Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

Akufukuzae akwambii toka,hebu jiongeze huko kakuona haulipi ndo maana,c ajabu tokea muanze ku date unalia tu shda!#okbye
 
Sabal kheir wadau,,,
niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hvi ambapo hatuna hata wiki katika mahusiano,,,chakushangaza jana kanitumia sms kuwa anaomba pesa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa ajili ya matumizi,,,,najiuliza hapa kabla ya kumtokea alikuwa anapata wapi pesa ya matumizi!? kingne naona ni mapema sana kuanza kunililia shida!!! Pana mapenzi ya dhati hapa!?

braza hapo hakuna kitu mi mwenyewe yamenikuta dem siku ya pili eti anasikia njaa sikua na shida ila nikamrushia buku tano m pesa kesho eti campany yao wanafanya sherehe eti naomba hela ya nywele ili atoke kwenye hio sherehe nilikua na hasira sikumpa nikala basi then msg nyiiiingi nikazichunia, akapiga tena ndio akapata makavu laivu tukana sana nikatukana nikatoa hasira zangu zote na kufuta numba na yyeye nimemwambia akinipigia namla tigo bila mafuta
 
Asante kaka yangu bora umeongea wewe, manake aina ya mahusiano ambayo wanaume wa humu hujakuomba ushauri huwa nabaki mdomo wazi mpaka huwa nahisi labda wanatunga tu hizo stori

hayo bana kwa sisi wa sinza yapo sana na sio story za kutunga, mpaka sometime nahisi sintapata mwanamke wa kuoa, maana wanakunyima ham ya kuwa nao bora ufuge mbwa uwe unakaa na mbwa anawezakukulindio vitu vyako kuliwa wanawake wa namna hii
 
Wanaume hamu mnalilia ila duuu kwani kuna maalumu wa kuomba pesa??? Papuchi?? Msaada?? Kama unayo mpe kama huna mwambie huna hakuna haja ya kujiumiza....pengine mwenzio amekuwekea kamtego aone responce yako...
 
hayo bana kwa sisi wa sinza yapo sana na sio story za kutunga, mpaka sometime nahisi sintapata mwanamke wa kuoa, maana wanakunyima ham ya kuwa nao bora ufuge mbwa uwe unakaa na mbwa anawezakukulindio vitu vyako kuliwa wanawake wa namna hii

Ukitaka mchumba wa kweli ntafute nikupe, ila ni uwe na ndoa kweli sio kumgegeda na kumuacha
 
Sabal kheir wadau,,,
niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hvi ambapo hatuna hata wiki katika mahusiano,,,chakushangaza jana kanitumia sms kuwa anaomba pesa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa ajili ya matumizi,,,,najiuliza hapa kabla ya kumtokea alikuwa anapata wapi pesa ya matumizi!? kingne naona ni mapema sana kuanza kunililia shida!!! Pana mapenzi ya dhati hapa!?

Sasa wewe ulitaka amlilie nani maana yake alikuwepo aliekuwa anatimiza hyo majukumu huwezi acha,hakuna muda maalumu wakuomba msaada vipi mzee unabipu mahusiano!
 
Really? Hivi watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi?

Maana wengine hatujawahi kabisa kukutana nao.

Nadhani huenda ikawa vibes unazotoa ndo zinamfanya akupige mzinga haraka haraka namna hiyo.

Ila kwa kweli huwa sielewi kabisa watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi! Kwenye mavilabu ya pombe chafu?

Hao unawapata automatically, ni baada ya kushusha mistari ya kujisifu kwamba una hela,

Unafanya kazi nzuri, wewe ni bosi ofisini kwako, akikukubali ameukata,

Kapenda pesa ulizosema unazo, ndio maana anahakiki kama kweli au zuga.
 
sasa wewe usimpe, aende akachukue anapojua yeye, na ukikuta kilometa za mraba wa K zimesogea mbele usimuulize, mapenzi ni gharama, jifunze kugharamia, yale mapenzi ya dhati yalikuwa zamani.
 
Fukuzia mbali huyooo hakuna mapenzi hapo, siku mbili tu kaanza kupiga vitonga!!!!!!!!!!
 
Wanaume hamu mnalilia ila duuu kwani kuna maalumu wa kuomba pesa??? Papuchi?? Msaada?? Kama unayo mpe kama huna mwambie huna hakuna haja ya kujiumiza....pengine mwenzio amekuwekea kamtego aone responce yako...

Hebu nisaidie kuwauliza manake hata mie nawashangaa sana
 
Naomba basi unililie njaa, sijawahi kupata hiyo privileji..

Hahahha....Mie Nna Hela Zangu My dear,
Visenti vya kuomba vinamasimango kwa nyie wanaume,
 
Hahahha....Mie Nna Hela Zangu My dear,
Visenti vya kuomba vinamasimango kwa nyie wanaume,

U mzima weye???
Hata usiwaombe cos ataita waandishi wa habari kutoa malalamiko si unaona mwenzie huku
 
Back
Top Bottom