Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

Really? Hivi watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi?

Maana wengine hatujawahi kabisa kukutana nao.

Nadhani huenda ikawa vibes unazotoa ndo zinamfanya akupige mzinga haraka haraka namna hiyo.

Ila kwa kweli huwa sielewi kabisa watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi! Kwenye mavilabu ya pombe chafu?


Mkuu, Hebu tujuze, wewe unaishi wapi? nadhani uko nje ya DSM. kama ndiyo basi haya yote ni kawaida kwa wanaDSM.
 
Ya kuchoma.

Haya eehh!!

images
images


Na akikiamilisha itakuwa kama hii hapa chini!
images
 
isijekua Wakati unamtongoza uliweka v mbwembwe zako
Mara oh mi mtoto wa bakhresa
Mengi kaka ang
Ka uliwekwa mimbwembwe jiandae kupigwa mizinga ya kutosh
 
Mlikubaliana muanze kusaidiana kama kuna uhitaji baada ya muda gani? Ungesikia amepata uhitaji akamuomba X wake ungelalamika pia? Kama huna mwambie kama unayo Mpe!!!!
Laki na nusu umefungua thread,akiumwa ukaambiwa utoe nauli ya India familia itagharamia matibabu utaita waandishi Maelezo!!!!!!

Shemeji ataua mtaji
 
Ila tuache utani Wanawake wakiswahili hakuna Mwenye nafuu wote ndo wale wale! Wee umeombwa 150 Basi hiyo msg imetumwa kwa Zaidi ya watu 10 then anasubiri Mrejesho! Anajua ktk watu 10 wapo watakaorudisha majibu kuwa hawana wengine watatoa nusu wangine kamili Wengine hawatajibu km ww bt yeye lazima afanikiwe Naongea kwa Uzoefu,,,!!!
 
Wewe mbona ulinidai Papuchi siku ya kwanza??

Hata kama hukupenda mimi kuomba hela si ungenambia tu,
Mambo ya kunitangaza humu.ya nini.
Ukila.lazima uliwe bwana wewe
 
Huenda umemwambia ww ni meneja bank flani!some tym swaga mnazotoka nazo hua zinawaponza!
 
Nyingine ni technic ya kufukuza waliokaba. Jichunguze kama amekukubalia kiukweli au amechoka nyimbo zako.
 
Wewe mbona ulinidai Papuchi siku ya kwanza??

Hata kama hukupenda mimi kuomba hela si ungenambia tu,
Mambo ya kunitangaza humu.ya nini.
Ukila.lazima uliwe bwana wewe

tian, huwa unalia njaa?? lol
 
Last edited by a moderator:
kama vipi nipe namba yake nikusaidie kutuma
 
Hapo watu wasikushauri ujinga eti mpe acha ubahiri hao ni mapunguani wakubwa.. Em chunguza uyo ni dem wa aina gani coz dem anayejitambua lazima ajistukie ndani ya muda huo.. Nishapigaga madem wengi sana hadi hapa nilipo so kuwa makini na madem wa hyo type naweza mlia tym njoo uchukue then una mla mzgo unampa hyo hela then unachapa lapa..!! Sometime huwa wanataka kukukomoa so na ww fanya ivyo.. Eti acha ubahiri angalia hizo kauli kuna watu malimbukeni sana wa papuchi ndo kauli zao hizo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

mkuu umeongea kweli
 
Back
Top Bottom