i meant beautiful from inside, kwahiyo huyo msichana wako inakuaje kwanza manake umesema uko kwenye relationship
hakuna relationship hapo kama umeisoma msg yangu vizuri number yake yenyewe nishafuta na big warning kapewa akijaribu kunipigia nitamfanya kitu kibaya cos nakua na hasira kudeal na jitu lisilo jitambua so no relationship there,