulizwa rasmi na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu matokeo haya, Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe, alitoa taarifa ya uongo kuwa madhila yaliyomkuta Kibanda, ni mambo binafsi!.

Kibanda ametoa hoja za msingi sana, nafanya utaratibu kuipata video yake niwawekee, msikilize wenyewe!.

Baada ya kumaliza ukumbi mzima ulisimama na kumpigia makofi ya Standing Ovation!.

Pasco

si alisema anawajua waliompiga si awataje aache ujinga wa kutafuta sifa za hivyo
 
huyu si ndo juzi alionekna kwenye video clip amekaa na wahuni wa ACT akadai siku alipotofautina na katibu mkuu wa CDM kesho yake akatekwa?? leo anadai serikali ya jk ndo ilmshughulikia mbona haeleweki?huyu jamaa ana matatizo sana ni njaa au ninii??
Wanabodi,

Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda, amezungumza kwa ukali na kwa uchungu jinsi utawala wa JK ilivyo kandamizi kwa uhuru wa habari kuliko utawala mwingine wowote Tanzania!.

Huku akielezea kwa uchungu kuhusu kifo cha Mwanahabari Daidi Mwangisi, na kuelezea madhila yaliyomkuta yeye ya kungolewa kucha, meno na jicho!, kumbe serikali ya Tanzania iliulizwa rasmi na Jumuiya ya Kimataifa kuhusu matokeo haya, Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe, alitoa taarifa ya uongo kuwa madhila yaliyomkuta Kibanda, ni mambo binafsi!.

Kibanda ametoa hoja za msingi sana, nafanya utaratibu kuipata video yake niwawekee, msikilize wenyewe!.

Baada ya kumaliza ukumbi mzima ulisimama na kumpigia makofi ya Standing Ovation!.

Pasco
 
Pasco, kwani ilishathibitishwa Kibanda kapigwa na serikali?
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine unafki wenu unawaponza.
Kwangu kwa JK uhuru wa vyombo vya habari umekuwa mkubwa kuliko awamu yoyote.

Mnamsema Rais, mnatukana mitandaoni lakini Mzee wa watu hana shida.

Ungekuwa ule wakati wa Ben sijui hata kama JAMIIFORUMS ingekuwepo.

Uhuru gani mnautaka zaidi ya Huu?
 
Mungy ni sawa na Makamba bro . I know the guy ni mchumia tumbo . I lived him in UK . Unless niambiwa ni TISS hapo pia inakuwa jambo jingine .
Mkuu Lunyungu, huyu jamaa na wife wake nimesoma nao chuo kimoja na, tulikuwa class moja na mimi na wife wangu na wao ndio our best man na matron wetu!.

Mimi na wife wangu ndio tulitangulia kuhamia UK, kisha tuka move to US. Mimi wife ndio alikuwa ana kazi na mimi ndio nilipaswa kuwa house husband!. Nilishindwa nikarudi home bongo. Inno na Sue walinishauri sana kurejea US kumfuata wife for the sake of family!, kiukweli niligoma and the consequences followed.

Wife wake alipopata kazi BBC, yeye alikuwa na a very good job bongo!, ndie alikuwa PRM wa NBC, alikubali kuacha kazi na kumjoin wife, hivyo alifanya kile mimi nilichoshindwa kufanya for the sake of family, na akiwa huko alipiga shule, sasa wamerejea home, both ni mabosi, kazi nzuri, top positions na wote ni watu wa Mungu, hivyo familia yao ndio the best family kwa upande wangu!.

Hill la kila mwenye mafanikio kuambiwa ni TISS, tumelizoea, hata mimi nilipotimuliwa TBC ikitegemewa nitasaga lami na kulamba vumbi au nitakuwa majalala, but it was the opposite, niliambiwa mimi ni TISS!.

Kwa sababu TISS hawaandikwi usoni, anybody can be TISS na no body can be TISS, naweza kabisa kusema ni TISS na nikawa right, naweza kusema sio TISS nikawa wrong, au hata nisiposema kama ni TISS au sio TISS na kujinyamazia tuu, kama ni TISS, it doesn't change a thing, useme, usiseme, unyamaze, it is all the same!.

JF tunazungumzia facts na sio hisia!, naomba tuheshimu privacy za watu, tukate issues na sio kuzungumzia watu!.

Pasco
 
Hotuba zimemalizika, sasa kunafanyika uzinduzi wa vitabu wiwili.


