Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,593
NN
unafurahisha kwa kweli
Sasa ngoja nikupe stori ingine...siku moja hivi...imekuwa kitambo. Nimetoka zangu Bills narudi home. Kuvuka Salenda pale nikaamua kula kona mtaa wa Toure (nadhani ni Toure ile pale ukishavuka salenda, si ndio?)
Basi bana, nikala kona pale....nikapunguza mwendo wa gari nikaanza kuangaza macho....nikaona nyambizi moja iko nyuma ya mkungu. Nikapunguza zaidi mwendo halafu nikaenda nikasimama mbele. Nikamwona anasitasita kuja lakini baadae akaja akaingia kwenye gari nikatimua. Nadhani alihisi labda mimi kapelo kanzu.
Akaingia kwenye gari, nikamwambia mi natafuta starehe. Akasema zungumza...nikazungumza tukakubaliana. Basi hao tukaenda zetu Mande guest house pale Kinondoni (sijui kama hii guest bado ipo...ngoja nitaenda kucheki wiki ijayo).
Sasa tuko njiani tumesimama kwenye mataa pale njia panda ya Toure na Salenda, mara akasema eti kwa sababu nina midomo mizuri basi lazima na kichwa changu kitakuwa kizuri. Nikasema 'huh'....midomo yangu na kichwa changu vina uhusiano gani? Ikabidi niombe ufafanuzi zaidi ndipo aliponiambia kuwa kwa utalaamu wake, mwanaume mwenye lips nzuri ni ishara ya kwamba kichwa cha mpini wake nacho kizuri....duuuh nilichoka mwenyewe.
Basi tukafika Mande, tukaingia chumbani. Nikala starehe yangu. Nikamrudisha kwenye kituo chake cha kazi. Sasa wakati tuko njiani namrudisha, nikamwuliza amekionaje kichwa changu. Akacheeeka mwenyewe...akasema amekikubali na akaniomba nisiwe mpotevu kihivyo maana hata yeye licha ya kuwa alikuwa kazini, alifurahia starehe.
Basi tokea siku hiyo tukawa washikaji na nikawa hadi napewa starehe hata kwa mkopo. Sasa hivi sijui hata kaishia wapi yule mdada.