Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

Siku ya pili katika mahusiano ameanza kupiga mizinga

U mzima weye???
Hata usiwaombe cos ataita waandishi wa habari kutoa malalamiko si unaona mwenzie huku

Mie niko.pouwa,
Wallah hata siombi manake nami najua kizisaka,
Ila hawa wavulana wa kuleo kutwaa kulalama,
Na kutangaza eti wanaomba hela,
Kwani wamekuwa IMF???
 
Sabal kheir wadau,,,
niko kwenye mahusiano na mdada mmoja hvi ambapo hatuna hata wiki katika mahusiano,,,chakushangaza jana kanitumia sms kuwa anaomba pesa kiasi cha shilingi laki moja na nusu kwa ajili ya matumizi,,,,najiuliza hapa kabla ya kumtokea alikuwa anapata wapi pesa ya matumizi!? kingne naona ni mapema sana kuanza kunililia shida!!! Pana mapenzi ya dhati hapa!?


Mie nadhani jibu umelipata siku ileile ulipopata sms, hawa mademu wa siku hizi usipokuwa mjanja utashangaa hauna maendeleo yeyote, huku ww ukiuza sura na gari mjini yeye anajenga..............
 
Really? Hivi watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi?

Maana wengine hatujawahi kabisa kukutana nao.

Nadhani huenda ikawa vibes unazotoa ndo zinamfanya akupige mzinga haraka haraka namna hiyo.

Ila kwa kweli huwa sielewi kabisa watu wa hivyo huwa mnawatoa wapi! Kwenye mavilabu ya pombe chafu?
We si unabeba maboksi mkuu huwezi kueksipiriensi hii maneno
karibu huku kwetu uswazi, nini siku ya pili bana ukimchekea tu unapigwa mzinga
 
Ya kwani kuna tatizo

no its ok, ngoja nimfikishie kwanza ujumbe nisikie atasemaje, yeye bado mwanafunzi wa chuo pale cbe but she is a very beautiful gal and very smart
 
Inategemea uliingia kwa gia gani, kama uliingia kwa mkwara wa PESA hayo ndo matokeo yake mkuu
 
no its ok, ngoja nimfikishie kwanza ujumbe nisikie atasemaje, yeye bado mwanafunzi wa chuo pale cbe but she is a very beautiful gal and very smart
poa mfikishie but huo ubyutifu ndio yanakuaga majanga, hapo point ni kujielewa, na kitaa isimtishe sio hela zote zinatengenezwa kwa office na kiyoyozi,
 
poa mfikishie but huo ubyutifu ndio yanakuaga majanga, hapo point ni kujielewa, na kitaa isimtishe sio hela zote zinatengenezwa kwa office na kiyoyozi,

i meant beautiful from inside, kwahiyo huyo msichana wako inakuaje kwanza manake umesema uko kwenye relationship
 
Back
Top Bottom