Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Siku ya kwanza unapiga denda ulihisi vipi?

Nakumbuka ilikua kijijini, demu anasoma boarding likizo amerudi kidume nafukuzia, sasa siku ya tukio tulimtegea mama mzaa chema kaingia ndani kulala yeye kabaki jiko la uani ndo kidume nikaomba denda, sikuinjoy chochote sababu mdomo mzima ulikua unanuka vitunguu sijui alikua amekula kachumbali!!!!!!!!
Duh [emoji28]
 
Nilikula sana Pipi za kifua siku hiyo.

Pili Ulimi wa Mlimbwende nikawa nauvyonza, kama vile navyonza Barafu (Ashikilimu).

Tulikutana wote hatujui kulana Mate.

Kweli mwanzo mgumu
 
Yaani wakati napiga denda hapo hapo nikamwaga maana tulikaa muda Mrefu tukicheza tu.. First Year Chuo Room Kwangu miaka ileeeeeee
First kiss umepiga ukiwa chuo mkuu?? Doh, kumbe chuo unaweza ukapata bikra aisee
 
hahahaha..............................
Dah Mkuu umenikumbusha patamu sana....nikiikumbuka ile siku hadi ladha yake inajirudia....huwa naenda lile eneo kufanya hija🙁🙁🙁🙁🙁

Kwa jinsi ilivyokuwa tamu ilinifanya kupenda sana 'french kiss'' kwenye mahusiano....matokeo yake ninapofanya morphological examination, midomo ni kepengele cha pili.

Be blessed ROSE in wherever you are, lol!
 
Back
Top Bottom