Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Sikua na feelings zozote... Nilikua kama nalamba mlenda!!! [emoji51]
 
Dah tulikua tunarud makwetu baada ya kumaliza kidato cha sita enzi hzo mtoto alintafuta aniage akanikumbatia tukapigana mate ya ukweli akaondoka na hatujawah onana tena,hakua dem wangu wala nn ilikua 2009, ova
 
Dah tulikua tunarud makwetu baada ya kumaliza kidato cha sita enzi hzo mtoto alintafuta aniage akanikumbatia tukapigana mate ya ukweli akaondoka na hatujawah onana tena,hakua dem wangu wala nn ilikua 2009, ova
Alikuwa anakufeel tuu na wewe haukuwa mchoyo.
 
Nakumbuka ilikua kijijini, demu anasoma boarding likizo amerudi kidume nafukuzia, sasa siku ya tukio tulimtegea mama mzaa chema kaingia ndani kulala yeye kabaki jiko la uani ndo kidume nikaomba denda, sikuinjoy chochote sababu mdomo mzima ulikua unanuka vitunguu sijui alikua amekula kachumbali!!!!!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]loh yangekukuta ya singida boy kwenda na ulimi
Sihitaji tena kitu kama hicho maana hakunipa hata mzigo wenyewe aliniomba hela wakati huo suruali yenye hela nimeacha home doh! nilichoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom