Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,415 85,842 Dec 7, 2011 #22 Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu
Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu
feis buku JF-Expert Member Aug 29, 2011 2,342 676 Dec 7, 2011 #23 Elli said: Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu Click to expand... utawajua tu!
Elli said: Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu Click to expand... utawajua tu!
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Dec 7, 2011 #24 endelea tuu kuwa online. ukizoea utaona kawaida utakuwa unaingia huku kwa nadra
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Dec 8, 2011 Thread starter #25 Vinci said: endelea tuu kuwa online. ukizoea utaona kawaida utakuwa unaingia huku kwa nadra Click to expand... ilo nalo neno
Vinci said: endelea tuu kuwa online. ukizoea utaona kawaida utakuwa unaingia huku kwa nadra Click to expand... ilo nalo neno
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Dec 8, 2011 Thread starter #26 Elli said: Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu Click to expand... we unipend unaniombea mabaya daah!
Elli said: Kwani umeshafika kwenye kijiwe cha MMU? huko ndio utafukuzwa kazini kabisaaaaaa, huko nomaaaa, utapandwa hadi na munkari taratibu tu Click to expand... we unipend unaniombea mabaya daah!
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Dec 8, 2011 Thread starter #27 Duduwasha said: Mmeramba leo!!!! ice cream Cone Click to expand... co ice cream ni asal
Ng`wanakidiku JF-Expert Member Apr 18, 2009 1,195 232 Dec 8, 2011 #28 Watanzania viswahili vyenu ni vimbweka tupu!
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Dec 8, 2011 Thread starter #29 Ng`wanakidiku said: Watanzania viswahili vyenu ni vimbweka tupu! Click to expand... cjaelewa
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,195 Dec 8, 2011 #30 Mwita25 said: Umejuaje kama ameoa Click to expand... kaona mawezere yake.
OLESAIDIMU JF-Expert Member Dec 2, 2011 19,139 9,525 Dec 8, 2011 #31 Habar ndo hyoo ukiwa nje watamani ndani na sasa upo ndani...............