  1. So This Is Democracy (MISATAN)
  2. State of the Media Report (MCT)
Pasco
 
Wakati mwingine unafki wenu unawaponza.
Kwangu kwa JK uhuru wa vyombo vya habari umekuwa mkubwa kuliko awamu yoyote.

Mnamsema Rais, mnatukana mitandaoni lakini Mzee wa watu hana shida.

Ungekuwa ule wakati wa Ben sijui hata kama JAMIIFORUMS ingekuwepo.

Uhuru gani mnautaka zaidi ya Huu?
Chini ya JK magazeti mangapi yamefungwa?angalia sasa chini ya Ben Journalists hawajauawa,ila chini ya JK amekufa, chini ya Jkuna magazeti yamefungwa kabisaaa,last year redio yetu pendwa (Radio Imaan)ikafanyiwa figisu.
 
Appriciated Paskal. Mungy yuko aggressive kwenye issues za maendeleo...I remember meeting him by then yuko VPO office.pale Sokoine na Drive early 2006/7. He is open minded personel.

Good defence na tujifunze kutofautiana bila nongwa binafsi hapa jukwaani.
 
Hivi sasa anazungumza Innocent Mungy kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TCRA.

Tanzania ndio nchi ya kwanza barani Africa kuhamia katika mfumo wa Digitali kwa asilimia 100!. Tanzania ina sim card milioni 32, vituo vya redio 107, na vituo vya Televisheni 28!.

Pasco, nisaidie uwauliza hili swali hao TCRA;
Hapa Afrika ya kusini mpaka leo mifumo yote miwili inatumika: Digitli na Anaologia. Mijini na vijijini. Je hapo Tanznia kukimbilia kuzima mitambo ya analogia na kwenda digitali huku wananchi wengi wa hali ya chini wakikosa fursaya kupata habari kumetusaidia nini? Au ni dili za biashara walikuwa mnatengenezea watu? Je, walishafanya utafiti kujua ni wananchi wangapi wamekosa access ya TV kwa pupa zao? Waambie waache sifa za kijinga!
 
Mkuu

Hata huyu Pasco wetu JF ni Mchumia tumbo wa standards za ki Mataifa
Mkuu kwenye hili la Uchumia tumbo we have a serious problem.
The dividing line between uzalendo wa kweli na uchumia tumbo ni very thin.

Kwa msiomjua Pasco wa jf, huyu jamaa ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, halipwi hata senti moja na media yoyote anayoipelekea habari ikiwemo jf!.

Pasco wa jf anafanya kazi ya uandishi just for the love of it and not for the gain from it!. Yaani anazo shughuli nyingine anazo pata kipato cha kuendeshea maisha yake, hivyo anaandika bure na kwa kujitolea tuu kwa mapenzi ya kazi hii!.

Aliacha kazi ya kipato cha UK £ 5,000/= per month kwa sababu tuu hiyo kazi haikumruhusu kuendelea kujitolea kuandika sababu ya conflict of interest, ili aendelee kuwa huru kuandika!.

Pasco wa jf amesoma darasa moja na mtoto wa Mkapa, ni rafiki yake, wakati wengine wote wakimhesabu Mkapa ni rais, kwangu nakwenda kumsalimia kama baba fulani!. Sikuwahi kuomba favour yoyote au kutake any advantage ya my access to Mkapa!.

Pasco wa JF amesoma chuo, UDSM na Riz1, na ni rafiki yake, hivyo ana access to JK, lakini hakuwahi kuutumia urafiki wake na Riz1 to gain any preferential advantage ya JK.

Wachumia tumbo ni wale wanaofanya jambo lolote for economical gain, or advantage for personal gain.

Ila nakiri kuwa Tanzania tuna tatizo la umasikini uliotopea, umasikini huu, umekuwa mkubwa hadi kuingia kwenye roho, moyo na akili!. Mwalimu Nyerere alisema umasikini mbaya kabisa ni umasikini wa roho, umasikini wa fikra!. Masikini hawa wa roho, wakiona mtu una onyesha dalili ya kula milo mitatu au unaweza kubadili mboga, then utaitwa fisadi, mchumia tumbo!.

Masikini hawa wa roho, sasa wamegeuka haters, wanamhate kila anayeonekana mwenye nacho.

Bahati nzuri, Pasco wa jf, hatatizwi na kuitwa mchumia tumbo na hawa jf hatters as long as anajijua yukoje in reality!.

Pasco


Pasco
 
Back
Top Bottom