Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Duh ilikuwa raha sijawahi kuipata maishani mwangu mtoto anajua kudendeka hatari sana. Toto limenona kila sehemu na mzuri hatari nilimkumbatia mpaka pumzi zilimbana, kumuangalia kumbe mto wangu wa kulalia na hapohapo usingizi uliruka. 😉😛😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duh ilikuwa raha sijawahi kuipata maishani mwangu mtoto anajua kudendeka hatari sana. Toto limenona kila sehemu na mzuri hatari nilimkumbatia mpaka pumzi zilimbana, kumuangalia kumbe mto wangu wa kulalia na hapohapo usingizi uliruka. 😉😛😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ha ha denda lager mkuu siyo ishu ya kubeza kabisa umetisha
Mkuu acha kabisa....demu akijua kudendeka hana haja ya kutumia limbwata kwangu....naipenda sana, uzuri upele unamwota mwenye kucha.
 
"Natamani Big G ingeuzwa laki gunia la gomba lingeuzwa jero "_Una akili wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom