Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
View attachment 146763
acha ubahili, wenzio wanatoa kilo 2 ya kusuka tu, hapo bado matumizi mengine
Mmh! bora nihamie Mdaula, mbele ya Chalinze kuelekea Morogoro.
View attachment 146763
acha ubahili, wenzio wanatoa kilo 2 ya kusuka tu, hapo bado matumizi mengine
Shida haina wakati wala majira! We hujaomba GAME ndani ya wiki hihi?
Mlikubaliana muanze kusaidiana kama kuna uhitaji baada ya muda gani? Ungesikia amepata uhitaji akamuomba X wake ungelalamika pia? Kama huna mwambie kama unayo Mpe!!!!
Laki na nusu umefungua thread,akiumwa ukaambiwa utoe nauli ya India familia itagharamia matibabu utaita waandishi Maelezo!!!!!!
Mmh! bora nihamie Mdaula, mbele ya Chalinze kuelekea Morogoro.
press conference
Mlikubaliana muanze kusaidiana kama kuna uhitaji baada ya muda gani? Ungesikia amepata uhitaji akamuomba X wake ungelalamika pia? Kama huna mwambie kama unayo Mpe!!!!
Laki na nusu umefungua thread,akiumwa ukaambiwa utoe nauli ya India familia itagharamia matibabu utaita waandishi Maelezo!!!!!!
Really? Hivi watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi?
Maana wengine hatujawahi kabisa kukutana nao.
Nadhani huenda ikawa vibes unazotoa ndo zinamfanya akupige mzinga haraka haraka namna hiyo.
Ila kwa kweli huwa sielewi kabisa watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi! Kwenye mavilabu ya pombe chafu?
Asante kaka yangu bora umeongea wewe, manake aina ya mahusiano ambayo wanaume wa humu hujakuomba ushauri huwa nabaki mdomo wazi mpaka huwa nahisi labda wanatunga tu hizo stori
Really? Hivi watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi?
Maana wengine hatujawahi kabisa kukutana nao.
Nadhani huenda ikawa vibes unazotoa ndo zinamfanya akupige mzinga haraka haraka namna hiyo.
Ila kwa kweli huwa sielewi kabisa watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi! Kwenye mavilabu ya pombe chafu?
View attachment 146763
acha ubahili, wenzio wanatoa kilo 2 ya kusuka tu, hapo bado matumizi mengine
Sabal kheir wadau,,,
niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hvi ambapo hatuna hata wiki katika mahusiano,,,chakushangaza jana kanitumia sms kuwa anaomba pesa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa ajili ya matumizi,,,,najiuliza hapa kabla ya kumtokea alikuwa anapata wapi pesa ya matumizi!? kingne naona ni mapema sana kuanza kunililia shida!!! Pana mapenzi ya dhati hapa!?
nimeamua kumkaushia,,,,me mwenyewe hata papuchi sijapewa nikipewa sio nitaombwa million