bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Sasa kama mmekubaliana mmuibenjue sasa unavunjaje hapo amri ya sita wakati mmekubaliana?
Fide mmekubaliana nyie wawili lakini siyo na Mungu
Mkikubalina wewe na Kaizer kwenda kuiba hilo haliwatoi kwenye kosa la kuvunja sheria ya Jamuhuri hii...sijui umenielewa?