Mo-Reece
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 223
- 258
ha ha ha ha ha dah hadi mademuNilisikia rafiki zangu wanapiga stori hizo, nikaenda kujaribu nikashindwa.... Nikajaribu tena nikashindwa. Nikaja kugundua kumbe lazima uvute feelings kwa mtu umpendae, Basi nikamvutie muuza duka karibu na kwetu, gafla nikasikia kama vile nimepigwa shoti si shoti raha si raha kama utamu flani hivi amaising. Ilikuwa bafuni hapo nikaoga...nikaenda room ila nikasikia usingizi wa ajabu nikalala kuanzia saa nne asubuhi adi saa kumi jioni. Since then sijarudia tena huo mchezo... After all ni dhambi